Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani?

Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani?

Wazanzibar bado kibano kitawahusu maana jeshi na state organs zote zitakuwa controlled na vice president ambaye jina lake litajulikana kabla ya j3
Duh...!. Civic Education bado inahitajika sana kwa Watanzania. The President of URT ni Executive President, she is the head of state, head of the Executive arm of the state, the government and CinC of the Army!. Hata akitokea Zanzibar, she is!. Huyo Makamu wa rais kutoka bara, sasa ndio atakuwa anatembea na mikasi!.
P
 
Ila wasukuma cjui mnajisikiaje kuongozwa na mama?????
Duh...!. Civic Education bado inahitajika sana kwa Watanzania. The President of URT ni Executive President, she is the head of state, head of the Executive arm of the state, the government and CinC of the Army!. Hata akitokea Zanzibar, she is!. Huyo Makamu wa rais kutoka bara, sasa ndio atakuwa anatembea na mikasi!.
P
 
Wanabodi

Japo kwa kawaida usiku ni wakati wa kulala na kupumzika, ila kwa watu ma jobless wakiwemo kada yangu ya watu wa "mishe mishe", moja ya usiku ngumu sana, huwa ni usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu ambayo umeipitisha weekend kwa mazabe mazabe, halafu blue Monday inakuja!, usingizi huwa unakata mapema sana, by saa 9:00 usiku, usingizi umekata, hivyo huna jingine lolote la kufanya zaidi ya kushuka JF, ndipo unakutana na taarifa za Corona, usingizi unakata kabisa unakuwa full awake!, hivyo kushuka na makala hii "Kwa Maslahi ya Taifa".

Hii ni thread ya swali tu linalohusu uzalendo na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, nikiuliza, hivi mtu kama huyu ni binadamu mwenzetu au shetani? Anaombeaje ugonjwa wa Corona ufike nchini kwetu Tanzania ili kuikomoa serikali? Mtu kama huyu ni mzima kweli au ni mwendawazimu? Kuiombea nchi yako majanga, sio ni zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani huu?!

Hivi kweli kuna Watanzania wenzetu wenye akili zao timamu kabisa, kwa vile wao sio CCM hivyo wana chuki ya ajabu na serikali ya Magufuli mpaka kufikia hatua ya kuiombea nchi yetu majanga kwa kuomba janga la ugonjwa wa Corona litue nchini mwetu ili kuikomoa serikali kwa kuona jinsi itakavyo kabiliana nalo?!

Corona ikija, atakayeteseka ni serikali au ni mwana CCM pekee?!

Swali hili ni kufuatia nilikuwa nafuatilia thread fulani humu JF, nikakutana na mchango wa ajabu sana wa mwana jf fulani


Duh...!. Kweli is this what you wish for your beloved country Mama Tanzania?.

Huu sio zaidi ya uendawazimu? huu sio ni ushetani kabisa huu?

Pamoja na vitendo vya kiendawazimu na vya kishetani wapinzani wanavyotendewa na serikali yetu, kweli tumefikia kiwango cha Watanzania wenzetu kukosa utu na kugeuka wanyama kwa kuombea majanga yalikumbe taifa letu eti kwa sababu tuu kuna wendawazimu fulani serikalini wanafanya vitendo vya kiendawazimu na kishetani kwa wapinzani, hivyo sasa kuombea ushetani huu utokee kwa serikali yetu kuadhibiwa na janga la ugonjwa wa Corona? Hivi hii Corona ikiingia, atakayeathirika ni serikali ya CCM au ni Watanzania wote akiwemo mwendawazimu huyu?

Nasisitiza ule wito wangu wa siku zote kwenye hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye issues za kitaifa yakiwemo majanga mbalimbali, Watanzania tusimame pamoja kwa uzalendo, umoja, upendo na mshikamano na serikali yetu kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, regardless political affiliations zetu, sisi Watanzania lets pray and stand as one against Corona.

Mungu tuepushie mbali hili janga la ugonjwa wa Corona.

Mungu Ibariki Tanzania.

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Updates.
View attachment 1391238
JF has impact, ukisikia taarifa ya serikali kuhusu mitandao ya kijamii, ujue ni jf.
Rejea
Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!

Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?

Rejea za Mandiko ya The Same Author Kuhusu Janga la Corona
  1. Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani? - JamiiForums
  2. Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa - JamiiForums
  3. Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best! - JamiiForums
  4. RC Makonda, Dar ni jiji la wote, vyama vyote. Mbowe sio mwanasiasa uchwara aliyefilisika, Zitto sio mshirikina. Tunakupenda, heshimu wote uheshimiwe - JamiiForums
  5. Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
  6. Star TV: Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, azungumzia wajibu wa vyombo vya habari kuripoti janga la Corona - JamiiForums
  7. Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika - JamiiForums
  8. Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV - JamiiForums
  9. Star TV: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Wazuri wa Afya Dr. Faustine Ndungulile, Wanazungumzia Corona - JamiiForums
  10. Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa? - JamiiForums
  11. Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!. - JamiiForums
  12. Kwa Kasi Sasa, Jee Tuendelee Ushujaa wa Ka-Corona, Tusitishane, Tuchape Kazi Tukiteketea, Au Sasa Tubadili Msimamo Tusitisishe Mikusanyiko Tuokoke? - JamiiForums
  13. TBC - Mjadala wa Role of The Media kwenye mapambano ya Corona, Je, Media Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
  14. Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
  15. Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza! - JamiiForums
The learned Paschal Mayalla,

Resume on the platform to offer your valuable insights touching the national interests especially at this time to sustain your status despite a few taking it personal resorting with counterattack on individual's personality attack rather than focussing on issues affecting national and community interests.
 
Wanabodi

Japo kwa kawaida usiku ni wakati wa kulala na kupumzika, ila kwa watu ma jobless wakiwemo kada yangu ya watu wa "mishe mishe", moja ya usiku ngumu sana, huwa ni usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu ambayo umeipitisha weekend kwa mazabe mazabe, halafu blue Monday inakuja!, usingizi huwa unakata mapema sana, by saa 9:00 usiku, usingizi umekata, hivyo huna jingine lolote la kufanya zaidi ya kushuka JF, ndipo unakutana na taarifa za Corona, usingizi unakata kabisa unakuwa full awake!, hivyo kushuka na makala hii "Kwa Maslahi ya Taifa".

Hii ni thread ya swali tu linalohusu uzalendo na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, nikiuliza, hivi mtu kama huyu ni binadamu mwenzetu au shetani? Anaombeaje ugonjwa wa Corona ufike nchini kwetu Tanzania ili kuikomoa serikali? Mtu kama huyu ni mzima kweli au ni mwendawazimu? Kuiombea nchi yako majanga, sio ni zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani huu?!

Hivi kweli kuna Watanzania wenzetu wenye akili zao timamu kabisa, kwa vile wao sio CCM hivyo wana chuki ya ajabu na serikali ya Magufuli mpaka kufikia hatua ya kuiombea nchi yetu majanga kwa kuomba janga la ugonjwa wa Corona litue nchini mwetu ili kuikomoa serikali kwa kuona jinsi itakavyo kabiliana nalo?!

Corona ikija, atakayeteseka ni serikali au ni mwana CCM pekee?!

Swali hili ni kufuatia nilikuwa nafuatilia thread fulani humu JF, nikakutana na mchango wa ajabu sana wa mwana jf fulani


Duh...!. Kweli is this what you wish for your beloved country Mama Tanzania?.

Huu sio zaidi ya uendawazimu? huu sio ni ushetani kabisa huu?

Pamoja na vitendo vya kiendawazimu na vya kishetani wapinzani wanavyotendewa na serikali yetu, kweli tumefikia kiwango cha Watanzania wenzetu kukosa utu na kugeuka wanyama kwa kuombea majanga yalikumbe taifa letu eti kwa sababu tuu kuna wendawazimu fulani serikalini wanafanya vitendo vya kiendawazimu na kishetani kwa wapinzani, hivyo sasa kuombea ushetani huu utokee kwa serikali yetu kuadhibiwa na janga la ugonjwa wa Corona? Hivi hii Corona ikiingia, atakayeathirika ni serikali ya CCM au ni Watanzania wote akiwemo mwendawazimu huyu?

Nasisitiza ule wito wangu wa siku zote kwenye hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye issues za kitaifa yakiwemo majanga mbalimbali, Watanzania tusimame pamoja kwa uzalendo, umoja, upendo na mshikamano na serikali yetu kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, regardless political affiliations zetu, sisi Watanzania lets pray and stand as one against Corona.

Mungu tuepushie mbali hili janga la ugonjwa wa Corona.

Mungu Ibariki Tanzania.

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Updates.
View attachment 1391238
JF has impact, ukisikia taarifa ya serikali kuhusu mitandao ya kijamii, ujue ni jf.
Rejea
Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!

Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?

Rejea za Mandiko ya The Same Author Kuhusu Janga la Corona
  1. Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani? - JamiiForums
  2. Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa - JamiiForums
  3. Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best! - JamiiForums
  4. RC Makonda, Dar ni jiji la wote, vyama vyote. Mbowe sio mwanasiasa uchwara aliyefilisika, Zitto sio mshirikina. Tunakupenda, heshimu wote uheshimiwe - JamiiForums
  5. Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
  6. Star TV: Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, azungumzia wajibu wa vyombo vya habari kuripoti janga la Corona - JamiiForums
  7. Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika - JamiiForums
  8. Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV - JamiiForums
  9. Star TV: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Wazuri wa Afya Dr. Faustine Ndungulile, Wanazungumzia Corona - JamiiForums
  10. Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa? - JamiiForums
  11. Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!. - JamiiForums
  12. Kwa Kasi Sasa, Jee Tuendelee Ushujaa wa Ka-Corona, Tusitishane, Tuchape Kazi Tukiteketea, Au Sasa Tubadili Msimamo Tusitisishe Mikusanyiko Tuokoke? - JamiiForums
  13. TBC - Mjadala wa Role of The Media kwenye mapambano ya Corona, Je, Media Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
  14. Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
  15. Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza! - JamiiForums
Corona imetambaa na aliekuwa anailetea mzaha. Sasa walamba viatu mna haha kila kona.
 
Dear paschal thank you for your thread!

I agree with you that it is concerning how a normal supposedly rational human beings can reach to a point of wishing death for their opponents. I am equally appalled by the level of intolerance to opposing views shown by members of this forum and how quickly some resort to vulgar, demeaning, abusive and offensive language instead of reasoned arguments where people differ respectably.

As intellectuals we should ask ourselves the following soul searching questions: -

(i) How did we end up here?
(ii) How did our beloved nation which taught us, as young people, to be civil and call our fellow citizens as relatives "NDUGU" end up with a generation of people that is so angry with their fellow citizens to the extent of wishing them death?
(iv) How did a country that led the independence struggle to enable our neighbors to enjoy the freedom to partake in political activities, to vote and freely express their views end up in the same socio political quagmire that we were trying to get our neighbors from?

To be sincere nowadays political discussions at all levels are not interesting mainly because they lack substance and are overly focused on personal attacks and character assassinations. I know you paschal are a politician or at least you aspire to be one. I strongly suggest that you use your connections and the power of a pen that you have to propose to your fellow politicians that we need to go back to the basics.

I grew up in an era where it was compulsory to learn politics (Siasa) as a subject from primary school up to form four. Siasa exposed me to the thinking of our political leaders of the time and I find some of their fundamental beliefs to be relevant today. I am of the opinion that we need to re-visit the ten CREEDS of a TANU Member (AHADI 10 ZA MWANA TANU) and use them as our compass in re-defining the political future we want for our kids:

AHADI 10 ZA MWANA TANU:
(i) Binadamu wote ni ndugu zangu na Dunia ni moja
(ii) Nitaitumikia nchi yangu na binadamu wenzangu wote kwa unyenyekevu na moyo wa upendo na huruma
(iii) Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umaskini, ujinga, maradhi, na dhuluma hapa nchini na duniani pote
(iv) Rushwa ni adui wa haki, sitatoa wala kupokea rushwa
(v) Cheo ni dhamana sitakitumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu
(vi) Nitajielimisha kwa kadiri ya uwezo wangu na kuitumia elimu kwa faida ya wote
(vii) Nitashirikiana na wenzangu wote kuijenga nchi yetu na dunia yenye haki na amani
(viii) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
(ix) Nitakuwa raia mwema wa Tanzania, Afrika na Dunia nzima
(x) Nitakuwa mtii kwa Rais na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

I am not sure how many politicians in the ruling party these days understand and practice these 10 creeds that the founders of our nation crafted. In fact the 10 creeds had a very global outlook that we seem to struggle with nowadays.

Tata - Omoghaka Wi Chinsiku
 
wazee wa chato Bure kabisa. Tena bure haswaaaaa! Mmeshindwa kumuokoa mtoto wenu?? Ameteketea ziiiii!!! Kwenye shimo la Gamboshi??? Tena hapo karibu tu.
Sasa mtaisoma number wachawi wa nchi walikuwa wanasoma mchezo tu. Tena wakiwa na full huruma.

Sasa huyu Mtoto wenu Rais yuko msukuleni kuleeee alipokwenda Sokoine. Ila sokoine ni mzee sana hata hakumbuki.

Huko amekwenda kuimarisha miundo mbinu ya Gamboshi mkizika tu ndo ntoleee!!!

Sokoine watu walilia sana hilo ni kosa kubwa walifanya kwa kutokujua. Sasa awamu hii msilie wala kutoa chozi muone maajabu narudia tena msilie!!!!

Huyu jiwe alikuwa mweupe sana Ajili ya usomi hewa.hakuwa na chale hata moja ajili ya kuamini yesu mzungu.hii ulimwengu ni mali ya shetani na wafuasi wake.....

Mama samia usithubutu kudharau ushauri wa Majaliwa utafika mbali.
Kale kajamaa ni katoto ka wachawi wa nchi nilisoma nako paleee Butimba TTC.kanajua mengi ila jiwe alikadharau. Kuteuliwa kwake walimshauri. Sasa hatuna pa kusemea.

Huyu paschal ni mjukuu wa Gamboshi tena lile Gwiji haswasaaa nimekutana nae huko usukuleni mara kibao.

Ukidharau ngoma itakuja kivingine kamateni ushauri wangu.

Kingine msikimbilie kuzika muone maajabu. Subirini mkiweza nitumieni ndege faster narudia tena mtu awaye yeyote asilie mtoto wala mkubwa

Kosa lake kubwa marehemu alitumbua watoto wa wakubwa wa wa wachawi wa nchi tena na dharau kubwa juu.richa ya maonyo kadhaa

Ndo yale yale ya Maskini sokoine wa watu wote mnajua humu. alikwenda wapi na yuko wapi na alionekana wapi hadi magazeti ya ulaya waliitoa hiyo

kwa.hilo Janga mtazika Gomba tu. Ila jamaa ni makasi sana bado ana element za u rais. Mbishi japo anafokea fokea walinzi!!! nawaambia.

Rahisi tu ebu fikiria mtu amekufa kwa covid wao wanaongopa eti heart fibrrilation????wapi na wapi???

Wewe unadhani kwa nini wakubwa wa nchi zote pamoja na marais wengi wanavushwa bahari na kwenda kutibiwa Ulaya? Kule wanafanya yao kiubwetee!!!

Hivi mnajua zile ndege zinazo wabeba hao viongozi zinapita angani kwa mtindo gani???

Ikiwa ni pamoja nakuzunguka Bahari ya hindi kwa usawa wa mvuke wa bahari mara kadhaa??!!!

Jiwe alikuwa mweupe sana. Mtoto mdogo kichawi maskini hakujua.

Angalia nyerere alikumbatia watoto wa wachawi wakuu wa nchi wakiwemo wengi tu. Kutoka sumbawanga.na kona nne za malango ya nchi? Mnajua ??? Kwa nini alingangania mwenge uzunguke nchi nzima kuroga na Moshi ukitutumuka???
Dunia nzima ni Tz tu!!

Mbaya zaidi wengi qa qatoto wa wachawi wamestaafu.
tawala zingine zote waliheshimiwa sana.kupitia Nyerere .....sasa mziki mnao chezeni sawa. Haya !!!yangu ni hayo!!!!!
Mkipuuza mtanitafuta leteni ndege mapemaaa. bila masharti muone maajabu.Japo wengine humu wajua!!

Paschael mayalla muangalieni kwa jicho la tatu ana Mengi ya sirini!!!

Mkimkandamiza kwa ujuha wenu hayaaaaaa.......nasema tena mtacheza ngoma msiyoijua.

Wachawi wanchi ni lazima ili mambo yaende.....kamatieni huyu kijana Majaliwa msithubutu kumsema namjua ni nani..ktk zindiko la nchi.yesu mzungu hayupo na wala hakuwepo na wala hatakuja waafrica weusi mtasubili sana na kuitwa nyani kimwendelezo. mpaka mchakae vizazi mpaka vizazi wenye yesu wao huyo wanawachora tu kupitia watu km Gwajima de Great Man agent of hell!!....
 
wazee wa chato Bure kabisa. Tena bure haswaaaaa! Mmeshindwa kumuokoa mtoto wenu?? Ameteketea ziiiii!!! Kwenye shimo la Gamboshi??? Tena hapo karibu tu.
Sasa mtaisoma number wachawi wa nchi walikuwa wanasoma mchezo tu. Tena wakiwa na full huruma.

Sasa huyu Mtoto wenu Rais yuko msukuleni kuleeee alipokwenda Sokoine. Ila sokoine ni mzee sana hata hakumbuki.

Huko amekwenda kuimarisha miundo mbinu ya Gamboshi mkizika tu ndo ntoleee!!!

Sokoine watu walilia sana hilo ni kosa kubwa walifanya kwa kutokujua. Sasa awamu hii msilie wala kutoa chozi muone maajabu narudia tena msilie!!!!

Huyu jiwe alikuwa mweupe sana Ajili ya usomi hewa.hakuwa na chale hata moja ajili ya kuamini yesu mzungu.hii ulimwengu ni mali ya shetani na wafuasi wake.....

Mama samia usithubutu kudharau ushauri wa Majaliwa utafika mbali.
Kale kajamaa ni katoto ka wachawi wa nchi nilisoma nako paleee Butimba TTC.kanajua mengi ila jiwe alikadharau. Kuteuliwa kwake walimshauri. Sasa hatuna pa kusemea.

Huyu paschal ni mjukuu wa Gamboshi tena lile Gwiji haswasaaa nimekutana nae huko usukuleni mara kibao.

Ukidharau ngoma itakuja kivingine kamateni ushauri wangu.

Kingine msikimbilie kuzika muone maajabu. Subirini mkiweza nitumieni ndege faster narudia tena mtu awaye yeyote asilie mtoto wala mkubwa

Kosa lake kubwa marehemu alitumbua watoto wa wakubwa wa wa wachawi wa nchi tena na dharau kubwa juu.richa ya maonyo kadhaa

Ndo yale yale ya Maskini sokoine wa watu wote mnajua humu. alikwenda wapi na yuko wapi na alionekana wapi hadi magazeti ya ulaya waliitoa hiyo

kwa.hilo Janga mtazika Gomba tu. Ila jamaa ni makasi sana bado ana element za u rais. Mbishi japo anafokea fokea walinzi!!! nawaambia.

Rahisi tu ebu fikiria mtu amekufa kwa covid wao wanaongopa eti heart fibrrilation????wapi na wapi???

Wewe unadhani kwa nini wakubwa wa nchi zote pamoja na marais wengi wanavushwa bahari na kwenda kutibiwa Ulaya? Kule wanafanya yao kiubwetee!!!

Hivi mnajua zile ndege zinazo wabeba hao viongozi zinapita angani kwa mtindo gani???

Ikiwa ni pamoja nakuzunguka Bahari ya hindi kwa usawa wa mvuke wa bahari mara kadhaa??!!!

Jiwe alikuwa mweupe sana. Mtoto mdogo kichawi maskini hakujua.

Angalia nyerere alikumbatia watoto wa wachawi wakuu wa nchi wakiwemo wengi tu. Kutoka sumbawanga.na kona nne za malango ya nchi? Mnajua ??? Kwa nini alingangania mwenge uzunguke nchi nzima kuroga na Moshi ukitutumuka???
Dunia nzima ni Tz tu!!

Mbaya zaidi wengi qa qatoto wa wachawi wamestaafu.
tawala zingine zote waliheshimiwa sana.kupitia Nyerere .....sasa mziki mnao chezeni sawa. Haya !!!yangu ni hayo!!!!!
Mkipuuza mtanitafuta leteni ndege mapemaaa. bila masharti muone maajabu.Japo wengine humu wajua!!

Paschael mayalla muangalieni kwa jicho la tatu ana Mengi ya sirini!!!

Mkimkandamiza kwa ujuha wenu hayaaaaaa.......nasema tena mtacheza ngoma msiyoijua.

Wachawi wanchi ni lazima ili mambo yaende.....kamatieni huyu kijana Majaliwa msithubutu kumsema namjua ni nani..ktk zindiko la nchi.yesu mzungu hayupo na wala hakuwepo na wala hatakuja waafrica weusi mtasubili sana na kuitwa nyani kimwendelezo. mpaka mchakae vizazi mpaka vizazi wenye yesu wao huyo wanawachora tu kupitia watu km Gwajima de Great Man agent of hell!!....
Duh
 
Duh...!. Civic Education bado inahitajika sana kwa Watanzania. The President of URT ni Executive President, she is the head of state, head of the Executive arm of the state, the government and CinC of the Army!. Hata akitokea Zanzibar, she is!. Huyo Makamu wa rais kutoka bara, sasa ndio atakuwa anatembea na mikasi!.
P
Hii ipo kwenya katiba sawa,lakini kiuhalisia mambo yako vingine kabisa.Sijui kama unakumbuka swali ulilouliza kipindi kile bado una akili kuwa

" muheshimiwa umetumia mamlaka gani kutangaza zuio la mikutano ya siasa mpaka 2020"
 
Duh...!. Civic Education bado inahitajika sana kwa Watanzania. The President of URT ni Executive President, she is the head of state, head of the Executive arm of the state, the government and CinC of the Army!. Hata akitokea Zanzibar, she is!. Huyo Makamu wa rais kutoka bara, sasa ndio atakuwa anatembea na mikasi!.
P
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Eti makamu atakuwa anatembea na mikasi.
 
wazee wa chato Bure kabisa. Tena bure haswaaaaa! Mmeshindwa kumuokoa mtoto wenu?? Ameteketea ziiiii!!! Kwenye shimo la Gamboshi??? Tena hapo karibu tu.
Sasa mtaisoma number wachawi wa nchi walikuwa wanasoma mchezo tu. Tena wakiwa na full huruma.

Sasa huyu Mtoto wenu Rais yuko msukuleni kuleeee alipokwenda Sokoine. Ila sokoine ni mzee sana hata hakumbuki.

Huko amekwenda kuimarisha miundo mbinu ya Gamboshi mkizika tu ndo ntoleee!!!

Sokoine watu walilia sana hilo ni kosa kubwa walifanya kwa kutokujua. Sasa awamu hii msilie wala kutoa chozi muone maajabu narudia tena msilie!!!!

Huyu jiwe alikuwa mweupe sana Ajili ya usomi hewa.hakuwa na chale hata moja ajili ya kuamini yesu mzungu.hii ulimwengu ni mali ya shetani na wafuasi wake.....

Mama samia usithubutu kudharau ushauri wa Majaliwa utafika mbali.
Kale kajamaa ni katoto ka wachawi wa nchi nilisoma nako paleee Butimba TTC.kanajua mengi ila jiwe alikadharau. Kuteuliwa kwake walimshauri. Sasa hatuna pa kusemea.

Huyu paschal ni mjukuu wa Gamboshi tena lile Gwiji haswasaaa nimekutana nae huko usukuleni mara kibao.

Ukidharau ngoma itakuja kivingine kamateni ushauri wangu.

Kingine msikimbilie kuzika muone maajabu. Subirini mkiweza nitumieni ndege faster narudia tena mtu awaye yeyote asilie mtoto wala mkubwa

Kosa lake kubwa marehemu alitumbua watoto wa wakubwa wa wa wachawi wa nchi tena na dharau kubwa juu.richa ya maonyo kadhaa

Ndo yale yale ya Maskini sokoine wa watu wote mnajua humu. alikwenda wapi na yuko wapi na alionekana wapi hadi magazeti ya ulaya waliitoa hiyo

kwa.hilo Janga mtazika Gomba tu. Ila jamaa ni makasi sana bado ana element za u rais. Mbishi japo anafokea fokea walinzi!!! nawaambia.

Rahisi tu ebu fikiria mtu amekufa kwa covid wao wanaongopa eti heart fibrrilation????wapi na wapi???

Wewe unadhani kwa nini wakubwa wa nchi zote pamoja na marais wengi wanavushwa bahari na kwenda kutibiwa Ulaya? Kule wanafanya yao kiubwetee!!!

Hivi mnajua zile ndege zinazo wabeba hao viongozi zinapita angani kwa mtindo gani???

Ikiwa ni pamoja nakuzunguka Bahari ya hindi kwa usawa wa mvuke wa bahari mara kadhaa??!!!

Jiwe alikuwa mweupe sana. Mtoto mdogo kichawi maskini hakujua.

Angalia nyerere alikumbatia watoto wa wachawi wakuu wa nchi wakiwemo wengi tu. Kutoka sumbawanga.na kona nne za malango ya nchi? Mnajua ??? Kwa nini alingangania mwenge uzunguke nchi nzima kuroga na Moshi ukitutumuka???
Dunia nzima ni Tz tu!!

Mbaya zaidi wengi qa qatoto wa wachawi wamestaafu.
tawala zingine zote waliheshimiwa sana.kupitia Nyerere .....sasa mziki mnao chezeni sawa. Haya !!!yangu ni hayo!!!!!
Mkipuuza mtanitafuta leteni ndege mapemaaa. bila masharti muone maajabu.Japo wengine humu wajua!!

Paschael mayalla muangalieni kwa jicho la tatu ana Mengi ya sirini!!!

Mkimkandamiza kwa ujuha wenu hayaaaaaa.......nasema tena mtacheza ngoma msiyoijua.

Wachawi wanchi ni lazima ili mambo yaende.....kamatieni huyu kijana Majaliwa msithubutu kumsema namjua ni nani..ktk zindiko la nchi.yesu mzungu hayupo na wala hakuwepo na wala hatakuja waafrica weusi mtasubili sana na kuitwa nyani kimwendelezo. mpaka mchakae vizazi mpaka vizazi wenye yesu wao huyo wanawachora tu kupitia watu km Gwajima de Great Man agent of hell!!....
Aiseeee
 
Pascal muda wa umeisha sasa unatakiwa kurudi kwenye fahamu zako mmesifia kwa miaka mitano sasa kumekucha toka usingizini, msalimie bashitee mwambie kuna wana wako jela wanamtamani kinoma
 
Mnafiki mkubwa wewe...mlamba matako....Kuwa neutral ni kitu kizuri....kafie mbele mshenzi mkubwa wewe....Next is you
Sasa mbona unamshushia matusi kutokana na ukweli aliouelezea? Hizo ni chuki binafsi zilizopandwa kwa muda mrefu umetafuta tu mazingira kumshushia hadhi kiharifu kwa mtindo huohuwezi kumwambia mwenzio '...next is you....' are you guaranteed and vouched with God's will?

Mawakala wa ukuwadi na uharifu ndio mnajitokeza nusu nusu miktafuta nafasi kujidhihirisha bayana unafananaje na kwa ajili ya nini!!!

Mheshimuni P, hata kama hukubaliani na mambo mengine mnayoyajua lakini kwa hili umemwonea pasipo kuwa na sababu zozote.
 
wazee wa chato Bure kabisa. Tena bure haswaaaaa! Mmeshindwa kumuokoa mtoto wenu?? Ameteketea ziiiii!!! Kwenye shimo la Gamboshi??? Tena hapo karibu tu.
Sasa mtaisoma number wachawi wa nchi walikuwa wanasoma mchezo tu. Tena wakiwa na full huruma.

Sasa huyu Mtoto wenu Rais yuko msukuleni kuleeee alipokwenda Sokoine. Ila sokoine ni mzee sana hata hakumbuki.

Huko amekwenda kuimarisha miundo mbinu ya Gamboshi mkizika tu ndo ntoleee!!!

Sokoine watu walilia sana hilo ni kosa kubwa walifanya kwa kutokujua. Sasa awamu hii msilie wala kutoa chozi muone maajabu narudia tena msilie!!!!

Huyu jiwe alikuwa mweupe sana Ajili ya usomi hewa.hakuwa na chale hata moja ajili ya kuamini yesu mzungu.hii ulimwengu ni mali ya shetani na wafuasi wake.....

Mama samia usithubutu kudharau ushauri wa Majaliwa utafika mbali.
Kale kajamaa ni katoto ka wachawi wa nchi nilisoma nako paleee Butimba TTC.kanajua mengi ila jiwe alikadharau. Kuteuliwa kwake walimshauri. Sasa hatuna pa kusemea.

Huyu paschal ni mjukuu wa Gamboshi tena lile Gwiji haswasaaa nimekutana nae huko usukuleni mara kibao.

Ukidharau ngoma itakuja kivingine kamateni ushauri wangu.

Kingine msikimbilie kuzika muone maajabu. Subirini mkiweza nitumieni ndege faster narudia tena mtu awaye yeyote asilie mtoto wala mkubwa

Kosa lake kubwa marehemu alitumbua watoto wa wakubwa wa wa wachawi wa nchi tena na dharau kubwa juu.richa ya maonyo kadhaa

Ndo yale yale ya Maskini sokoine wa watu wote mnajua humu. alikwenda wapi na yuko wapi na alionekana wapi hadi magazeti ya ulaya waliitoa hiyo

kwa.hilo Janga mtazika Gomba tu. Ila jamaa ni makasi sana bado ana element za u rais. Mbishi japo anafokea fokea walinzi!!! nawaambia.

Rahisi tu ebu fikiria mtu amekufa kwa covid wao wanaongopa eti heart fibrrilation????wapi na wapi???

Wewe unadhani kwa nini wakubwa wa nchi zote pamoja na marais wengi wanavushwa bahari na kwenda kutibiwa Ulaya? Kule wanafanya yao kiubwetee!!!

Hivi mnajua zile ndege zinazo wabeba hao viongozi zinapita angani kwa mtindo gani???

Ikiwa ni pamoja nakuzunguka Bahari ya hindi kwa usawa wa mvuke wa bahari mara kadhaa??!!!

Jiwe alikuwa mweupe sana. Mtoto mdogo kichawi maskini hakujua.

Angalia nyerere alikumbatia watoto wa wachawi wakuu wa nchi wakiwemo wengi tu. Kutoka sumbawanga.na kona nne za malango ya nchi? Mnajua ??? Kwa nini alingangania mwenge uzunguke nchi nzima kuroga na Moshi ukitutumuka???
Dunia nzima ni Tz tu!!

Mbaya zaidi wengi qa qatoto wa wachawi wamestaafu.
tawala zingine zote waliheshimiwa sana.kupitia Nyerere .....sasa mziki mnao chezeni sawa. Haya !!!yangu ni hayo!!!!!
Mkipuuza mtanitafuta leteni ndege mapemaaa. bila masharti muone maajabu.Japo wengine humu wajua!!

Paschael mayalla muangalieni kwa jicho la tatu ana Mengi ya sirini!!!

Mkimkandamiza kwa ujuha wenu hayaaaaaa.......nasema tena mtacheza ngoma msiyoijua.

Wachawi wanchi ni lazima ili mambo yaende.....kamatieni huyu kijana Majaliwa msithubutu kumsema namjua ni nani..ktk zindiko la nchi.yesu mzungu hayupo na wala hakuwepo na wala hatakuja waafrica weusi mtasubili sana na kuitwa nyani kimwendelezo. mpaka mchakae vizazi mpaka vizazi wenye yesu wao huyo wanawachora tu kupitia watu km Gwajima de Great Man agent of hell!!....
Duh hii mpya
 
Wanabodi

Japo kwa kawaida usiku ni wakati wa kulala na kupumzika, ila kwa watu ma jobless wakiwemo kada yangu ya watu wa "mishe mishe", moja ya usiku ngumu sana, huwa ni usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu ambayo umeipitisha weekend kwa mazabe mazabe, halafu blue Monday inakuja!, usingizi huwa unakata mapema sana, by saa 9:00 usiku, usingizi umekata, hivyo huna jingine lolote la kufanya zaidi ya kushuka JF, ndipo unakutana na taarifa za Corona, usingizi unakata kabisa unakuwa full awake!, hivyo kushuka na makala hii "Kwa Maslahi ya Taifa".

Hii ni thread ya swali tu linalohusu uzalendo na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, nikiuliza, hivi mtu kama huyu ni binadamu mwenzetu au shetani? Anaombeaje ugonjwa wa Corona ufike nchini kwetu Tanzania ili kuikomoa serikali? Mtu kama huyu ni mzima kweli au ni mwendawazimu? Kuiombea nchi yako majanga, sio ni zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani huu?!

Hivi kweli kuna Watanzania wenzetu wenye akili zao timamu kabisa, kwa vile wao sio CCM hivyo wana chuki ya ajabu na serikali ya Magufuli mpaka kufikia hatua ya kuiombea nchi yetu majanga kwa kuomba janga la ugonjwa wa Corona litue nchini mwetu ili kuikomoa serikali kwa kuona jinsi itakavyo kabiliana nalo?!

Corona ikija, atakayeteseka ni serikali au ni mwana CCM pekee?!

Swali hili ni kufuatia nilikuwa nafuatilia thread fulani humu JF, nikakutana na mchango wa ajabu sana wa mwana jf fulani


Duh...!. Kweli is this what you wish for your beloved country Mama Tanzania?.

Huu sio zaidi ya uendawazimu? huu sio ni ushetani kabisa huu?

Pamoja na vitendo vya kiendawazimu na vya kishetani wapinzani wanavyotendewa na serikali yetu, kweli tumefikia kiwango cha Watanzania wenzetu kukosa utu na kugeuka wanyama kwa kuombea majanga yalikumbe taifa letu eti kwa sababu tuu kuna wendawazimu fulani serikalini wanafanya vitendo vya kiendawazimu na kishetani kwa wapinzani, hivyo sasa kuombea ushetani huu utokee kwa serikali yetu kuadhibiwa na janga la ugonjwa wa Corona? Hivi hii Corona ikiingia, atakayeathirika ni serikali ya CCM au ni Watanzania wote akiwemo mwendawazimu huyu?

Nasisitiza ule wito wangu wa siku zote kwenye hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye issues za kitaifa yakiwemo majanga mbalimbali, Watanzania tusimame pamoja kwa uzalendo, umoja, upendo na mshikamano na serikali yetu kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, regardless political affiliations zetu, sisi Watanzania lets pray and stand as one against Corona.

Mungu tuepushie mbali hili janga la ugonjwa wa Corona.

Mungu Ibariki Tanzania.

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Updates.
View attachment 1391238
JF has impact, ukisikia taarifa ya serikali kuhusu mitandao ya kijamii, ujue ni jf.
Rejea
Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!

Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?

Rejea za Mandiko ya The Same Author Kuhusu Janga la Corona
  1. Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani? - JamiiForums
  2. Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa - JamiiForums
  3. Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best! - JamiiForums
  4. RC Makonda, Dar ni jiji la wote, vyama vyote. Mbowe sio mwanasiasa uchwara aliyefilisika, Zitto sio mshirikina. Tunakupenda, heshimu wote uheshimiwe - JamiiForums
  5. Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
  6. Star TV: Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, azungumzia wajibu wa vyombo vya habari kuripoti janga la Corona - JamiiForums
  7. Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika - JamiiForums
  8. Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV - JamiiForums
  9. Star TV: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Wazuri wa Afya Dr. Faustine Ndungulile, Wanazungumzia Corona - JamiiForums
  10. Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa? - JamiiForums
  11. Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!. - JamiiForums
  12. Kwa Kasi Sasa, Jee Tuendelee Ushujaa wa Ka-Corona, Tusitishane, Tuchape Kazi Tukiteketea, Au Sasa Tubadili Msimamo Tusitisishe Mikusanyiko Tuokoke? - JamiiForums
  13. TBC - Mjadala wa Role of The Media kwenye mapambano ya Corona, Je, Media Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
  14. Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
  15. Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza! - JamiiForums
mkuu Pascal Mayalla vipi hatima yako baada ya mheshimiwa kututoka?
 
wazee wa chato Bure kabisa. Tena bure haswaaaaa! Mmeshindwa kumuokoa mtoto wenu?? Ameteketea ziiiii!!! Kwenye shimo la Gamboshi??? Tena hapo karibu tu.
Sasa mtaisoma number wachawi wa nchi walikuwa wanasoma mchezo tu. Tena wakiwa na full huruma.

Sasa huyu Mtoto wenu Rais yuko msukuleni kuleeee alipokwenda Sokoine. Ila sokoine ni mzee sana hata hakumbuki.

Huko amekwenda kuimarisha miundo mbinu ya Gamboshi mkizika tu ndo ntoleee!!!

Sokoine watu walilia sana hilo ni kosa kubwa walifanya kwa kutokujua. Sasa awamu hii msilie wala kutoa chozi muone maajabu narudia tena msilie!!!!

Huyu jiwe alikuwa mweupe sana Ajili ya usomi hewa.hakuwa na chale hata moja ajili ya kuamini yesu mzungu.hii ulimwengu ni mali ya shetani na wafuasi wake.....

Mama samia usithubutu kudharau ushauri wa Majaliwa utafika mbali.
Kale kajamaa ni katoto ka wachawi wa nchi nilisoma nako paleee Butimba TTC.kanajua mengi ila jiwe alikadharau. Kuteuliwa kwake walimshauri. Sasa hatuna pa kusemea.

Huyu paschal ni mjukuu wa Gamboshi tena lile Gwiji haswasaaa nimekutana nae huko usukuleni mara kibao.

Ukidharau ngoma itakuja kivingine kamateni ushauri wangu.

Kingine msikimbilie kuzika muone maajabu. Subirini mkiweza nitumieni ndege faster narudia tena mtu awaye yeyote asilie mtoto wala mkubwa

Kosa lake kubwa marehemu alitumbua watoto wa wakubwa wa wa wachawi wa nchi tena na dharau kubwa juu.richa ya maonyo kadhaa

Ndo yale yale ya Maskini sokoine wa watu wote mnajua humu. alikwenda wapi na yuko wapi na alionekana wapi hadi magazeti ya ulaya waliitoa hiyo

kwa.hilo Janga mtazika Gomba tu. Ila jamaa ni makasi sana bado ana element za u rais. Mbishi japo anafokea fokea walinzi!!! nawaambia.

Rahisi tu ebu fikiria mtu amekufa kwa covid wao wanaongopa eti heart fibrrilation????wapi na wapi???

Wewe unadhani kwa nini wakubwa wa nchi zote pamoja na marais wengi wanavushwa bahari na kwenda kutibiwa Ulaya? Kule wanafanya yao kiubwetee!!!

Hivi mnajua zile ndege zinazo wabeba hao viongozi zinapita angani kwa mtindo gani???

Ikiwa ni pamoja nakuzunguka Bahari ya hindi kwa usawa wa mvuke wa bahari mara kadhaa??!!!

Jiwe alikuwa mweupe sana. Mtoto mdogo kichawi maskini hakujua.

Angalia nyerere alikumbatia watoto wa wachawi wakuu wa nchi wakiwemo wengi tu. Kutoka sumbawanga.na kona nne za malango ya nchi? Mnajua ??? Kwa nini alingangania mwenge uzunguke nchi nzima kuroga na Moshi ukitutumuka???
Dunia nzima ni Tz tu!!

Mbaya zaidi wengi qa qatoto wa wachawi wamestaafu.
tawala zingine zote waliheshimiwa sana.kupitia Nyerere .....sasa mziki mnao chezeni sawa. Haya !!!yangu ni hayo!!!!!
Mkipuuza mtanitafuta leteni ndege mapemaaa. bila masharti muone maajabu.Japo wengine humu wajua!!

Paschael mayalla muangalieni kwa jicho la tatu ana Mengi ya sirini!!!

Mkimkandamiza kwa ujuha wenu hayaaaaaa.......nasema tena mtacheza ngoma msiyoijua.

Wachawi wanchi ni lazima ili mambo yaende.....kamatieni huyu kijana Majaliwa msithubutu kumsema namjua ni nani..ktk zindiko la nchi.yesu mzungu hayupo na wala hakuwepo na wala hatakuja waafrica weusi mtasubili sana na kuitwa nyani kimwendelezo. mpaka mchakae vizazi mpaka vizazi wenye yesu wao huyo wanawachora tu kupitia watu km Gwajima de Great Man agent of hell!!....
Acha uahetani.
 
Back
Top Bottom