Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani msafi,naona watu wanamlaumu dc kwa kitendo alichofanya wakati hata humu kuna watu washapiga sana hivyo na bado wanafanyaHakuna malaika chini ya jua, wewe mwenyewe unayo madhambi yako mengi tu ambayo ni siri yako. Sisi wakatoliki hatuanzi kwanza ibada mpaka tupige magoti ili tutubu madhambi yetu.
Wabongo unafiki ndio jadi yetu.Nani msafi,naona watu wanamlaumu dc kwa kitendo alichofanya wakati hata humu kuna watu washapiga sana hivyo na bado wanafanya
Kila mtu angefungiwa body cam tungeona vioja sana
Ova
Atakuwa mgeni wa hiyo button tumsamehe bure😂😂.We Kitimoto tangu ujue kuitumia hiyo dislike button naona imekuwa kazi kwerikweri
Haya dislike na hii cmnt tena
Ova
History counts a lotHahahah wazee wa kusagia kunguni😂😂😂 mmemkazia mpaka muende nae kuzimu kudadadeki! Ubaya ni kuwa hawezi tenguliwa this shit is for the past! Ingekuwa imetokea week iliyopita sawa na uzuri mama mtu wa mitandao atakuwa alishaionaga hio clip kwa hio hamna geni!
Muda huohuo, kwani ndio ulikua mtindo unga juhudi upate cheo. Sema Kwa nasari ilichukua muda sababu, nasari aliona acheze movie ili kujibaraguza kuondoa aibuKweni Juliana Shonza alipewa ubunge na unaibu waziri ktk enzi za nani?
Sijamsikia kitambo huyo binti!Kweni Juliana Shonza alipewa ubunge na unaibu waziri ktk enzi za nani?
Kama ya nani? LGBT ch/man au vipi? Au ya MwanyeKiti wetu..Ila Albert Msando CV yake ni chafu sana licha ya kuwa anatokea katika field (Law Field) yenye ethics & culture. Ni mwanasheria mzuri, mtu mzima ila ana akili za kitoto sana.
Skendo zake za mahawara na ulevi uliopindukia hazina idadi, sidhani kama kuna mwanasheria anaemfikia kwa skendo.
Ziko wapi ?Msando hana biashara kubwa??
Labda nikuulize hilo tu
If the so called "jiwe" became a president,why not anybody like msando? Anybody can be anyone ,unless we change! Allow the "jiwe" become no.1 was the greatest crime to be committed in Tz!
Hathubutugi kunijibu huyo boya 😂😂😂Teh teh naona unatamba na home boy tu
😂😂😂
Ova
Touché!Tunaongelea Maadili tuoneshe video ya kipuuzi ya JPM kama hile ya msando ( Jiwe alikua Jiwe kweli hakupenda upuuzi na ujinga ujinga kwa vitendo , I truly miss him ) hata kama kuna vitu alifanya vya kimsando alifanya behind the scene
Hata amber rutty anaweza kuwa dc sasaAcha uchawi hii kitu sote tunafanya na tunapenda sema hatuvujishiwi maana pia hatuna umaarufu. Kunashida gani hapo acha roho mbaya wewe. Kwasababu ya hicho kivideo ndio hana haki kupewa kazi yoyote? Mbona Clinton alikula papa live ofisini tens akiwa madarakani na bado akapewa urais? Poor gossip mind!
Hata amber rutty anaweza kuwa dc kama video hakuvujisha yeye!Hizo zinakuwa ni burudani baada ya kazi..
Tatizo nini hapo, kufanya hayo anayoyafanya faraghani.....kosa kama video kavujisha yeye ila kama video imevujishwa na wahuni wengine basi hilo ndio kosa.... hapo yupo faragha na mpenzi wake kama wewe unavyokuwa faragha na mpenzi wako mkifanya yenu....
So hata amber rutty akilamba shavu la udc sawa tu ilimradi ni mchapakazi na mzalendo!Kila mtu ana upande wake wa siri ambao jamii hauujui/hatuujui. Hyo video haimwondolei mtu kuwa mchapakazi, mzalendo n.k wakati sisi tunamuona mchafu/hafai kupitia video, mama kamuona mchapakazi, mwadilifu, anaweza kuongoza wilaya ndio maana amempa nafasi.
Btw hakuna mkamilifu chini ya jua, wewe mwenyewe unamabo yako yakiwekwa hadharani dunia itasimama!!
Alimteua Jokate licha ya picha chafu za Jojo zilizozagaa mitandaoni!Tunaongelea Maadili tuoneshe video ya kipuuzi ya JPM kama hile ya msando ( Jiwe alikua Jiwe kweli hakupenda upuuzi na ujinga ujinga kwa vitendo , I truly miss him ) hata kama kuna vitu alifanya vya kimsando alifanya behind the scene
Alimteua Jokate licha ya picha chafu za Jojo zilizozagaa mitandaoni!Tunaongelea Maadili tuoneshe video ya kipuuzi ya JPM kama hile ya msando ( Jiwe alikua Jiwe kweli hakupenda upuuzi na ujinga ujinga kwa vitendo , I truly miss him ) hata kama kuna vitu alifanya vya kimsando alifanya behind the scene
Naye ameitazama nakuona hamna tatizo ilikuwa burudani.Hahahah wazee wa kusagia kunguni[emoji23][emoji23][emoji23] mmemkazia mpaka muende nae kuzimu kudadadeki! Ubaya ni kuwa hawezi tenguliwa this shit is for the past! Ingekuwa imetokea week iliyopita sawa na uzuri mama mtu wa mitandao atakuwa alishaionaga hio clip kwa hio hamna geni!