Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me cna mbaya, nilishayamaliza naeMchane mbaya wako aache shobo
Mkubwa unaendeleje, hamu ya pombe ishaisha kabisa?Unawezaje kumchukia mtu hujawahi kumuona,Kuna watu humu wao ni kuzingua na masikhara mengi ili kuchangamsha jukwaa lakini nje ya hapo wapo smart sana
Nimeacha pombe tangu 27/7/2024 niko vizuri mnoMkubwa unaendeleje, hamu ya pombe ishaisha kabisa?
😂😂😂Mim ni mpole sanaWatu wakorofi humu. Unajianzishia Uzi tu lazima waje kukukera
Safi sana 🤝Nimeacha pombe tangu 27/7/2024 niko vizuri mno
Sawa ntakua mlokole SA HV😁😁Usiwe padre bhana
Ni jina la mtuSo waadui wamekula marafiki😂😂