Me cna mbaya, nilishayamaliza naeMchane mbaya wako aache shobo
Mkubwa unaendeleje, hamu ya pombe ishaisha kabisa?Unawezaje kumchukia mtu hujawahi kumuona,Kuna watu humu wao ni kuzingua na masikhara mengi ili kuchangamsha jukwaa lakini nje ya hapo wapo smart sana
Nimeacha pombe tangu 27/7/2024 niko vizuri mnoMkubwa unaendeleje, hamu ya pombe ishaisha kabisa?
πππMim ni mpole sanaWatu wakorofi humu. Unajianzishia Uzi tu lazima waje kukukera
Safi sana π€Nimeacha pombe tangu 27/7/2024 niko vizuri mno
Sawa ntakua mlokole SA HVππUsiwe padre bhana
Ni jina la mtuSo waadui wamekula marafikiππ