Mtu hujasoma halafu hutaki kulipwa mshahara mdogo na hutaki kujiajiri, unajielewa kweli?

Mtu hujasoma halafu hutaki kulipwa mshahara mdogo na hutaki kujiajiri, unajielewa kweli?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Unajua hawa Vijana wa sasa hivi ni kama wamewehuka fulani hivi.

Unakuta mtu analalamika Mshahara wake ni mdogo, unajaribu kumsikiliza, unamuuliza unalipwa bei ngani, anakuambia labda laki tatu au laki mbili. Unamuuliza Elimu yako vipi, anakuambia Darasa la Saba au aliachia njiani au aliishia kidato cha nne.

Sawa, unamuuliza, unataka kulipwa kiasi gani. Anakuambia angalau laki saba huko au ikipungua kidogo laki tano. Unabaki kusema iiiiiihsh! Unaweza kumzabua.

Kusoma hakutaka, mshahara mdogo hataki, kajiajiri basi pia hataki. Hivi huko ni kulogwa au nI kitu gani! Hutaki Kulipwa Mshahara mdogo na unajijua haujasoma nenda;
  • Kalime vibarua.
  • Kuwa Dalali chapuchapu.
  • Kuwa machinga.
  • Kuwa mpiga debe, Sarange, piga Pesa.
  • Kuwa Mganga WA kienyeji, piga Pesa.
  • Kuwa Aposto uuze maji ya upako upige Pesa.
  • Kuwa Bodaboda, upige Pesa.
  • Kuwa muokota makopo, piga Pesa.
  • Kuwa Mwanamuziki, piga Pesa.
  • Kuwa mwana Tiktok, mwanamtandao, piga Pesa.
  • Kuwa muosha wadadakucha, piga Pesa.
  • Kuwa mpiganaji WA masumbwi, piga Pesa.
  • Kuwa Mama au Baba ntilie, piga Pesa.
  • Kuwa promoter au manager wa wasanii, piga Pesa.
  • Kuwa MC wa sherehe, misiba na matukio Mbalimbali, piga Pesa.
  • Kuwa feminist au mtetezi wa Wanawake, piga Pesa.
  • Kuwa mchora Tattoo, piga Pesa.
  • Kuwa Game Trainer, piga Pesa.
  • Jifunze kuogelea, kuwa muogeleaji kisha kuwa Mwalimu wa kuogelea, Piga Pesa.
  • Jifunze ngumi, Martial arts, kuwa Mwalimu wa Ngumi, piga Pesa.
  • Kuwa Dancers, piga Pesa.
  • Kuwa mchekeshaji na muongea vioja na vituko, piga Pesa.
  • Kuwa Makeup Artist, piga Pesa.
  • Kuwa mpambaji wa sherehe na matukio, piga Pesa.
  • Jifunze ususi, Suka Watu, piga Pesa.
  • Jifunze Ukungwi, piga Pesa.
  • Kuwa mwanamazingaombwe, piga Pesa.
  • Kuwa chawa, mpambe, Mkandikaji Watu, mpaka Watu mafuta
  • Kwa mgongo wa chupa, piga Pesa.
  • Kuwa mshonaji nguo, piga Pesa.
  • Kuwa models, mwanamitindo, piga Pesa.
  • Kuwa Mtunzi wa simulizi, muongoza filamu, mtayarishaji, piga Pesa.
  • Kuwa mpiga picha, jifunze kupiga picha hata Kwa simu yako, piga Pesa.
  • Kuwa Mwalimu wa wanyama kama Mbwa, farasi, Mwewe, Afu piga Pesa.
  • Kuwa kinyozi wa kujitegemea, au nyozi la taifa, piga Pesa.

Hukusoma sawa, hutaki Mshahara mdogo sawasawa, kajiajri basi, hutaki kujiajiri, sio sawa, mpuuzi nini?

Vijana Maisha ni yako. Kazi yoyote Ile halali ukiifanya Kwa kuipenda itakuheshimisha.

Nataka kukuambia, kuna wakulima wanapesa kuliko Madaktari na Wanasheria waliosoma. Kuna Wachekeshaji na ma-dancer wanamaisha mazuri kuliko wasomi.

Kazi ni kazi. Utalipwa Mshahara kulingana na thamani yako. Maisha mazuri yatatokana na vipaombele vyako.

Acha nipumzike sasa
Sabato njema.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
 
vigezo cha malipo ya kazi si darasa la saba au degree
malipo ya kazi unapewa kulingana na;

nature ya hiyo kazi
uzoefu wa mfanyakazi
ujuzi wa mfanyakazi
muda wa kazi
risk za hiyo kazi

kwa kuzingatia vigezo vya hapo juu ndio vinaweza kuamua mfanyakazi alipwe pesa ngapi na yeye anaweza ku demand pesa anayotaka kwa kuzingatia hivyo vigezo.

haiwezekani kazi imshurubishe mtu alafu alipwe malipo kidogo kwasababu ya darasa la saba.
 
Kwema Wakuu!

Unajua hawa Vijana wa sasa hivi ni kama wamewehuka Fulani hivi.

Unakuta mtu analalamika Mshahara wake ni mdogo, unajaribu kumsikiliza, unamuuliza unalipwa bei ngani, anakuambia labda laki tatu au laki mbili. Unamuuliza Elimu yako vipi, anakuambia Darasa la Saba au aliachia njiani au aliishia kidato cha nne.

Sawa, unamuuliza, unataka Kulipwa kiasi gani. Anakuambia angalau laki saba Huko au ikipungua kidogo laki tano. Unabaki kusema iiiiiihsh! Unaweza kumzabua.

Kusoma hakutaka.
Mshahara mdogo hataki.
Kajiajiri basi pia hataki. Hivi Huko ni kulogwa au NI kitu gani.

Hutaki Kulipwa Mshahara mdogo na unajijua haujasoma, nenda kalime vibarua.
Kuwa Dalali chapuchapu.
Kuwa machinga.
Kuwa mpiga debe, Sarange, piga Pesa.
Kuwa Mganga WA kienyeji, piga Pesa.
Kuwa Aposto uuze maji ya upako upige Pesa.
Kuwa Bodaboda, upige Pesa.
Kuwa muokota makopo, piga Pesa.

Kuwa Mwanamuziki, piga Pesa.
Kuwa mwana Tiktok, mwanamtandao, piga Pesa.
Kuwa muosha wadadakucha, piga Pesa.
Kuwa mpiganaji WA masumbwi, piga Pesa.
Kuwa Mama au Baba ntilie, piga Pesa.
Kuwa promoter au manager wa wasanii, piga Pesa.

Kuwa MC wa sherehe, misiba na matukio Mbalimbali, piga Pesa.
Kuwa feminist au mtetezi wa Wanawake, piga Pesa.

Kuwa mchora Tattoo, piga Pesa.
Kuwa Game Trainer, piga Pesa.
Jifunze kuogelea, kuwa muogeleaji kisha kuwa Mwalimu wa kuogelea, Piga Pesa.

Jifunze ngumi, Martial arts, kuwa Mwalimu wa Ngumi, piga Pesa.

Kuwa Dancers, piga Pesa.
Kuwa mchekeshaji na muongea vioja na vituko, piga Pesa.

Kuwa Makeup Artist, piga Pesa.
Kuwa mpambaji wa sherehe na matukio, piga Pesa.
Jifunze ususi, Suka Watu, piga Pesa.

Jifunze Ukungwi, piga Pesa.
Kuwa mwanamazingaombwe, piga Pesa.

Kuwa chawa, mpambe, Mkandikaji Watu, mpaka Watu mafuta Kwa mgongo wa chupa, piga Pesa.

Kuwa mshonaji nguo, piga Pesa.

Kuwa models, mwanamitindo, piga Pesa.
Kuwa Mtunzi wa simulizi, muongoza filamu, mtayarishaji, piga Pesa.

Kuwa mpiga picha, jifunze kupiga picha hata Kwa simu yako, piga Pesa.

Kuwa Mwalimu wa wanyama kama Mbwa, farasi, Mwewe, Afu piga Pesa.
Kuwa kinyozi wa kujitegemea, au nyozi la taifa, piga Pesa.

Hukusoma Sawa.
Hutaki Mshahara mdogo sawasawa.
Jiajiri basi,
Hutaki kujiajiri, Sio Sawa. Mpuuzi nini?

Vijana Maisha ni yako.
Kazi yoyote Ile halali ukiifanya Kwa kuipenda itakuheshimisha.

Nataka kukuambia, kuna wakulima wanapesa kuliko Madaktari na Wanasheria waliosoma.
Kuna Wachekeshaji na Ma- dancer wanamaisha mazuri kuliko wasomi.

Kazi ni kazi.
Utalipwa Mshahara kulingana na thamani yako.
Maisha mazuri yatatokana na vipaombele vyako.

Acha nipumzike sasa
Sabato njema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Hata kama sijamaliza post yako inaonekana wewe ni bogazi.

Dunia ya sasa bado unauliza Elimy ya mtu?. watu saivi wanapima uwezo wako binafsi na sio makaratasi. kuna watu hawajapita shulw lakini wako vizuri kichwani.

Mpenzi wangu amenizidi Elimu sana tu mbigu na ardhi, lakini niko smart kumzidi mbingu na ardhi.

Yeye ameshomea Sheria , mimi sina proffessional yeyote. lakin najua teknolojia, biashara, pesa, network, na vitu vingine kumzidi. hata kutumia computer namzidi na mimi ndie nilimfundisha kutumia software mbali mbali na mpaka leo mimi ndo naendelea kumfundisha na kumeji mambo yake yote licha shule ameenda na kunizidi.

Ebu jifunze kwa wamerekani na kampuni zao kama google nk.. wao wanaajiri uwezo wako na sio vyeti.

NB: tumia ya sasa watu wanajifunza mambo mengi wwnyewe kuliko Darasani kwaiyo kuqa na elimu kwa maisha ya sasa si lazima uingie darasani. Elimu ya High school inatosha.
 
Hata kama sijamaliza post yako inaonekana wewe ni bogazi.

Dunia ya sasa bado unauliza Elimy ya mtu?. watu saivi wanapima uwezo wako binafsi na sio makaratasi. kuna watu hawajapita shulw lakini wako vizuri kichwani.

Mpenzi wangu amenizidi Elimu sana tu mbigu na ardhi, lakini niko smart kumzidi mbingu na ardhi.

Yeye ameshomea Sheria , mimi sina proffessional yeyote. lakin najua teknolojia, biashara, pesa, network, na vitu vingine kumzidi. hata kutumia computer namzidi na mimi ndie nilimfundisha kutumia software mbali mbali na mpaka leo mimi ndo naendelea kumfundisha na kumeji mambo yake yote licha shule ameenda na kunizidi.

Ebu jifunze kwa wamerekani na kampuni zao kama google nk.. wao wanaajiri uwezo wako na sio vyeti.

NB: tumia ya sasa watu wanajifunza mambo mengi wwnyewe kuliko Darasani kwaiyo kuqa na elimu kwa maisha ya sasa si lazima uingie darasani. Elimu ya High school inatosha.

Kitendo cha kutokusoma mpaka mwisho na kutoa Maoni yako Kwa jumlajumla kupitia bandiko langu inadhihirisha kuwa huyo Mpenzi wako amekuacha mbali kiakili na hapo alipo anakuchora tuu na umbumbumbu wako.

Hiyo NB yako mwisho inachekesha, unaandika kama mtu usiyefikiri sawasawa. ATI Elimu ya High School 😂😂

Ukiulizwa high school ndio Elimu gani sio ajabu ukazidi kujivua nguo hapa
 
vigezo cha malipo ya kazi si darasa la saba au degree
malipo ya kazi unapewa kulingana na;

nature ya hiyo kazi
uzoefu wa mfanyakazi
ujuzi wa mfanyakazi
muda wa kazi
risk za hiyo kazi

kwa kuzingatia vigezo vya hapo juu ndio vinaweza kuamua mfanyakazi alipwe pesa ngapi na yeye anaweza ku demand pesa anayotaka kwa kuzingatia hivyo vigezo.

haiwezekani kazi imshurubishe mtu alafu alipwe malipo kidogo kwasababu ya darasa la saba.

Kazi za sulubu ndizo malipo huwa kidogo sijui kama unalijua Hilo.
 
Kwa nchi zetu hizi mtu akiyapatia maisha hata kama hana elimu kubwa ,lazima awaponde waliosoma. Siwezi kuwalaumu moja kwa moja ila ni tatizo lililokuwa rooted na siasa na wanasiasa wa hii nchi. Kuna mtu hapo juu kasema google wanaajiri kupitia uwezo binafsi wa mtu na sio elimu kubwa mtu anayo . Kwamba ana elimu ndogo . Amepotoka sana.
 
Kitendo cha kutokusoma mpaka mwisho na kutoa Maoni yako Kwa jumlajumla kupitia bandiko langu inadhihirisha kuwa huyo Mpenzi wako amekuacha mbali kiakili na hapo alipo anakuchora tuu na umbumbumbu wako.

Hiyo NB yako mwisho inachekesha, unaandika kama mtu usiyefikiri sawasawa. ATI Elimu ya High School [emoji23][emoji23]

Ukiulizwa high school ndio Elimu gani sio ajabu ukazidi kujivua nguo hapa

Watu tunatumia akili hata kama hujamaliza kuongea najua huyu mtu anataka kuongea nini.

Hata namna ulivyoandika hata kama sijamaliza najua huyo anataka kutoa ujumbe gani.

Ukitaka kuelwa hayo angalia kama nimeongea kitu tofauti na post yako.

Kama nimesena Elimu ya high school unataka tena iwe Elimu gani na umeshaambiwa Elimu ya High School?.

kwamba hujuwi misingi ya Elimu. kwamba mtu akikuambia nina Elimu ya darasa la saba kwamba hujaelewa ana maanisha nini?.

MTU kulipwa mshara sio kuangalia ameishia Darasa la ngapi but angalia anakitu kutu gani ana toa.

Kwasababu Dunia ya sasa kuwa na ujuzi au Elimu fulani si lazima kuingia darasani.

Kusoma Kazi hizi ndo za watu waliosoma na hizi za watu fulani huo ni upuuzi ndomana Africa hatuwezi kuendekea.

Imagine jeff alikuwa muhudumu wa mcdonard akiwa na Elimu ya chuo.

Steve jobs ni drop out ila yeye ndo mwanzilishi wa Apple, na kuacha kwake shule alikuwa anasema ”it was one of the best decisions I ever made”

Change your mindset.
 
Kwa nchi zetu hizi mtu akiyapatia maisha hata kama hana elimu kubwa ,lazima awaponde waliosoma. Siwezi kuwalaumu moja kwa moja ila ni tatizo lililokuwa rooted na siasa na wanasiasa wa hii nchi. Kuna mtu hapo juu kasema google wanaajiri kupitia uwezo binafsi wa mtu na sio elimu kubwa mtu anayo . Kwamba ana elimu ndogo . Amepotoka sana.

Kuelimika na kwenda shule ni mambo mawili tofauti. sijasema elimu ndogo au kubwa.

Tatizo la sisi waafrica tunapambambana sana kumaliza shule na kupata degree na sio kuwa na maarifa zaidi.

Tembea nchi za wenzetu, huwez kusikia mtu ankwambia yeye ni msomi, unajua kwanini?.


Ila anakwambia ni kitu gani anachojua au ana uzoefu nacho.

wenzetu wanapambana kupata ujuzi zaidi na kuwa smart kwa kitu anachofanya, haijalishi una degree au huna.

Hata interview, maswali yanayoulizwa ni kulingani na kazi unayoenda kuifanya na sio kitu ulichosomea.

Ndomana unaona wenzetu wanaamini dunia ya sasa kuna njia nyingi za kujifunza na sii lazima kuwa na degree.
 
Kuelimika na kwenda shule ni mambo mawili tofauti. sijasema elimu ndogo au kubwa.

Tatizo la sisi waafrica tunapambambana sana kumaliza shule na kupata degree na sio kuwa na maarifa zaidi.

Tembea nchi za wenzetu, huwez kusikia mtu ankwambia yeye ni msomi, unajua kwanini?.


Ila anakwambia ni kitu gani anachojua au ana uzoefu nacho.

wenzetu wanapambana kupata ujuzi zaidi na kuwa smart kwa kitu anachofanya, haijalishi una degree au huna.

Hata interview, maswali yanayoulizwa ni kulingani na kazi unayoenda kuifanya na sio kitu ulichosomea.

Ndomana unaona wenzetu wanaamini dunia ya sasa kuna njia nyingi za kujifunza na sii lazima kuwa na degree.
Sawa ,
 
Watu tunatumia akili hata kama hujamaliza kuongea najua huyu mtu anataka kuongea nini.

Hata namna ulivyoandika hata kama sijamaliza najua huyo anataka kutoa ujumbe gani.

Ukitaka kuelwa hayo angalia kama nimeongea kitu tofauti na post yako.

Kama nimesena Elimu ya high school unataka tena iwe Elimu gani na umeshaambiwa Elimu ya High School?.

kwamba hujuwi misingi ya Elimu. kwamba mtu akikuambia nina Elimu ya darasa la saba kwamba hujaelewa ana maanisha nini?.

MTU kulipwa mshara sio kuangalia ameishia Darasa la ngapi but angalia anakitu kutu gani ana toa.

Kwasababu Dunia ya sasa kuwa na ujuzi au Elimu fulani si lazima kuingia darasani.

Kusoma Kazi hizi ndo za watu waliosoma na hizi za watu fulani huo ni upuuzi ndomana Africa hatuwezi kuendekea.

Imagine jeff alikuwa muhudumu wa mcdonard akiwa na Elimu ya chuo.

Steve jobs ni drop out ila yeye ndo mwanzilishi wa Apple, na kuacha kwake shule alikuwa anasema ”it was one of the best decisions I ever made”

Change your mindset.

Huyo Mpenzi wako ndiye anatakiwa akuambie ubadilishe mtazamo wako.

Ukiulizwa ujumbe wa hili andiko utaweza kuusema ikiwa hujasoma mpaka mwisho?

Hapo ndio utajua kuwa hata Mpenzi wako amekuzidi Akili lakini Kwa vile wewe ni Akili fupi huwezi kuliona Jambo hilo
 
Kuelimika na kwenda shule ni mambo mawili tofauti. sijasema elimu ndogo au kubwa.

Tatizo la sisi waafrica tunapambambana sana kumaliza shule na kupata degree na sio kuwa na maarifa zaidi.

Tembea nchi za wenzetu, huwez kusikia mtu ankwambia yeye ni msomi, unajua kwanini?.


Ila anakwambia ni kitu gani anachojua au ana uzoefu nacho.

wenzetu wanapambana kupata ujuzi zaidi na kuwa smart kwa kitu anachofanya, haijalishi una degree au huna.

Hata interview, maswali yanayoulizwa ni kulingani na kazi unayoenda kuifanya na sio kitu ulichosomea.

Ndomana unaona wenzetu wanaamini dunia ya sasa kuna njia nyingi za kujifunza na sii lazima kuwa na degree.

Nchi gani hiyo unayoizungumzia ambayo huulizwi Elimu yako?

Nitajie hizo nchi ili Watu wazijue.

Au ni Foreigners gani wakija hapa kuanzisha makampuni hawaulizi Elimu ya mtu wanayeenda kumuajiri?

Sio unaongea vitu humu kama upo na watoto wako waliorithi Akili zako ndogo.
 
Back
Top Bottom