Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Wewe mtoa mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke nimtoe wapi Mimi.....Angalia usije muuza mkeo🤣😃
Dada yenu kaumbuka huko, huwa napitapita kuongeza siku za kuishi.Wapi huko Ankali? Mbona sina taarifa?
Basi, nimeona 🤣🤣🤣Dada yenu kaumbuka huko, huwa napitapita kuongeza siku za kuishi.
Prettiest...lips zimejaa kama nyamaMarsai martin
View attachment 2875738
Haya mambo nilikuwa nafikiri unapitia kwenye foolish age?bado kuna watu wazima wenye crush pia?
Wee sema ume pagawa, hujui ka ni Lee min ho, au Jang hyuk🤣😃😃
Aisee kazi ipo kwa watu wa jf mashauzi hawajamboo .Mama kizimkazi yaani macho yake yapo very sex angekuwa hajaolewa ningemuweka ndani kumpunguzia majukumu.
Ooh hata mimi sasa nimeelewa hapaMbona ni kawaida tu mkuu, pitia thread nyingi tu utakuta wakianza kutajwa celebrities kuna watu lazma wawataje mastar wanaotamani kutoka nao. Hiyo ndo kucrush mkuu
Ni matamanio na hayafi kutokana na umri japokuwa lugha ya kucrush imekaa kibalehe balehe ila concept yake haiishi
asante sana bibieHata kama ni member wa hapahapa JF? Kama ndio basi ni yuleyule, mnamjua 🤣🤣
My forever man crush 💕
Nomah sana, Demu ni chombo hatari!Huyo demu umenikumhisha enzi hizo alikimbiza sana wenye tamthilia za Kifilipino
Kwenye Timeless akiitwa Arabella na mshikaji wake Angelo
Na The Promise aliitwa Maria na Angelo
Wafilipino sura wamebarikiwa tatizo tako ndo hawana kama mbao
Yeah ana kaface kazuri sanaNomah sana, Demu ni chombo hatari!
WIVU TU SHUT UP Unique FlowerAisee kazi ipo kwa watu wa jf mashauzi hawajamboo .
Atakachoambulia ni pumzi tu vingine anavyoo
Hahaha kama kawaida ni mwendo wa mishangaziOprah Winfrey!!
HiHahaha kama kawaida ni mwendo wa mishangazi