Nunua basi vocha na wewe mkubwaππ
Huyu jamaa kwangu namuona kazidisha uchawa hadi anakera.Mtu unajianzishia Uzi wako anakuja kucoment ilimradi akukere. Tag anyone you wish. Me naanza na Lucas Mwashambwa
Mimi huyo jamaa na yule chawa wa mbowe pomoja machawa wengine kina salary slipMtu unajianzishia Uzi wako anakuja kucoment ilimradi akukere. Tag anyone you wish. Me naanza na Lucas Mwashambwa
Lakini machawa wa mbowe tunawasahauChawa ultra pro max 8k.. lucas mshamba
Sio chuki as such nadhani, ila kuna watu unaweza ku~interact nao na wengine hawana umuhimu sana kwako. Japo hatujuani, ila kuna watu upo nao karibu kusocialize kuliko wengine.Unawezaje kumchukia mtu hujawahi kumuona,Kuna watu humu wao ni kuzingua na masikhara mengi ili kuchangamsha jukwaa lakini nje ya hapo wapo smart sana
Hakika....