Mtu gani maarufu hapa Tanzania unayemkubali na kwanini?

Mtu gani maarufu hapa Tanzania unayemkubali na kwanini?

Mengi+klynn = salma k + nguza= credo mwaipopo+ jide= Ruge +Tayana= diamond + vanesa mdee= lulu+ ray
 
John Mnyika...mtu makini,ana vision na taifa letu na anajua kutafsiri kauli zake kuwa matendo......

Hakika leo umeacha mautumbo yako pembeni_hili umefikiria kwa kina saaaana...kamata my like....Mnyika yuko safi.
 
mkuu vipi tena unanipangia wa kumtaja,,,we uyo bogus si umtaje wewe kama unamuaminia.

Mkuu acha matusi banaa, utamuitaje rais wetu bogus? ila tambua kwamba mtake msitake JAKAYA ndo mpango mzima, huyo dogo bado sana.
 
Kikwete hana maamzi magumu ndio maana inch inakoelekea hatukujui
 
Wakuu wanajamvi, naomba leo kila mmoja wetu ataje mtu mmoja anayekoga moyo wake kwa kile anachoona anakifanya kwa jamii,hususani kusaidia wasiojiweza au kusaidia elimu au kuburudisha au chochote kizuri na si vibaya ukitaja na sababu kidogo ili kuwahabarisha na wengine.......mwisho wa siku atakayetajwa zaidi kwa wema wake au kwa kuelimisha kwake kupitia chochote anachokifanya mimi kama mtoa mada nitampa zawadi na itamfikia popote alipo tanzania na zawadi ni zawadi ili kumpa chachu ya kuendelea kufanya vizuri,lugha nzuri izingatiwe!

shekh Ponda,,ALLAH AMLINDE NA KUMPA AFYA LUKUKI,,,,,TAQBIIIIR ALLAH AQBAR
anajitahidi kuwa muwazi kusimamia ukweli kwa maslah ya uislam
 
Back
Top Bottom