Mtu gani maarufu ni Crush wako?

Mtu gani maarufu ni Crush wako?

Maaana na upepo umekimbia sana ...na mm nikakimbia ila ngoja nichangie kidogo wa umri wangu wataelewa...

Wakati mercy galabawa yupo on the roof nilichanganyikiwa aiseee...! Akaenda marekani akarudi mi na yeye tu..ila nilimkosa...!

Nina bongo movie aisee i love that woman...yeye na davina was a dream hiyo 2000 to 2004
Nilimkosa kabisa i was off limit...she was hot nilivyosikia na mzee kakaa tena baba mkubwa liyumba...bhaaas nikakausha

96 hiyo caitlyn wa sunset beach aisee ilikua balaa....
Lkn yaliisha yale...na sunset beach ikaisha.....

Aisee si akaja huyo mwanamke wa juma nature...sinta that was something....ila nae ikaenda...!

Wako wengi..ila umri umeenda

Lkn ngoja nijazie...

Yule dada wa itv..akahamia vodacom msemaji dah
Norah
Zay b..huyu tulifika mbali simalizii...
Mboni masimba huyu pia kuna namna nilimuogopa etoo
Mona kama mona...!


Crush ni crush tu..tatizo haitokei ukiwa over 40.unakua unaweza kuicontrol...tofauti na 20s na 30s...

Na kuna dem alikua equity bank golden jubilee aisee pale nilipambana....!
Hahahahahaha
 
IMG_4097.jpg
 
Umenikumbusha ile ulivyomchambaga hapa JF[emoji1787][emoji1787]Hadi leo amekimbia ID...

Ila hiyo ya Dai ni kama alijua kuna attention inatafutwa.. na hata alivyoiandika ipo kimasihara sana.
Nina bahati sana, ingekuwa ndio kipindi hiki ningedhalilika mwenzenu!
Ningeanikwa nchi nzima ingenijua 😭😭

Hii ya Dai alijaa kweli, ndio maana wala hajakataa. Na ujue hiyo ndio habari inayosubiriwa, so akisema chochote kuhusu kuachana mtu usipokuwa makini unadhalilika.

Mimi niliiona usiku uleule, nikataka kuwaletea hapa nikasema hapana, mpaka nikicheki chanzo changu kwanza nihakikishe maana Dai haaminiki ndio pona yangu 🤣
 
Huyu binti alikua hatari sana Mercy Galabawa na kulikua na Shose Senare hatari sana
Au Miriam Ikowa

Celebs wa kike wa zamani walikuwa smart sana ndio maana baadhi waliolewa na wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa na wengine wana biashara zao, wako walioanzisha taasisi zinazodeal na mambo ya kijamii wanapiga hela za wahisani, wengine wako vitengo vikubwa kwenye makampuni makubwa

Ila celebs wa kike wa miaka hii ni takataka tupu umalaya na kubinua matako ndicho wanachojua
 
Au Miriam Ikowa

Celebs wa kike wa zamani walikuwa smart sana ndio maana baadhi ni waliolewa na wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa na wengine wafanyabiashara, wako walioanzisha taasisi zinazodeal na mambo ya kijamii wanapiga hela za wahisani, wengine wako vitengo vikubwa kwenye makampuni makubwa

Ila celebs wa kike wa miaka hii ni takataka umalaya na kubinua matako ndicho wanachojua
Swadakta Mkuu..Miriam Ikoa..Mercy Galabawa, Shose Senare hawa walikua warembo na akili wanazo..unamkumbuka Emily Adolf?
 
Back
Top Bottom