Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubongo haujawahi kutulia hadi kupigwa chepe!!Haya mambo nilikuwa nafikiri unapitia kwenye foolish age?bado kuna watu wazima wenye crush pia?
Baki na mkeo hilo ndilo chaguo lakooo[emoji445][emoji445][emoji445]
Hata km ni mfupi, huyo ndiye chaguo lako[emoji444][emoji444]
Hata km ni mweusi, huyo ndiye chaguo lako [emoji444][emoji444]
Hichi kicheko kilimponza Kinje, sasa na wewe Anko wangu unajaa kwenye anga za Kigagula, nimepita Kule naona anakuvutia speed tu.Hata kama ni member wa hapahapa JF? Kama ndio basi ni yuleyule, mnamjua 🤣🤣
My forever man crush 💕
Angalia usije muuza mkeo🤣😃💸💸💸💸💸💸💸
Kwanza hiyo crush ndio kitu gani? Maana Mimi najuwa carasha la mgodini tu kusolte madini.Haya mambo nilikuwa nafikiri unapitia kwenye foolish age?bado kuna watu wazima wenye crush pia?
Wee sema ume pagawa, hujui ka ni Lee min ho, au Jang hyuk🤣😃😃Nawasubiria wenye crush wao.
Wapi huko Ankali? Mbona sina taarifa?Hichi kicheko kilimponza Kinje, sasa na wewe Anko wangu unajaa kwenye anga za Kigagula, nimepita Kule naona anakuvutia speed tu.