Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani?

Update
Rais Magufuli auita ugonjwa wa Corona ni shetani.
Amekemea wanaofanya mzaha kuhusu Corona
P
 
Mkuu Michael makene , asante nimekisikia, na karibu mitaa hii.
P
 
Harafu nasikia maombi ya huyu jamaa yalikuwa makali sana hadi yakainua tamaa za viongozi wetu ya kupenda
vipande 30 vya fedha za watali kuliko uhai wa watanzania
 
Kabdla ya kuja ma haya mapóvu ungekaa kimya kWanza utafakari nini kimempelekea aseme hivyo...

!!?
Kikawaida "waovu hawaogopi maradhi bali wanaogopa sana maradhi yanayopelekea kifo hususan cha haraka!" Nilipata kuandika humu miaka takriban saba iliyopita na nikaandika tena miaka takriban mitatu iliyopita... hakuna auaye halafu yeye akabaki hai!!
 
Harafu nasikia maombi ya huyu jamaa yalikuwa makali sana hadi yakainua tamaa za viongozi wetu ya kupenda
vipande 30 vya fedha za watali kuliko uhai wa watanzania
Hapo kwenye "watalii" ndipo tatizo lilipoanzia lakini aaaah natunyamaze tu...
Maana wanatafutwa kina technically wawe mbuzi wa kafara huku tukisahaulishwa tulikojikwaa
 
Huyo ni mwendawazimu kabisaaaa,
Ila pia kuna wendawazimu kuliko yeye na hao wako CCM,
Wauaji,wamwaga damu nk
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua P Mayalla una lengo la kuwa expose wengi zaidi. Hujaacha kile ulichomfanyia Kabendera.

Lengo lako ni comments kama hizo zitiririke hapa upeleke file huko.

Una roho mbaya sana, ila watu tu hawakujui.
Sio jambo jema kabisa kuliombea taifa lako mabaya. Na Alichokisema hapa mtoa mada ni jambo zuri. Maana hapo ni kama taifa lako linataka kushambuliwa na magaidi alafu wewe ufurahie.
Kuhusu Eric huyu mtoa mada mnamsingizia maana hao Economist wenyewe walimuexpose. Na hata hilo tangazo la polisi linatia mkazo kuwa wanafuatilia watu kama huyu anaeombea taifa lake lipate janga kama hili.
 

Attachments

  • Screenshot_20200419-141339.png
    27.5 KB · Views: 2
Msiba usikie kwa jirani,Janga lolote lisikie tu huko nnje

sasa hivi ni rahisi kuongea kirahisi rahisi,ila tusiombe

wala kutamani maafa ya Marekani/itally na china yaje TZ

Tutaikimbia nchi hii nawambia,siasa zote zitasahaulika.

kila mtu atatafuta pakwenda ambapo ndio salama yake.
 
** Polisie si wamtaje tu huyo katibu mwenezi wa chama fulani aliyesema wapinzani (Chedema) ni kama Corona. Sasa sijui wanafuatilia nini hapa yaani hii nchi...
 
Nakuambia siku ikitoka taarifa kwamba Magu amefyekelewa mbali na corona au na drone ya muamerica sherehe kubwa itafanyika na corona tutaisahau.Huwezi ukawanyanyasa watu kwenye nchi yao eti kwa kuwa una madaraka
 
Najua P Mayalla una lengo la kuwa expose wengi zaidi. Hujaacha kile ulichomfanyia Kabendera.

Lengo lako ni comments kama hizo zitiririke hapa upeleke file huko.

Una roho mbaya sana, ila watu tu hawakujui.
Aangalie tu corona isimfyekelee mbali,Mungu anaisafisha dunia
 
Hii data bado inatrend?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…