Mtu kama Elon Musk anaweza kuamua nani awe Rais wa Marekani

Mtu kama Elon Musk anaweza kuamua nani awe Rais wa Marekani

Uchaguzi wa Marekani ni wa kipumbavu sana. Mtu anaweza shinda kura nying sana za wananchi ila akaja kuenguliwa na kikundi cha watu 538 wanaojiita electoral college. Ili uwe mshindi wa urais lazima upate kura 270 za hawa wajumbe wa electoral college hata kama kwenye kura za kawaida ulishinda. Hakuna demokrasia huko
 
Uchaguzi wa Marekani ni wa kipumbavu sana. Mtu anaweza shinda kura nying sana za wananchi ila akaja kuenguliwa na kikundi cha watu 538 wanaojiita electoral college. Ili uwe mshindi wa urais lazima upate kura 270 za hawa wajumbe wa electoral college hata kama kwenye kura za kawaida ulishinda. Hakuna demokrasia huko
Sio kweli
 
Media ni hatari sana. Zinaweza wachagulia Rais bila nyie kujua.

Huyu jamaa ana nguvu sana baada ya kununua twitter. Inadaiwa kuwa kuna kipindi baada ya kununua twitter alipost tweet yake. Akaudhika sana baada ya kuona tweet ya Rais Biden in engagement kubwa kuliko yake.

Akawaita mainjinia wa twitter na kuwaambia kuwa wafumue mfumo ili tweets zake ziweze kuonekana mara 1000 zaidi! Jamaa wakafanya hivyo.

Sasa naona jamaa ni MAGA hasa. Sijui kaahidiwa nini? Post zake za kusupport republicans zinavuta mamilioni ya watu.

Influence ya jamaa inaweza kuamua rais wa US.
Atutengenezee mfumo wa kupiga kura kwa biometrics
 
Historia ya Marekani ni tofauti sana na Singapore, Marekani Rais anachaguliwa kwa kura tu, kuanzia wagombea katika vyama hadi Urais. Japo vyama huwa vina uwezo wa kutozingatia kura za wanachama ni nadra sana kufanyika hivyo.

Kuhusu mtu yeyote kuwa Rais kwa Marekani inawezekana mradi amekidhi vigezo muhimu vya katiba.
Marekani rais hachaguliwi kwa kura acheni kudanganga watu
Tupe idadi ya kura alizopata hillary clinton na trump wakati ule
Marekani kuna kakikundi tu cha mabwenyenye 400 sijui miangapi wale hao ndio wanachagua rahisi awe nani na nani asiwe
Kura za wamarekani hazina msaada wowote zaidi ya kiini macho
Leta kura za mwaka 2016 hapa halafu utwambie kura za wamarekani zina msaada gani
Marekani hakuna kura kuna wale wajanja mia ndio wanawaamulia wamarekani zaidi ya 300M nani awe rahisi
Marekani ni madikteta kama madikteta wengine
 
Hata kwenye hiyo electoral college hupitishwi pitishwi kirahisi rahisi na kijanja janja tu.

Lazima ushinde kwa kura zinazotakiwa na hao wahusika.
Sasa wananchi wanapiga kura zanini ikiwa rahisi anapitishwa ama kuchaguliwa na electrol?
Demokrasia iko wapi?
 
Media ni hatari sana. Zinaweza wachagulia Rais bila nyie kujua.

Huyu jamaa ana nguvu sana baada ya kununua twitter. Inadaiwa kuwa kuna kipindi baada ya kununua twitter alipost tweet yake. Akaudhika sana baada ya kuona tweet ya Rais Biden in engagement kubwa kuliko yake.

Akawaita mainjinia wa twitter na kuwaambia kuwa wafumue mfumo ili tweets zake ziweze kuonekana mara 1000 zaidi! Jamaa wakafanya hivyo.

Sasa naona jamaa ni MAGA hasa. Sijui kaahidiwa nini? Post zake za kusupport republicans zinavuta mamilioni ya watu.

Influence ya jamaa inaweza kuamua rais wa US.


Kwanza ujue, Elon Musk ndio living practical real genius aliepo kizazi hiki, so influence yake kisayansi, kiuchumi, kijamii na kisiasa iko juu sana duniani kote sio USA tu..!! Kumbuka aliwaambia UN atawapatia dollar bil 6 free ikiwa watamhakikishia hizo fedha zitamaliza njaa duniani kote, na UN wakatoa plan na Elon aliwapa hizo fedha free kabisa


So, kuhusu Elon Musk kuwa na influence kubwa katika nyanja karibu zote duniani ni sawa kabisa, lakini usisahau kuna Democratic party tycoon and lobbyist George Soros huyo ndio jambazi la kiasiasa na kiuchumi na bilionea for years..!!
 
Media ni hatari sana. Zinaweza wachagulia Rais bila nyie kujua.

Huyu jamaa ana nguvu sana baada ya kununua twitter. Inadaiwa kuwa kuna kipindi baada ya kununua twitter alipost tweet yake. Akaudhika sana baada ya kuona tweet ya Rais Biden in engagement kubwa kuliko yake.

Akawaita mainjinia wa twitter na kuwaambia kuwa wafumue mfumo ili tweets zake ziweze kuonekana mara 1000 zaidi! Jamaa wakafanya hivyo.

Sasa naona jamaa ni MAGA hasa. Sijui kaahidiwa nini? Post zake za kusupport republicans zinavuta mamilioni ya watu.

Influence ya jamaa inaweza kuamua rais wa US.
Kwa mfumo wa marekani hawezi, labda wawe wengi lakin peke yake hatoweza, ni kutokana na mfumo na misingi ya kupata kiongozi ilivyo pande hizo
 
Uchaguzi wa Marekani ni wa kipumbavu sana. Mtu anaweza shinda kura nying sana za wananchi ila akaja kuenguliwa na kikundi cha watu 538 wanaojiita electoral college. Ili uwe mshindi wa urais lazima upate kura 270 za hawa wajumbe wa electoral college hata kama kwenye kura za kawaida ulishinda. Hakuna demokrasia huko
Electro vote ni kura jumuishi . Kila jimbo lina idadi kadhaa ya electro vote. Hizi ni za muhimu kwani zinasadia raisi asichahulie na upande mmoja tu anaokubalika. Mfano kwa tanzania mgombea anaweza chaguliwa na kanda moja na akawa raisi kisa tu hiyo kanda inawakazi wengi.
Kwa Marekani hiyo kanda moja yote inajumuishwa kuwa electro vote kadhaa. Hivyo lazima mgombea apate electro vote nyingine kutoka kanda nyingine ili kuwa na electro vote nyingi kuliko mgombea mwingine.

Ni moja kati ya democrasia bora kabisa. Lazima ukibalike kote.
 
Wananchi kupiga kura wanapiga tu kulingana na uelewa wao na matamanio yao ya kumchagua mgombea fulani wanaye mpenda.

Lakini kujua ni kiongozi yupi anafaa zaidi na kulinda maslahi mapana ya taifa husika,

Lazima iwepo kamati ya watu wenye uelewa mkubwa wa mfumo mzima wa nchi ulivyokuwa, ulivyo na utakavyokuwa.

Hivyo lazima wahakikishe huyo mtu anafaa kuendeleza matakwa yaleyale kwa maslahi mapana ya taifa.

Haijalishi chama cha huyo mgombea.
Electoral College haifanyi kazi hivyo, wanaopiga kura za Electoral college ni raia wa kawaida kabisa ambao wengi ni wanachama wa vyama husika. Wakati wa uchaguzi wa rais kila chama huwa kinawasilisha wapiga kura wake wa Electoral college(electors) katika serikali za majimbo na mgombea anayeshinda kwa wingi wa kura katika hilo jimbo electors wa chama chake tu ndio wanapewa mamlaka ya kupiga kura ya Electoral college.
 
Huyu ndio wanamuogopa akisema namsapoti nani awe rais

 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema hata Marekani ni nchi ya chama kimoja, ila kwasababu tu ya anasa ya wamarekani wao wameamua kua navyo viwili.

Marekani wana free na fair election kwasababu wana chama kimoja walichokigawa mara mbili kuwapa wananchi wao kiini macho cha demokrasia.

Elon Musk na mabilionea wenzake hawana haja kabisa ya kuingilia uchaguzi kwasababu mshindi yoyote yule anaunda sera zitakazowanufaisha.
Marekani ina vyama vya kisiasa zaidi ya 30 kama hujui ila viwili ndivyo maarufu zaidi kwa sababu viko katika kila kona ya nchi. Kaa ukijua hivyo.
 
Back
Top Bottom