Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi kusikia hili, niliwahi kumwona maeneo ya Mlimani City, Mercy ana maisha yakeMercy Galabawa alizaa na brazamen flani hivi
wa Mbezi beach anaitwa kavira kama sikosei
WajinaNi mtu gani maarufu alikuvutia zaidi na ukatamani angekuwa Mpenzi wako?
Mimi ni huyu Binti wa Kifilipino Kristine Hermosa.
View attachment 2875700
Mtaje Crush wako nawewe..!
Ika wewe🤣🤣🤣🤣Msosi wa thailand ndo crush wangu, wale watu wana jua kupika.
🤣🤣🤣Muheshimiwa mmoja hivi sijui yupo humu
Yule wa Karagwe
My all time crush
Halafu Idris Elba naye
Natania 🤭
Ehhh mi napenda kula chakula 😃, so lazima niende nika enjoy🤗Ika wewe🤣🤣🤣🤣
hivi shose ashatokaga lupango?Huyu binti alikua hatari sana Mercy Galabawa na kulikua na Shose Senare hatari sana
Mmmh sijajua km alitoka au bado ila nadhani itakua alitoka kipindi kile lowads karudi ccm enzi ya Mwendazakehivi shose ashatokaga lupango?
Kaumbuka vibaya mnooDada yenu kaumbuka huko, huwa napitapita kuongeza siku za kuishi.
namsubiria Jaiva clouds hapa..jiwe la wiki roho isuuzikeAweeeeee (Jaivah's voice)
Kwani dhambisema unapenda wenyehela acha ujanjaujanja
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haya mambo nilikuwa nafikiri unapitia kwenye foolish age?bado kuna watu wazima wenye crush pia?
Blaza hujaachaga tu kuweka handle ya hilo jina..si mchezo...
Ni mtu gani maarufu alikuvutia zaidi na ukatamani angekuwa Mpenzi wako?
Mimi ni huyu Binti wa Kifilipino Kristine Hermosa.
View attachment 2875700
Mtaje Crush wako nawewe..!
Haya mambo nilikuwa nafikiri unapitia kwenye foolish age?bado kuna watu wazima wenye crush pia?