Mtu kama Albert Msando, kwanini anateuliwa kuongoza watu Wilayani?

Hakuna malaika chini ya jua, wewe mwenyewe unayo madhambi yako mengi tu ambayo ni siri yako. Sisi wakatoliki hatuanzi kwanza ibada mpaka tupige magoti ili tutubu madhambi yetu.
Nani msafi,naona watu wanamlaumu dc kwa kitendo alichofanya wakati hata humu kuna watu washapiga sana hivyo na bado wanafanya
Kila mtu angefungiwa body cam tungeona vioja sana

Ova
 
History counts a lot
 
Kweni Juliana Shonza alipewa ubunge na unaibu waziri ktk enzi za nani?
Muda huohuo, kwani ndio ulikua mtindo unga juhudi upate cheo. Sema Kwa nasari ilichukua muda sababu, nasari aliona acheze movie ili kujibaraguza kuondoa aibu
 
Kama ya nani? LGBT ch/man au vipi? Au ya MwanyeKiti wetu..
 
If the so called "jiwe" became a president,why not anybody like msando? Anybody can be anyone ,unless we change! Allow the "jiwe" become no.1 was the greatest crime to be committed in Tz!

Tunaongelea Maadili tuoneshe video ya kipuuzi ya JPM kama hile ya msando ( Jiwe alikua Jiwe kweli hakupenda upuuzi na ujinga ujinga kwa vitendo , I truly miss him ) hata kama kuna vitu alifanya vya kimsando alifanya behind the scene
 
Tunaongelea Maadili tuoneshe video ya kipuuzi ya JPM kama hile ya msando ( Jiwe alikua Jiwe kweli hakupenda upuuzi na ujinga ujinga kwa vitendo , I truly miss him ) hata kama kuna vitu alifanya vya kimsando alifanya behind the scene
TouchΓ©!
 
Hata amber rutty anaweza kuwa dc sasa
 
Hata amber rutty anaweza kuwa dc kama video hakuvujisha yeye!
 
So hata amber rutty akilamba shavu la udc sawa tu ilimradi ni mchapakazi na mzalendo!
 
Tunaongelea Maadili tuoneshe video ya kipuuzi ya JPM kama hile ya msando ( Jiwe alikua Jiwe kweli hakupenda upuuzi na ujinga ujinga kwa vitendo , I truly miss him ) hata kama kuna vitu alifanya vya kimsando alifanya behind the scene
Alimteua Jokate licha ya picha chafu za Jojo zilizozagaa mitandaoni!
 
Tunaongelea Maadili tuoneshe video ya kipuuzi ya JPM kama hile ya msando ( Jiwe alikua Jiwe kweli hakupenda upuuzi na ujinga ujinga kwa vitendo , I truly miss him ) hata kama kuna vitu alifanya vya kimsando alifanya behind the scene
Alimteua Jokate licha ya picha chafu za Jojo zilizozagaa mitandaoni!
 
Naye ameitazama nakuona hamna tatizo ilikuwa burudani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…