Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa

Hicho kidude unachokisema si mali yake. Ukishakubali kuingia kwenye mahusiano ya ndoa uke/uume sio mali yako tena!

1 Wakorintho 7:4
[4]Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.
Ingekua ni hivyo kisinge fiti kwa kila mtu ,kingekuja moja kwa moja kinafiti kwa mtu fulani tu , sema tu ni ustaarabu na hekima ya ubinadamu tu .
 
Tatizo wanawake wa kileo wanawaza ngono muda wote yaani mambo yamebadilika ,zamani wanaume ndiyo walikuwa wanawaza ngono sana ila sasa imegeuka ,ukiingia mitandao hadi vitoto vya 2000 vimegeuka makungwi....Wanasambaza sumu na hupelekea wanawake wahisi kuna kitu wanakosa na kwenda kujaribu nje.
Wanatafuta uchumi!
 
Ikimuona mke wa mtu au mume wa mtu anatoka nnje ya ndoa yake jua Kuna tatizo ndani ya ndoa hiyo hivyo anatoka kupata huduma za kibinaadamu ambazo kazikosa kwake na ametafuta suluhisho pia kakosa....ni watu wazima wanajua baya na zuri hivyo ukiona mtu kachepuka jua Kuna sababu iliyo pelekea hiyo Hali kutokea.
 
Kuzini sio tatizo Ila tatizo ni kubeba mikosi -hii ndo sababu sio rahisi hata kwa dawa mm kutembea na mke ambaye sijamuoa na kuwa na commitment nae

Unapopata kibali cha maisha kitumie vizuri Sana.✊🏿
 
Back
Top Bottom