Ingekua ni hivyo kisinge fiti kwa kila mtu ,kingekuja moja kwa moja kinafiti kwa mtu fulani tu , sema tu ni ustaarabu na hekima ya ubinadamu tu .Hicho kidude unachokisema si mali yake. Ukishakubali kuingia kwenye mahusiano ya ndoa uke/uume sio mali yako tena!
1 Wakorintho 7:4
[4]Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.
Wanatafuta uchumi!Tatizo wanawake wa kileo wanawaza ngono muda wote yaani mambo yamebadilika ,zamani wanaume ndiyo walikuwa wanawaza ngono sana ila sasa imegeuka ,ukiingia mitandao hadi vitoto vya 2000 vimegeuka makungwi....Wanasambaza sumu na hupelekea wanawake wahisi kuna kitu wanakosa na kwenda kujaribu nje.
Huyo sio mke wa mtu ni binti kabisa single naweza kuoa!Wewe si unasemaga umeoa ila juzi ukafungua uzi eti tukupe 'mbinu za kibaharia' umetamani king'asti cha IG....
We jamaa...
Hatari sana ndiyo maana magonjwa yanazidi na ndoa/uhusiano zinazidi kuvunjika.Wanatafuta uchumi!
Kwanini Nishindwe tembea nae?Wewe unaweza kutembea na mke wa mtu?
π€Έπ€ΈNdio! kama usafiri hamna natembea nae tu kwa miguu
π€Έπ€Έ
πππππ"π".
HzhahahahabbahWewe si unasemaga umeoa ila juzi ukafungua uzi eti tukupe 'mbinu za kibaharia' umetamani king'asti cha IG....
We jamaa...
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.