Mtu gani maarufu hapa Tanzania unayemkubali na kwanini?


shekh Ponda,,ALLAH AMLINDE NA KUMPA AFYA LUKUKI,,,,,TAQBIIIIR ALLAH AQBAR
anajitahidi kuwa muwazi kusimamia ukweli kwa maslah ya uislam
then KOVA,kila aambiwacho hukifanya hata kama hakina tija
 
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Mwita Maranya[/TD]
[TD] michango yake jf[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ritz [/TD]
[TD]jitihada zake za kukibeba chama
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]chama[/TD]
[TD]mpambe[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


 
Mke wangu coz kila siku nalala naye ananipikia chakula na mambo kibao. Huyu ndo mtu maarufu sana hapa Tanzania
 
Le Mutuz Le Baharia Ze Big Show kwa sababu ya segments zake za kuwachana mburulaz kwenye Le Mutuz Live Hard Straight Talk/ Le Mutuz Hard Live Straight Talk

Ati nini? Are you serious? you must be lemuz mwenyewe. utumbo mtupu
 
Wife,maraha anayonipa inanitia morali wa kujenga taifa.
 
Mbavu zangu nusura zichanike,,,,ivi kuna watu kumbe hawawezi kuwa serious na jambo lolote?sasa mtu umeambiwa mtu maarufu unaendaa kutaja wife sijui baba yangu wengine wanalazimisha wengine wawachagulie watu wanaowapenda wao,,,sasa nimewajua wanaochakachua hata kula...unayempenda wewe si lazima wengine tumpende....mi nongezea wangu mwingine mzee sabodo safi sana sijui amepona?mana alikuwa anaumwa.
 
J.K.Nyerere, R.I.P, sababu ni baba wa Taifa, hakugawa wala kuficha keki ya Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…