Mtu kama Elon Musk anaweza kuamua nani awe Rais wa Marekani

Mtu kama Elon Musk anaweza kuamua nani awe Rais wa Marekani

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema hata Marekani ni nchi ya chama kimoja, ila kwasababu tu ya anasa ya wamarekani wao wameamua kua navyo viwili.

Marekani wana free na fair election kwasababu wana chama kimoja walichokigawa mara mbili kuwapa wananchi wao kiini macho cha demokrasia.

Elon Musk na mabilionea wenzake hawana haja kabisa ya kuingilia uchaguzi kwasababu mshindi yoyote yule anaunda sera zitakazowanufaisha.
Kwanza ujue republican wao wanakinda masirahi ya nchi Yao na watu weupe.

Dems wao wanalinda masirahi ya nchi na minorities...kama wahamiaji, masukuni na LGBTQ (mashoga na namna zake).
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema hata Marekani ni nchi ya chama kimoja, ila kwasababu tu ya anasa ya wamarekani wao wameamua kua navyo viwili.

Marekani wana free na fair election kwasababu wana chama kimoja walichokigawa mara mbili kuwapa wananchi wao kiini macho cha demokrasia.

Elon Musk na mabilionea wenzake hawana haja kabisa ya kuingilia uchaguzi kwasababu mshindi yoyote yule anaunda sera zitakazowanufaisha.
4314730c-4c6f-41f0-be87-789df87a3a81.jpeg
 
Electro vote ni kura jumuishi . Kila jimbo lina idadi kadhaa ya electro vote. Hizi ni za muhimu kwani zinasadia raisi asichahulie na upande mmoja tu anaokubalika. Mfano kwa tanzania mgombea anaweza chaguliwa na kanda moja na akawa raisi kisa tu hiyo kanda inawakazi wengi.
Kwa Marekani hiyo kanda moja yote inajumuishwa kuwa electro vote kadhaa. Hivyo lazima mgombea apate electro vote nyingine kutoka kanda nyingine ili kuwa na electro vote nyingi kuliko mgombea mwingine.

Ni moja kati ya democrasia bora kabisa. Lazima ukibalike kote.
🤣🤣

Hivi nyie watu huwa mnatoa wapi hizo taarifa zenu?

Kwa mfano wewe hiyo ‘electro vote’ umeitoa wapi?
 
Watu wengi hawajui kabisa namna au mfumo wa uchaguzi ulivyo nchini Marekani na ni kazi ngumu sana kuwaelewesha kwa sababu wengine hasa wale ambao wana zile imani za kidini uelewa wao unakuwa wa shida sana.

Mfumo wa uchaguzi ulivyo nchini Marekani ni mzuri sana kwa mazingira yao na wenyewe wanaridhika nao kabisa na ndio maana unakubalika kama uchaguzi uliyo bora zaidi duniani.
 
Electro vote ni kura jumuishi . Kila jimbo lina idadi kadhaa ya electro vote. Hizi ni za muhimu kwani zinasadia raisi asichahulie na upande mmoja tu anaokubalika. Mfano kwa tanzania mgombea anaweza chaguliwa na kanda moja na akawa raisi kisa tu hiyo kanda inawakazi wengi.
Kwa Marekani hiyo kanda moja yote inajumuishwa kuwa electro vote kadhaa. Hivyo lazima mgombea apate electro vote nyingine kutoka kanda nyingine ili kuwa na electro vote nyingi kuliko mgombea mwingine.

Ni moja kati ya democrasia bora kabisa. Lazima ukibalike kote.
Sasa kama ni hivyo si uchaguzi uwe wa hizo electro vote peke yake badala ya kupoteza muda kuwapigisha wananchi wote kura huku mkijua kabisa maamuzi yao sio ya mwisho? Demokrasia ni wengi wape na sio vinginevyo. Au unataka kusema Marekani kuna ukabila na labda huenda kabila la Los Angeles likamchagua fulani kisa kabila lao?
 
Hana uwezo huo, kama ni pesa, US billionaires wako maelfu, na wengine wengi tuu waliwahi kugombea na hawakupata kitu, atapiga kelele na kuchanga tuu kama wengine
 
Watu wengi hawajui kabisa namna au mfumo wa uchaguzi ulivyo nchini Marekani na ni kazi ngumu sana kuwaelewesha kwa sababu wengine hasa wale ambao wana zile imani za kidini uelewa wao unakuwa wa shida sana.

Mfumo wa uchaguzi ulivyo nchini Marekani ni mzuri sana kwa mazingira yao na wenyewe wanaridhika nao kabisa na ndio maana unakubalika kama uchaguzi uliyo bora zaidi duniani.
Lazima lgbtq+ mutetee mifumo yenu inaowapendelea
 
Lazima lgbtq+ mutetee mifumo yenu inaowapendelea
Walioendelea na kujitambua wanalinda na kuheshimu haki za kila raia hata za mashoga pia zinalindwa , ndio maana kila mtu anataka kuishi US, nyie endeleeni kuibiana na kubaguana
 
Ni kweli wapo vizuri sana upande huo nilishangazwa kuona mtu kama Trump kuwa Rais na anapata wafuasi sina hakika kama siasa, uongozi na status ya marekani hapa duniani anaifahamu vizuri au ndio anaichukuliwa kawaida tu.

Namuona ni mtu fulani hivi mwenye maamuzi ya ajabu tofauti na ukubwa wa taifa lake namuona kama mfanyabiashara zaidi tofauti na mwanasiasa jambo zuri wamarekani wana taasisi zenye nguvu kama unavyosema.
Lengo lake kubwa aikiingia ni kuzipunguzia hizo taasisi nguvu kwa madai zinamkwamisha. Anataka watendaji wengi wa taasisi wawe wa kuteuliwa na rais. Republicans wanaproject 2025 ya kufumua kabisa mfumo.

Trump mtu wa ajabu ila sera zake Inaeleweka sana na wazungu wengi wavijijini na wa kujikweza. Sera yake kuu anayoenda nayo uchaguzi huu ni uhamiaji. Hii imempatia sana wafuasi.
 
Mtoto wa kiume wa Elon aligeuka kuwa shoga ndio sababu za Elon kuchanganyikiwa na kuanza kugombana na Democrats.
Kashindwa kumdhibiti mwanae anasingizia demokrats.
 
Marekani rais hachaguliwi kwa kura acheni kudanganga watu
Tupe idadi ya kura alizopata hillary clinton na trump wakati ule
Marekani kuna kakikundi tu cha mabwenyenye 400 sijui miangapi wale hao ndio wanachagua rahisi awe nani na nani asiwe
Kura za wamarekani hazina msaada wowote zaidi ya kiini macho
Leta kura za mwaka 2016 hapa halafu utwambie kura za wamarekani zina msaada gani
Marekani hakuna kura kuna wale wajanja mia ndio wanawaamulia wamarekani zaidi ya 300M nani awe rahisi
Marekani ni madikteta kama madikteta wengine
Uongo, kuna uwezekano hujui kuhusu electoral college
 
Marekani rais hachaguliwi kwa kura acheni kudanganga watu
Tupe idadi ya kura alizopata hillary clinton na trump wakati ule
Marekani kuna kakikundi tu cha mabwenyenye 400 sijui miangapi wale hao ndio wanachagua rahisi awe nani na nani asiwe
Kura za wamarekani hazina msaada wowote zaidi ya kiini macho
Leta kura za mwaka 2016 hapa halafu utwambie kura za wamarekani zina msaada gani
Marekani hakuna kura kuna wale wajanja mia ndio wanawaamulia wamarekani zaidi ya 300M nani awe rahisi
Marekani ni madikteta kama madikteta wengine
Kwa kawaida upigaji kura wa electoral college umeendana na popular votes. Ni mwaka huo mambo ndiyo yalikuwa tofauti. Ni mfumo mzuri ili kuleta usawa wa majimbo lakini una kasoro zake.
 
Lazima lgbtq+ mutetee mifumo yenu inaowapendelea
Lgbtq mkubwa alikuwa ni yule mtume wenu aliyekuwa akinyonya ulimi wa mwanamume mwenzake na baadaye kwenye biashara yao haramu ya utumwa wakaleta tena hiyo dhambi huku Afrika. That's all.
 
Back
Top Bottom