Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Hello, crush wako nani maua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hello, crush wako nani maua?
Wewe na mtoa madaHello, crush wako nani maua?
Fungua pm hiyo maua tucrushiane vizuri sasaWewe na mtoa mada
Life begins at 40Haya mambo nilikuwa nafikiri unapitia kwenye foolish age?bado kuna watu wazima wenye crush pia?
🤣🤣🤣Hahaha kama kawaida ni mwendo wa mishangazi
Huyu dada huwa nampigia mastaNi mtu gani maarufu alikuvutia zaidi na ukatamani angekuwa Mpenzi wako?
Mimi ni huyu Binti wa Kifilipino Kristine Hermosa.
View attachment 2875700
Mtaje Crush wako nawewe..!
halafu chembamba flani hivi😋.lips zimejaa kama nyama
Umenikumbusha ile ulivyomchambaga hapa JF[emoji1787][emoji1787]Hadi leo amekimbia ID...Basi, nimeona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi nilijua tu nikakaa kimya kwanza, Diamond haaminiki hata siku moja. Mange kadhalilika maskini!
Ndio maisha ya umbea tena [emoji17]
umenishinda tabia mkuuKama mwembamba, napenda wale wembamba juu lakini chini mbolea izingatiwe awe nayo ya kutosha.
Huyo Mercy Galabawa, FA alimtaja kwenye mabinti. Kuna mabinti wa 1990s na 2000s wakisimamishwa naye anawakimbizaMaaana na upepo umekimbia sana ...na mm nikakimbia ila ngoja nichangie kidogo wa umri wangu wataelewa...
Wakati mercy galabawa yupo on the roof nilichanganyikiwa aiseee...! Akaenda marekani akarudi mi na yeye tu..ila nilimkosa...!
Nina bongo movie aisee i love that woman...yeye na davina was a dream hiyo 2000 to 2004
Nilimkosa kabisa i was off limit...she was hot nilivyosikia na mzee kakaa tena baba mkubwa liyumba...bhaaas nikakausha
96 hiyo caitlyn wa sunset beach aisee ilikua balaa....
Lkn yaliisha yale...na sunset beach ikaisha.....
Aisee si akaja huyo mwanamke wa juma nature...sinta that was something....ila nae ikaenda...!
Wako wengi..ila umri umeenda
Lkn ngoja nijazie...
Yule dada wa itv..akahamia vodacom msemaji dah
Norah
Zay b..huyu tulifika mbali simalizii...
Mboni masimba huyu pia kuna namna nilimuogopa etoo
Mona kama mona...!
Crush ni crush tu..tatizo haitokei ukiwa over 40.unakua unaweza kuicontrol...tofauti na 20s na 30s...
Na kuna dem alikua equity bank golden jubilee aisee pale nilipambana....!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama kizimkazi yaani macho yake yapo very sex angekuwa hajaolewa ningemuweka ndani kumpunguzia majukumu.
JobTrueTrue 🔥🔥Ni mtu gani maarufu alikuvutia zaidi na ukatamani angekuwa Mpenzi wako?
Mimi ni huyu Binti wa Kifilipino Kristine Hermosa.
View attachment 2875700
Mtaje Crush wako nawewe..!
Huyu binti alikua hatari sana Mercy Galabawa na kulikua na Shose Senare hatari sanaHuyo Mercy Galabawa, FA alimtaja kwenye mabinti. Kuna mabinti wa 1990s na 2000s wakisimamishwa naye anawakimbiza
Bashungwaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muheshimiwa mmoja hivi sijui yupo humu
Yule wa Karagwe
My all time crush
Halafu Idris Elba naye
Natania [emoji2960]