Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Wanawake wako wengi! Ukijua ni mke wa mtu kimbia!"Mtu azinie na mwanamke hana akili kabisa"
Wanataka tuzini ni nini?
Mke wa mtu !! Kwanini huyo mke wa mtu mwenye meno 32 akubali kuzini na mimi wakati ana mume wake ?Wanawake wako wengi! Ukijua ni mke wa mtu kimbia!
Tatizo hao wake za watu ndiyo wanataka wenyewe.Wanawake wako wengi! Ukijua ni mke wa mtu kimbia!
Wewe unaweza kutembea na mke wa mtu?Mke wa mtu !! Kwanini huyo mke wa mtu mwenye meno 32 akubali kuzini na mimi wakati ana mume wake ?
Basi hilo neno la Mungu hapo juu linakuhusu ndo maana likaandikwa kuwaweka kwenye mstari!Tatizo hao wake za watu ndiyo wanataka wenyewe.
Ukiona mwaname yupo na mke wa mtu basi tambua 90% kwamba mwanamke ndiyo anataka.
Na kafanya maamuzi yake binafsi na kidude chake kaamua ampe nan , then wewe ufure kama cobra🙄Tatizo hao wake za watu ndiyo wanataka wenyewe.
Ukiona mwaname yupo na mke wa mtu basi tambua 90% kwamba mwanamke ndiyo anataka.
Kwani kutembea kuna shida gani ? Kama miguu ipo?Wewe unaweza kutembea na mke wa mtu?
Asante.Kwani kutembea kuna shida gani ? Kama miguu ipo?
Wewe unaweza kutembea na mume wa mtu?Asante.
Ndio! kama usafiri hamna natembea nae tu kwa miguuWewe unaweza kutembea na mume wa mtu?
Basi hilo neno la Mungu hapo juu linakuhusu ndo maana likaandikwa kuwaweka kwenye mstari!
Sio kweli , wanawake hawapo wengi unatumia tawimu za tanzania au maana kwa idadi duniani tunawazidiWanawake wako wengi! Ukijua ni mke wa mtu kimbia!
Sasa je 😜😜Ndio! kama usafiri hamna natembea nae tu kwa miguu
Hicho kidude unachokisema si mali yake. Ukishakubali kuingia kwenye mahusiano ya ndoa uke/uume sio mali yako tena!Na kafanya maamuzi yake binafsi na kidude chake kaamua ampe nan , then wewe ufure kama cobra🙄
Kuna unafuu wa madhara kama sio mke wa mtu! Lakini kama mke wa mtu huyo mwenyemali tayari ana sheria ya neno la kumlinda! Hata mahakamai anaweza kujiteteaKwahiyo zinaa ni ruhusa as long as sio mke wa mtu?
Za TanzaniaSio kweli , wanawake hawapo wengi unatumia tawimu za tanzania au maana kwa idadi duniani tunawazidi