Yani niachane na msando huyo mwenye dick ya community isiyo na Siri, Yani dudu ya jamii kila mtu anaipandia tu, kah, hyo issue hata ka ya miaka mingapi internet do not forget Tena hii video itakuwa inamzalilisha mkewe na wanawe tu
Mkuu Nyani Ngabu , kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tuu.
Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.
Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.
Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.
Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.
Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.
Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!
Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya...
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...
Kuomba msamaha alisamehewa ila kukalia ofisi ya umma acheni utani mbona yule DC wa Iringa aliomba msamaha kwahyo watu waharibu Mambo waombe msamaha mhhh, it's like promotion ya uvunjifu wa maadili aisee. Tena hapo nikumuwekea mama Samia mtego kuonekana naye Hana maadili aisee. Jaribu kwa mama
When you lose control, you lose balance. When you lose balance, you lose reason. When you lose reason, you lose logic. And when you lose logic, you basically lose your moral compass. Enter Paul Makonda or whatever his name is. He has lost all the above. An argument can be made he never had...
I could write a listicle about all the foolish ideas this guy has come up with since he became the "Governor" of Dar-Es-Salaam. But I'm not going to do that here. Instead, I'll go straight to his latest grand idea. That being the creation of a database that will contain the names of all married...
Kwa uelewa wangu ni kwasababu tu hiyo clip imetoka hadharani na tumeiona (labda hii iwe ndiyo kasoro kubwa) ila kuna watu ni viongozi wa kuheshimika hufanya makubwa ya kustaajabisha zaidi ya hilo la Msando. I'm not trying to defend him though.
It is human to err
Msando alikosea zamani akaomba radhi, maisha lazima yaendelee. Sasa kama mtu ukifanya makosa hudiserve chance ya pili basi hakuna ambaye angesimama maana sisi sote tunafanya makosa na tuna potential ya kufanya makosa
kama ni hivyo hakuna sababu ya kua na kitu kinachoitwa vetting nchi hii.Kama mtu anaweza akafanya jambo lolote na akiomba radhi kosa lake linakua limefutika iko siku tutapata kiongozi ambaye hataweza kusimamia chochote kile kinachoitwa maadili,nidhamu,utu na heshima.ata hichi tunachoangaika kukisema kila siku sijui tamaduni za kitanzania,sijui maadili ya mtanzania ni upuuzi mtupu.kuna wasanii wamewai kuchukuliwa hatua kwasababu ya video zao za faragha kuonekana wazi,kuna nyimbo zimefungiwa kwasababu ya maneno waliyosema yana udhalilishaji ndani yake lakini leo pia tuna kiongozi wa umma ambaye alishindwa kua na displin na mambo yake binafsi na watu mnamtete.nakwambia kwa ujinga huu tegemea ujinga mwingi zaidi na poromoko kubwa zaidi la maadili kwenye jamii yetu na viongozi wa umma na hakutakua nawakukemea.Angalia uongozi katika namna pana,viongozi hawa hawa ndio wanaoshiriki kutengeneza na kusimamia sheria mbali mbali je kwa kiongozi kama huyu unadhani ataweza vip kusimamia swala la unyanyasaji wa kijinsia au unadhani atakua na ubunifu gani kwa ajili yakudhibiti vitendo kama hivyo.sasa huo ni mfano tu.uangangilie katika engo nyingine za ufisadi,rushwa,umalaya,uhuni,ujambazi(mf.sabaya) n.k
Yani niachane na msando huyo mwenye dick ya community isiyo na Siri, Yani dudu ya jamii kila mtu anaipandia tu, kah, hyo issue hata ka ya miaka mingapi internet do not forget Tena hii video itakuwa inamzalilisha mkewe na wanawe tu
Wako wenye akili walishangazwa.Ata hili la ole sabaya ni matokeo ya kijinga ya hivi hivi.Leo tunatumia muda na fedha za umma kuendesha kesi ya sabaya kwasababu hatukuchukua hatua wakati mambo yake ya ovyo yalivyosemwa na badala yake tukamtunuku cheo.Kilichotokea kila mtu anakijua.
Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe?
What was he doing there? Fingering her?
What the hell is wrong with you Samia?
Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on your appointees? Is there any moral clause in the job description for the positions that you nominate these people for? Any code of ethics to be followed?
Shameful! Repulsive! Disgusting!
And shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?
Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?
=====
Hakuna watu wanaomsaidia Rais @SuluhuSamia kufanya vetting ya ma DC kabla ya kuingizwa kwenye PDF? Kama watu dizaini ya Msando anaingizwa kwenye PDF ya Ikulu bila ya kufanyiwa vetting hii ni hatari zaidi ipo siku tutakuja kupata watu wa hovyo zaidi kwenye nafasi hizi za uteuzi.
Mama yeye yupo pale kulegeza macho kwenye teuzi zake nyingi amevuruga,mfano waziri wa fedha,waziri wa utalii n maliasili tumepigwa....ukija manaibu katambi,ndejembi,naibu waziri utalii nae hewa kabisa,
Kipindi hichi cha covid kenya imepunguza tozo kwa 50% kuvutia utalii,kwetu kodi zimeongezeka kwenye utalii,ukiwa arusha gari za wageni unahesabu yani anafanya teuzi huku anarembua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.