Mbona umetoa jibu mwenyeweMtu unajianzishia Uzi wako anakuja kucoment ilimradi akukere. Tag anyone you wish. Me naanza na Lucas Mwashambwa
ππππHata mimi ushawahi kuniombea kifo sweetheart... Hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inasikitisha sana...[emoji2955]
Wanaume wa daslam mna fikra na mawazo ya ajabu sana...[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sina wabaya ila nina machizi ambao wanatembelea upepo wangu bila kunitaja siku yao haiendi vizuri.!!
Halafu mimi huwa siwatajagi machawa wangu, wao ndio wananitaja.!!
Mbona unataka kunishushia cheo [emoji23][emoji23][emoji23]
Aaaaaaadriiiiizzzz am back. Nimekumbuka password ilinipotelea. Am back maaamaeeeMaghayo na genge lake.
Coca I loveeeee you[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha!! Jamaa ni mwehu sana eti "Am back maamae" bange mbaya sanaπππ
TlatlaaahMtu unajianzishia Uzi wako anakuja kucoment ilimradi akukere. Tag anyone you wish. Me naanza na Lucas Mwashambwa
Em semaa kwelii?Coca I loveeeee you
Maaamaeee