Mtu huyu amekosa shukrani

Mtu huyu amekosa shukrani

Nashangaa ikiwa umetokea Dodoma na huwaelewi tabia za vijana wa kigogo, nakushanga kuwa hujielewi tabia zenu.

Kijana wa kigogo yeyote anaekuja mjini, kwanza kila anachopata anatafuta simu, nguo mpya, na kibegi cha mgoingoni kipya, kijae nguo mpya.

Akishatimiza hivyo ni lazima aondoke kurudi kijijini kujionesha navyo. Hata iweje huwezi kumzuwia, awe kaenda shule au hajaenda, tabia hiyo ni kwa wagogo wote.

Sifahamu kisaikolijia hiyo inaitwaje lakini wagogo wote wanayo.

Huyo wala hajaondoka kwa nia mbaya wala kuwa siyo hato rudi siku za usoni, ukitaka arudi mapema ni kumuuliza habari za huko tu, watu kawakutaje, wamempokea vipi, vipi wamependa nguo na simu aliyokwenda nayo? Kitaratibu lakini siyo kwa kumstuwa kama unamsaili.

Wewe mwenyewe utakuwa nalo hilo, lipo kwenye damu ya wagogo na jirani zao kwa mbali.

Naongea kwaa uzoefu nilionao kwa wagogo, nimeajiri sana vijana wa kigogo kuanzia kazi za nyumbani, shambani mpaka ofisini, hilo wote wanalo.

Kwanza nilikuwa siwaelewei, nilipowaelewa, aah hawanipi shida kabisa tena sikosi wafanya kazi kabisa kutokana na wao wenyewe.

Hapo inabidi uwe na Reconziliation na esilience za mama Samia, usitaharuki hata kidogo. Ni kawaida sana hiyo kwao.
Pengne usemacho n kweli maana nguo kama nguo kwa kweli amezpata za kutosha tena si za ajabu ajabu ni za kutokea kbs. Uwenda anataka akauzie sura huko kwao dagh mi pesa yng jaman halafu nitoe na nauli now.
 
Pengne usemacho n kweli maana nguo kama nguo kwa kweli amezpata za kutosha tena si za ajabu ajabu ni za kutokea kbs. Uwenda anataka akauzie sura huko kwao dagh mi pesa yng jaman halafu nitoe na nauli now.
Usichoke, peleka na nauli ya kurudi nguzo zikichakaa.
 
Yaani unahangaika na huyo mpumbavu wa nini achana nae ns nauli usimpe
 
Uchunguzi wangu mashabiki wa yanga mnaburuzwa sana na wake zenu ila wewe kuburuzwa na housegal ndio nn?Acha uzuzwa show her your teeth.
 
Knachoniuma ni hela yng, pia nitoe tena nauli kwa mtu ambaye nilitegemea angekaa akatulia afanikiwe awasaidie na huko kwao,
Brother pole sana, tunaomba age range ya huyo binti ndio tukupe ushauri Ila kwa haraka haraka joto limepanda kuna muhuni wake anataka amuwahi huko bush akampelekee Moto inabidi usome maelezo yake between the lines anakwambia anataka 'akalime' jua sisi binadamu tuna vilimo vya aina mbili sasa kilimo alichokwambia wewe sio ulichokifikiria kuna kilimo kingine ndicho alichomaanisha, tunaomba umri wake tukupe ushauri zaidi
 
Brother pole sana, tunaomba age range ya huyo binti ndio tukupe ushauri Ila kwa haraka haraka joto limepanda kuna muhuni wake anataka amuwahi huko bush akampelekee Moto inabidi usome maelezo yake between the lines anakwambia anataka 'akalime' jua sisi binadamu tuna vilimo vya aina mbili sasa kilimo alichokwambia wewe sio ulichokifikiria kuna kilimo kingine ndicho alichomaanisha, tunaomba umri wake tukupe ushauri zaidi
24 yrs.
 
Joto limepanda huyo anataka akapelekewe Moto huko bush, hakuna kilimo hapo mwambie amalizie masomo kwanza aache kiburi wanaume wapo tu anataka akatiwe mimba huko bush kashaona maluweluwe tu huko anakosoma anahitaji mtu wa kumkalisha chini na kumpa warning kabla hayajamkuta
 
Videmu vinajikutaga vijuaji sana, kuna kingine nmekisafirisha had nmekitaftia sehemu ya kufikia ila sahiv kinaleta dharau any way lolote limkute na Mungu mwenye anisaidie katika hili
 
Joto limepanda huyo anataka akapelekewe Moto huko bush, hakuna kilimo hapo mwambie amalizie masomo kwanza aache kiburi wanaume wapo tu anataka akatiwe mimba huko bush kashaona maluweluwe tu huko anakosoma anahitaji mtu wa kumkalisha chini na kumpa warning kabla hayajamkuta
duuh kama
Videmu vinajikutaga vijuaji sana, kuna kingine nmekisafirisha had nmekitaftia sehemu ya kufikia ila sahiv kinaleta dharau any way lolote limkute na Mungu mwenye anisaidie katika hili
yaani we acha tu siamini kbs kama uyu kiumbe anaweza kuwa mjinga kiasi hiki kila nikijiuliza sipati majbu ila nimegundua kumbe watu wenye roho mbaya wasiotaka ndugu kwny miji yao wengne wamesababshiwa kuwa ivyo nina mpango nimwambie aache kila alichopata akiwa hapa nyumban kwng aondoke na alivyokuja navyo tu sa kama n show alitaka akatambie uko bush bs akatambe na alivyokuja navyo.
 
nina mpango nimwambie aache kila alichopata akiwa hapa nyumban kwng aondoke na alivyokuja navyo tu
Hamna mkuu wala usimfanyie hivyo usilipe ubaya kwa ubaya wewe acha afanye vile anavyoona hio age naijua, kuna binti alitoka bush akaja mjini kusoma hivyo hivyo haikupita Mwezi akawa na mahusiano na kijana nyumba ya Pili sasa tulikua tukiondoka asubuhi ni wote nyumba inabaki yenyewe kumbe binti haendi vipi sisi tunaondoka yeye anavizia anabaki nyuma anaingiza huyo kijana ndani wanafanyana ujinga, siku hio kuna kitu nilisahau ndio nilipowafuma wanafanya michezo ya kikubwa wote wakiwa uchi sebleni, yule kijana nilimtia mikwaju mikanda ya kutosha alikua mdogo km kidonge, hazikupita siku nyingi akadai anataka kurudi kwao kumbe tayari kashanasa ana mimba akalazimisha sana, ikatafutwa nauli akarudi kwao baada ya Mwezi anagundulika ana mimba katoka nayo mjini, mabinti wana Siri nyingi sana hawezi kukuambia hadi umfume
 
Achana na hayo mambo, fanya mambo mengine...
 
Hamna mkuu wala usimfanyie hivyo usilipe ubaya kwa ubaya wewe acha afanye vile anavyoona hio age naijua, kuna binti alitoka bush akaja mjini kusoma hivyo hivyo haikupita Mwezi akawa na mahusiano na kijana nyumba ya Pili sasa tulikua tukiondoka asubuhi ni wote nyumba inabaki yenyewe kumbe binti haendi vipi sisi tunaondoka yeye anavizia anabaki nyuma anaingiza huyo kijana ndani wanafanyana ujinga, siku hio kuna kitu nilisahau ndio nilipowafuma wanafanya michezo ya kikubwa wote wakiwa uchi sebleni, yule kijana nilimtia mikwaju mikanda ya kutosha alikua mdogo km kidonge, hazikupita siku nyingi akadai anataka kurudi kwao kumbe tayari kashanasa ana mimba akalazimisha sana, ikatafutwa nauli akarudi kwao baada ya Mwezi anagundulika ana mimba katoka nayo mjini, mabinti wana Siri nyingi sana hawezi kukuambia hadi umfume
mmmh aisee mura
 
Back
Top Bottom