Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #301
Duh...!.Yan mm ningefurah ingeaza na yule kiguru anayekalia kile kiti pale makao makuu ya nchi na yule mwenzake mwenye sura mbaya kama banda la Uani
Sent using Jamii Forums mobile app
Very true!.Maneno huumba hasa maneno ya wenye hisia kali
Duh...!. Civic Education bado inahitajika sana kwa Watanzania. The President of URT ni Executive President, she is the head of state, head of the Executive arm of the state, the government and CinC of the Army!. Hata akitokea Zanzibar, she is!. Huyo Makamu wa rais kutoka bara, sasa ndio atakuwa anatembea na mikasi!.Wazanzibar bado kibano kitawahusu maana jeshi na state organs zote zitakuwa controlled na vice president ambaye jina lake litajulikana kabla ya j3
Duh...!. Civic Education bado inahitajika sana kwa Watanzania. The President of URT ni Executive President, she is the head of state, head of the Executive arm of the state, the government and CinC of the Army!. Hata akitokea Zanzibar, she is!. Huyo Makamu wa rais kutoka bara, sasa ndio atakuwa anatembea na mikasi!.
P
The learned Paschal Mayalla,Wanabodi
Japo kwa kawaida usiku ni wakati wa kulala na kupumzika, ila kwa watu ma jobless wakiwemo kada yangu ya watu wa "mishe mishe", moja ya usiku ngumu sana, huwa ni usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu ambayo umeipitisha weekend kwa mazabe mazabe, halafu blue Monday inakuja!, usingizi huwa unakata mapema sana, by saa 9:00 usiku, usingizi umekata, hivyo huna jingine lolote la kufanya zaidi ya kushuka JF, ndipo unakutana na taarifa za Corona, usingizi unakata kabisa unakuwa full awake!, hivyo kushuka na makala hii "Kwa Maslahi ya Taifa".
Hii ni thread ya swali tu linalohusu uzalendo na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, nikiuliza, hivi mtu kama huyu ni binadamu mwenzetu au shetani? Anaombeaje ugonjwa wa Corona ufike nchini kwetu Tanzania ili kuikomoa serikali? Mtu kama huyu ni mzima kweli au ni mwendawazimu? Kuiombea nchi yako majanga, sio ni zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani huu?!
Hivi kweli kuna Watanzania wenzetu wenye akili zao timamu kabisa, kwa vile wao sio CCM hivyo wana chuki ya ajabu na serikali ya Magufuli mpaka kufikia hatua ya kuiombea nchi yetu majanga kwa kuomba janga la ugonjwa wa Corona litue nchini mwetu ili kuikomoa serikali kwa kuona jinsi itakavyo kabiliana nalo?!
Corona ikija, atakayeteseka ni serikali au ni mwana CCM pekee?!
Swali hili ni kufuatia nilikuwa nafuatilia thread fulani humu JF, nikakutana na mchango wa ajabu sana wa mwana jf fulani
Duh...!. Kweli is this what you wish for your beloved country Mama Tanzania?.
Huu sio zaidi ya uendawazimu? huu sio ni ushetani kabisa huu?
Pamoja na vitendo vya kiendawazimu na vya kishetani wapinzani wanavyotendewa na serikali yetu, kweli tumefikia kiwango cha Watanzania wenzetu kukosa utu na kugeuka wanyama kwa kuombea majanga yalikumbe taifa letu eti kwa sababu tuu kuna wendawazimu fulani serikalini wanafanya vitendo vya kiendawazimu na kishetani kwa wapinzani, hivyo sasa kuombea ushetani huu utokee kwa serikali yetu kuadhibiwa na janga la ugonjwa wa Corona? Hivi hii Corona ikiingia, atakayeathirika ni serikali ya CCM au ni Watanzania wote akiwemo mwendawazimu huyu?
Nasisitiza ule wito wangu wa siku zote kwenye hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye issues za kitaifa yakiwemo majanga mbalimbali, Watanzania tusimame pamoja kwa uzalendo, umoja, upendo na mshikamano na serikali yetu kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, regardless political affiliations zetu, sisi Watanzania lets pray and stand as one against Corona.
Mungu tuepushie mbali hili janga la ugonjwa wa Corona.
Mungu Ibariki Tanzania.
Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Updates.
View attachment 1391238
JF has impact, ukisikia taarifa ya serikali kuhusu mitandao ya kijamii, ujue ni jf.
Rejea
Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Rejea za Mandiko ya The Same Author Kuhusu Janga la Corona
- Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani? - JamiiForums
- Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa - JamiiForums
- Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best! - JamiiForums
- RC Makonda, Dar ni jiji la wote, vyama vyote. Mbowe sio mwanasiasa uchwara aliyefilisika, Zitto sio mshirikina. Tunakupenda, heshimu wote uheshimiwe - JamiiForums
- Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
- Star TV: Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, azungumzia wajibu wa vyombo vya habari kuripoti janga la Corona - JamiiForums
- Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika - JamiiForums
- Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV - JamiiForums
- Star TV: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Wazuri wa Afya Dr. Faustine Ndungulile, Wanazungumzia Corona - JamiiForums
- Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa? - JamiiForums
- Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!. - JamiiForums
- Kwa Kasi Sasa, Jee Tuendelee Ushujaa wa Ka-Corona, Tusitishane, Tuchape Kazi Tukiteketea, Au Sasa Tubadili Msimamo Tusitisishe Mikusanyiko Tuokoke? - JamiiForums
- TBC - Mjadala wa Role of The Media kwenye mapambano ya Corona, Je, Media Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
- Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
- Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza! - JamiiForums
Corona imetambaa na aliekuwa anailetea mzaha. Sasa walamba viatu mna haha kila kona.Wanabodi
Japo kwa kawaida usiku ni wakati wa kulala na kupumzika, ila kwa watu ma jobless wakiwemo kada yangu ya watu wa "mishe mishe", moja ya usiku ngumu sana, huwa ni usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu ambayo umeipitisha weekend kwa mazabe mazabe, halafu blue Monday inakuja!, usingizi huwa unakata mapema sana, by saa 9:00 usiku, usingizi umekata, hivyo huna jingine lolote la kufanya zaidi ya kushuka JF, ndipo unakutana na taarifa za Corona, usingizi unakata kabisa unakuwa full awake!, hivyo kushuka na makala hii "Kwa Maslahi ya Taifa".
Hii ni thread ya swali tu linalohusu uzalendo na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, nikiuliza, hivi mtu kama huyu ni binadamu mwenzetu au shetani? Anaombeaje ugonjwa wa Corona ufike nchini kwetu Tanzania ili kuikomoa serikali? Mtu kama huyu ni mzima kweli au ni mwendawazimu? Kuiombea nchi yako majanga, sio ni zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani huu?!
Hivi kweli kuna Watanzania wenzetu wenye akili zao timamu kabisa, kwa vile wao sio CCM hivyo wana chuki ya ajabu na serikali ya Magufuli mpaka kufikia hatua ya kuiombea nchi yetu majanga kwa kuomba janga la ugonjwa wa Corona litue nchini mwetu ili kuikomoa serikali kwa kuona jinsi itakavyo kabiliana nalo?!
Corona ikija, atakayeteseka ni serikali au ni mwana CCM pekee?!
Swali hili ni kufuatia nilikuwa nafuatilia thread fulani humu JF, nikakutana na mchango wa ajabu sana wa mwana jf fulani
Duh...!. Kweli is this what you wish for your beloved country Mama Tanzania?.
Huu sio zaidi ya uendawazimu? huu sio ni ushetani kabisa huu?
Pamoja na vitendo vya kiendawazimu na vya kishetani wapinzani wanavyotendewa na serikali yetu, kweli tumefikia kiwango cha Watanzania wenzetu kukosa utu na kugeuka wanyama kwa kuombea majanga yalikumbe taifa letu eti kwa sababu tuu kuna wendawazimu fulani serikalini wanafanya vitendo vya kiendawazimu na kishetani kwa wapinzani, hivyo sasa kuombea ushetani huu utokee kwa serikali yetu kuadhibiwa na janga la ugonjwa wa Corona? Hivi hii Corona ikiingia, atakayeathirika ni serikali ya CCM au ni Watanzania wote akiwemo mwendawazimu huyu?
Nasisitiza ule wito wangu wa siku zote kwenye hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye issues za kitaifa yakiwemo majanga mbalimbali, Watanzania tusimame pamoja kwa uzalendo, umoja, upendo na mshikamano na serikali yetu kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, regardless political affiliations zetu, sisi Watanzania lets pray and stand as one against Corona.
Mungu tuepushie mbali hili janga la ugonjwa wa Corona.
Mungu Ibariki Tanzania.
Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Updates.
View attachment 1391238
JF has impact, ukisikia taarifa ya serikali kuhusu mitandao ya kijamii, ujue ni jf.
Rejea
Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Rejea za Mandiko ya The Same Author Kuhusu Janga la Corona
- Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani? - JamiiForums
- Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa - JamiiForums
- Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best! - JamiiForums
- RC Makonda, Dar ni jiji la wote, vyama vyote. Mbowe sio mwanasiasa uchwara aliyefilisika, Zitto sio mshirikina. Tunakupenda, heshimu wote uheshimiwe - JamiiForums
- Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
- Star TV: Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, azungumzia wajibu wa vyombo vya habari kuripoti janga la Corona - JamiiForums
- Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika - JamiiForums
- Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV - JamiiForums
- Star TV: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Wazuri wa Afya Dr. Faustine Ndungulile, Wanazungumzia Corona - JamiiForums
- Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa? - JamiiForums
- Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!. - JamiiForums
- Kwa Kasi Sasa, Jee Tuendelee Ushujaa wa Ka-Corona, Tusitishane, Tuchape Kazi Tukiteketea, Au Sasa Tubadili Msimamo Tusitisishe Mikusanyiko Tuokoke? - JamiiForums
- TBC - Mjadala wa Role of The Media kwenye mapambano ya Corona, Je, Media Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
- Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
- Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza! - JamiiForums
Duhwazee wa chato Bure kabisa. Tena bure haswaaaaa! Mmeshindwa kumuokoa mtoto wenu?? Ameteketea ziiiii!!! Kwenye shimo la Gamboshi??? Tena hapo karibu tu.
Sasa mtaisoma number wachawi wa nchi walikuwa wanasoma mchezo tu. Tena wakiwa na full huruma.
Sasa huyu Mtoto wenu Rais yuko msukuleni kuleeee alipokwenda Sokoine. Ila sokoine ni mzee sana hata hakumbuki.
Huko amekwenda kuimarisha miundo mbinu ya Gamboshi mkizika tu ndo ntoleee!!!
Sokoine watu walilia sana hilo ni kosa kubwa walifanya kwa kutokujua. Sasa awamu hii msilie wala kutoa chozi muone maajabu narudia tena msilie!!!!
Huyu jiwe alikuwa mweupe sana Ajili ya usomi hewa.hakuwa na chale hata moja ajili ya kuamini yesu mzungu.hii ulimwengu ni mali ya shetani na wafuasi wake.....
Mama samia usithubutu kudharau ushauri wa Majaliwa utafika mbali.
Kale kajamaa ni katoto ka wachawi wa nchi nilisoma nako paleee Butimba TTC.kanajua mengi ila jiwe alikadharau. Kuteuliwa kwake walimshauri. Sasa hatuna pa kusemea.
Huyu paschal ni mjukuu wa Gamboshi tena lile Gwiji haswasaaa nimekutana nae huko usukuleni mara kibao.
Ukidharau ngoma itakuja kivingine kamateni ushauri wangu.
Kingine msikimbilie kuzika muone maajabu. Subirini mkiweza nitumieni ndege faster narudia tena mtu awaye yeyote asilie mtoto wala mkubwa
Kosa lake kubwa marehemu alitumbua watoto wa wakubwa wa wa wachawi wa nchi tena na dharau kubwa juu.richa ya maonyo kadhaa
Ndo yale yale ya Maskini sokoine wa watu wote mnajua humu. alikwenda wapi na yuko wapi na alionekana wapi hadi magazeti ya ulaya waliitoa hiyo
kwa.hilo Janga mtazika Gomba tu. Ila jamaa ni makasi sana bado ana element za u rais. Mbishi japo anafokea fokea walinzi!!! nawaambia.
Rahisi tu ebu fikiria mtu amekufa kwa covid wao wanaongopa eti heart fibrrilation????wapi na wapi???
Wewe unadhani kwa nini wakubwa wa nchi zote pamoja na marais wengi wanavushwa bahari na kwenda kutibiwa Ulaya? Kule wanafanya yao kiubwetee!!!
Hivi mnajua zile ndege zinazo wabeba hao viongozi zinapita angani kwa mtindo gani???
Ikiwa ni pamoja nakuzunguka Bahari ya hindi kwa usawa wa mvuke wa bahari mara kadhaa??!!!
Jiwe alikuwa mweupe sana. Mtoto mdogo kichawi maskini hakujua.
Angalia nyerere alikumbatia watoto wa wachawi wakuu wa nchi wakiwemo wengi tu. Kutoka sumbawanga.na kona nne za malango ya nchi? Mnajua ??? Kwa nini alingangania mwenge uzunguke nchi nzima kuroga na Moshi ukitutumuka???
Dunia nzima ni Tz tu!!
Mbaya zaidi wengi qa qatoto wa wachawi wamestaafu.
tawala zingine zote waliheshimiwa sana.kupitia Nyerere .....sasa mziki mnao chezeni sawa. Haya !!!yangu ni hayo!!!!!
Mkipuuza mtanitafuta leteni ndege mapemaaa. bila masharti muone maajabu.Japo wengine humu wajua!!
Paschael mayalla muangalieni kwa jicho la tatu ana Mengi ya sirini!!!
Mkimkandamiza kwa ujuha wenu hayaaaaaa.......nasema tena mtacheza ngoma msiyoijua.
Wachawi wanchi ni lazima ili mambo yaende.....kamatieni huyu kijana Majaliwa msithubutu kumsema namjua ni nani..ktk zindiko la nchi.yesu mzungu hayupo na wala hakuwepo na wala hatakuja waafrica weusi mtasubili sana na kuitwa nyani kimwendelezo. mpaka mchakae vizazi mpaka vizazi wenye yesu wao huyo wanawachora tu kupitia watu km Gwajima de Great Man agent of hell!!....
Mnafiki mkubwa wewe...mlamba matako....Kuwa neutral ni kitu kizuri....kafie mbele mshenzi mkubwa wewe....Next is youDuh...!.
P
Hii ipo kwenya katiba sawa,lakini kiuhalisia mambo yako vingine kabisa.Sijui kama unakumbuka swali ulilouliza kipindi kile bado una akili kuwaDuh...!. Civic Education bado inahitajika sana kwa Watanzania. The President of URT ni Executive President, she is the head of state, head of the Executive arm of the state, the government and CinC of the Army!. Hata akitokea Zanzibar, she is!. Huyo Makamu wa rais kutoka bara, sasa ndio atakuwa anatembea na mikasi!.
P
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Duh...!. Civic Education bado inahitajika sana kwa Watanzania. The President of URT ni Executive President, she is the head of state, head of the Executive arm of the state, the government and CinC of the Army!. Hata akitokea Zanzibar, she is!. Huyo Makamu wa rais kutoka bara, sasa ndio atakuwa anatembea na mikasi!.
P
Aiseeeewazee wa chato Bure kabisa. Tena bure haswaaaaa! Mmeshindwa kumuokoa mtoto wenu?? Ameteketea ziiiii!!! Kwenye shimo la Gamboshi??? Tena hapo karibu tu.
Sasa mtaisoma number wachawi wa nchi walikuwa wanasoma mchezo tu. Tena wakiwa na full huruma.
Sasa huyu Mtoto wenu Rais yuko msukuleni kuleeee alipokwenda Sokoine. Ila sokoine ni mzee sana hata hakumbuki.
Huko amekwenda kuimarisha miundo mbinu ya Gamboshi mkizika tu ndo ntoleee!!!
Sokoine watu walilia sana hilo ni kosa kubwa walifanya kwa kutokujua. Sasa awamu hii msilie wala kutoa chozi muone maajabu narudia tena msilie!!!!
Huyu jiwe alikuwa mweupe sana Ajili ya usomi hewa.hakuwa na chale hata moja ajili ya kuamini yesu mzungu.hii ulimwengu ni mali ya shetani na wafuasi wake.....
Mama samia usithubutu kudharau ushauri wa Majaliwa utafika mbali.
Kale kajamaa ni katoto ka wachawi wa nchi nilisoma nako paleee Butimba TTC.kanajua mengi ila jiwe alikadharau. Kuteuliwa kwake walimshauri. Sasa hatuna pa kusemea.
Huyu paschal ni mjukuu wa Gamboshi tena lile Gwiji haswasaaa nimekutana nae huko usukuleni mara kibao.
Ukidharau ngoma itakuja kivingine kamateni ushauri wangu.
Kingine msikimbilie kuzika muone maajabu. Subirini mkiweza nitumieni ndege faster narudia tena mtu awaye yeyote asilie mtoto wala mkubwa
Kosa lake kubwa marehemu alitumbua watoto wa wakubwa wa wa wachawi wa nchi tena na dharau kubwa juu.richa ya maonyo kadhaa
Ndo yale yale ya Maskini sokoine wa watu wote mnajua humu. alikwenda wapi na yuko wapi na alionekana wapi hadi magazeti ya ulaya waliitoa hiyo
kwa.hilo Janga mtazika Gomba tu. Ila jamaa ni makasi sana bado ana element za u rais. Mbishi japo anafokea fokea walinzi!!! nawaambia.
Rahisi tu ebu fikiria mtu amekufa kwa covid wao wanaongopa eti heart fibrrilation????wapi na wapi???
Wewe unadhani kwa nini wakubwa wa nchi zote pamoja na marais wengi wanavushwa bahari na kwenda kutibiwa Ulaya? Kule wanafanya yao kiubwetee!!!
Hivi mnajua zile ndege zinazo wabeba hao viongozi zinapita angani kwa mtindo gani???
Ikiwa ni pamoja nakuzunguka Bahari ya hindi kwa usawa wa mvuke wa bahari mara kadhaa??!!!
Jiwe alikuwa mweupe sana. Mtoto mdogo kichawi maskini hakujua.
Angalia nyerere alikumbatia watoto wa wachawi wakuu wa nchi wakiwemo wengi tu. Kutoka sumbawanga.na kona nne za malango ya nchi? Mnajua ??? Kwa nini alingangania mwenge uzunguke nchi nzima kuroga na Moshi ukitutumuka???
Dunia nzima ni Tz tu!!
Mbaya zaidi wengi qa qatoto wa wachawi wamestaafu.
tawala zingine zote waliheshimiwa sana.kupitia Nyerere .....sasa mziki mnao chezeni sawa. Haya !!!yangu ni hayo!!!!!
Mkipuuza mtanitafuta leteni ndege mapemaaa. bila masharti muone maajabu.Japo wengine humu wajua!!
Paschael mayalla muangalieni kwa jicho la tatu ana Mengi ya sirini!!!
Mkimkandamiza kwa ujuha wenu hayaaaaaa.......nasema tena mtacheza ngoma msiyoijua.
Wachawi wanchi ni lazima ili mambo yaende.....kamatieni huyu kijana Majaliwa msithubutu kumsema namjua ni nani..ktk zindiko la nchi.yesu mzungu hayupo na wala hakuwepo na wala hatakuja waafrica weusi mtasubili sana na kuitwa nyani kimwendelezo. mpaka mchakae vizazi mpaka vizazi wenye yesu wao huyo wanawachora tu kupitia watu km Gwajima de Great Man agent of hell!!....
Sasa mbona unamshushia matusi kutokana na ukweli aliouelezea? Hizo ni chuki binafsi zilizopandwa kwa muda mrefu umetafuta tu mazingira kumshushia hadhi kiharifu kwa mtindo huohuwezi kumwambia mwenzio '...next is you....' are you guaranteed and vouched with God's will?Mnafiki mkubwa wewe...mlamba matako....Kuwa neutral ni kitu kizuri....kafie mbele mshenzi mkubwa wewe....Next is you
Unabii wako umetumia Mkuu,yule Mtesi wetu amedondoshwa.Tulipofikia wacha ije we all be wiped out and have a new creation, labda mbaya wangu anaweza ondoka. kwa sasa maisha hayana maana tanzania
Unabii umetimia....No, lkn afadhali ije maana Tanzania tulipo0fikia ngoja ije tupotee, labda wabaya wetu/watesi wetu Inshallah wanaweza kukumbwa
Duh hii mpyawazee wa chato Bure kabisa. Tena bure haswaaaaa! Mmeshindwa kumuokoa mtoto wenu?? Ameteketea ziiiii!!! Kwenye shimo la Gamboshi??? Tena hapo karibu tu.
Sasa mtaisoma number wachawi wa nchi walikuwa wanasoma mchezo tu. Tena wakiwa na full huruma.
Sasa huyu Mtoto wenu Rais yuko msukuleni kuleeee alipokwenda Sokoine. Ila sokoine ni mzee sana hata hakumbuki.
Huko amekwenda kuimarisha miundo mbinu ya Gamboshi mkizika tu ndo ntoleee!!!
Sokoine watu walilia sana hilo ni kosa kubwa walifanya kwa kutokujua. Sasa awamu hii msilie wala kutoa chozi muone maajabu narudia tena msilie!!!!
Huyu jiwe alikuwa mweupe sana Ajili ya usomi hewa.hakuwa na chale hata moja ajili ya kuamini yesu mzungu.hii ulimwengu ni mali ya shetani na wafuasi wake.....
Mama samia usithubutu kudharau ushauri wa Majaliwa utafika mbali.
Kale kajamaa ni katoto ka wachawi wa nchi nilisoma nako paleee Butimba TTC.kanajua mengi ila jiwe alikadharau. Kuteuliwa kwake walimshauri. Sasa hatuna pa kusemea.
Huyu paschal ni mjukuu wa Gamboshi tena lile Gwiji haswasaaa nimekutana nae huko usukuleni mara kibao.
Ukidharau ngoma itakuja kivingine kamateni ushauri wangu.
Kingine msikimbilie kuzika muone maajabu. Subirini mkiweza nitumieni ndege faster narudia tena mtu awaye yeyote asilie mtoto wala mkubwa
Kosa lake kubwa marehemu alitumbua watoto wa wakubwa wa wa wachawi wa nchi tena na dharau kubwa juu.richa ya maonyo kadhaa
Ndo yale yale ya Maskini sokoine wa watu wote mnajua humu. alikwenda wapi na yuko wapi na alionekana wapi hadi magazeti ya ulaya waliitoa hiyo
kwa.hilo Janga mtazika Gomba tu. Ila jamaa ni makasi sana bado ana element za u rais. Mbishi japo anafokea fokea walinzi!!! nawaambia.
Rahisi tu ebu fikiria mtu amekufa kwa covid wao wanaongopa eti heart fibrrilation????wapi na wapi???
Wewe unadhani kwa nini wakubwa wa nchi zote pamoja na marais wengi wanavushwa bahari na kwenda kutibiwa Ulaya? Kule wanafanya yao kiubwetee!!!
Hivi mnajua zile ndege zinazo wabeba hao viongozi zinapita angani kwa mtindo gani???
Ikiwa ni pamoja nakuzunguka Bahari ya hindi kwa usawa wa mvuke wa bahari mara kadhaa??!!!
Jiwe alikuwa mweupe sana. Mtoto mdogo kichawi maskini hakujua.
Angalia nyerere alikumbatia watoto wa wachawi wakuu wa nchi wakiwemo wengi tu. Kutoka sumbawanga.na kona nne za malango ya nchi? Mnajua ??? Kwa nini alingangania mwenge uzunguke nchi nzima kuroga na Moshi ukitutumuka???
Dunia nzima ni Tz tu!!
Mbaya zaidi wengi qa qatoto wa wachawi wamestaafu.
tawala zingine zote waliheshimiwa sana.kupitia Nyerere .....sasa mziki mnao chezeni sawa. Haya !!!yangu ni hayo!!!!!
Mkipuuza mtanitafuta leteni ndege mapemaaa. bila masharti muone maajabu.Japo wengine humu wajua!!
Paschael mayalla muangalieni kwa jicho la tatu ana Mengi ya sirini!!!
Mkimkandamiza kwa ujuha wenu hayaaaaaa.......nasema tena mtacheza ngoma msiyoijua.
Wachawi wanchi ni lazima ili mambo yaende.....kamatieni huyu kijana Majaliwa msithubutu kumsema namjua ni nani..ktk zindiko la nchi.yesu mzungu hayupo na wala hakuwepo na wala hatakuja waafrica weusi mtasubili sana na kuitwa nyani kimwendelezo. mpaka mchakae vizazi mpaka vizazi wenye yesu wao huyo wanawachora tu kupitia watu km Gwajima de Great Man agent of hell!!....
mkuu Pascal Mayalla vipi hatima yako baada ya mheshimiwa kututoka?Wanabodi
Japo kwa kawaida usiku ni wakati wa kulala na kupumzika, ila kwa watu ma jobless wakiwemo kada yangu ya watu wa "mishe mishe", moja ya usiku ngumu sana, huwa ni usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu ambayo umeipitisha weekend kwa mazabe mazabe, halafu blue Monday inakuja!, usingizi huwa unakata mapema sana, by saa 9:00 usiku, usingizi umekata, hivyo huna jingine lolote la kufanya zaidi ya kushuka JF, ndipo unakutana na taarifa za Corona, usingizi unakata kabisa unakuwa full awake!, hivyo kushuka na makala hii "Kwa Maslahi ya Taifa".
Hii ni thread ya swali tu linalohusu uzalendo na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, nikiuliza, hivi mtu kama huyu ni binadamu mwenzetu au shetani? Anaombeaje ugonjwa wa Corona ufike nchini kwetu Tanzania ili kuikomoa serikali? Mtu kama huyu ni mzima kweli au ni mwendawazimu? Kuiombea nchi yako majanga, sio ni zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani huu?!
Hivi kweli kuna Watanzania wenzetu wenye akili zao timamu kabisa, kwa vile wao sio CCM hivyo wana chuki ya ajabu na serikali ya Magufuli mpaka kufikia hatua ya kuiombea nchi yetu majanga kwa kuomba janga la ugonjwa wa Corona litue nchini mwetu ili kuikomoa serikali kwa kuona jinsi itakavyo kabiliana nalo?!
Corona ikija, atakayeteseka ni serikali au ni mwana CCM pekee?!
Swali hili ni kufuatia nilikuwa nafuatilia thread fulani humu JF, nikakutana na mchango wa ajabu sana wa mwana jf fulani
Duh...!. Kweli is this what you wish for your beloved country Mama Tanzania?.
Huu sio zaidi ya uendawazimu? huu sio ni ushetani kabisa huu?
Pamoja na vitendo vya kiendawazimu na vya kishetani wapinzani wanavyotendewa na serikali yetu, kweli tumefikia kiwango cha Watanzania wenzetu kukosa utu na kugeuka wanyama kwa kuombea majanga yalikumbe taifa letu eti kwa sababu tuu kuna wendawazimu fulani serikalini wanafanya vitendo vya kiendawazimu na kishetani kwa wapinzani, hivyo sasa kuombea ushetani huu utokee kwa serikali yetu kuadhibiwa na janga la ugonjwa wa Corona? Hivi hii Corona ikiingia, atakayeathirika ni serikali ya CCM au ni Watanzania wote akiwemo mwendawazimu huyu?
Nasisitiza ule wito wangu wa siku zote kwenye hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye issues za kitaifa yakiwemo majanga mbalimbali, Watanzania tusimame pamoja kwa uzalendo, umoja, upendo na mshikamano na serikali yetu kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, regardless political affiliations zetu, sisi Watanzania lets pray and stand as one against Corona.
Mungu tuepushie mbali hili janga la ugonjwa wa Corona.
Mungu Ibariki Tanzania.
Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Updates.
View attachment 1391238
JF has impact, ukisikia taarifa ya serikali kuhusu mitandao ya kijamii, ujue ni jf.
Rejea
Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Rejea za Mandiko ya The Same Author Kuhusu Janga la Corona
- Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani? - JamiiForums
- Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa - JamiiForums
- Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best! - JamiiForums
- RC Makonda, Dar ni jiji la wote, vyama vyote. Mbowe sio mwanasiasa uchwara aliyefilisika, Zitto sio mshirikina. Tunakupenda, heshimu wote uheshimiwe - JamiiForums
- Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out! - JamiiForums
- Star TV: Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, azungumzia wajibu wa vyombo vya habari kuripoti janga la Corona - JamiiForums
- Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika - JamiiForums
- Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV - JamiiForums
- Star TV: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Wazuri wa Afya Dr. Faustine Ndungulile, Wanazungumzia Corona - JamiiForums
- Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa? - JamiiForums
- Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!. - JamiiForums
- Kwa Kasi Sasa, Jee Tuendelee Ushujaa wa Ka-Corona, Tusitishane, Tuchape Kazi Tukiteketea, Au Sasa Tubadili Msimamo Tusitisishe Mikusanyiko Tuokoke? - JamiiForums
- TBC - Mjadala wa Role of The Media kwenye mapambano ya Corona, Je, Media Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
- Live on Star TV: Corona Kushika Kasi Ndio Habari Kubwa Tanzania, Jee Media ya Tanzania, Inatimiza Wajibu Wake Ipasavyo? - JamiiForums
- Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza! - JamiiForums
Acha uahetani.wazee wa chato Bure kabisa. Tena bure haswaaaaa! Mmeshindwa kumuokoa mtoto wenu?? Ameteketea ziiiii!!! Kwenye shimo la Gamboshi??? Tena hapo karibu tu.
Sasa mtaisoma number wachawi wa nchi walikuwa wanasoma mchezo tu. Tena wakiwa na full huruma.
Sasa huyu Mtoto wenu Rais yuko msukuleni kuleeee alipokwenda Sokoine. Ila sokoine ni mzee sana hata hakumbuki.
Huko amekwenda kuimarisha miundo mbinu ya Gamboshi mkizika tu ndo ntoleee!!!
Sokoine watu walilia sana hilo ni kosa kubwa walifanya kwa kutokujua. Sasa awamu hii msilie wala kutoa chozi muone maajabu narudia tena msilie!!!!
Huyu jiwe alikuwa mweupe sana Ajili ya usomi hewa.hakuwa na chale hata moja ajili ya kuamini yesu mzungu.hii ulimwengu ni mali ya shetani na wafuasi wake.....
Mama samia usithubutu kudharau ushauri wa Majaliwa utafika mbali.
Kale kajamaa ni katoto ka wachawi wa nchi nilisoma nako paleee Butimba TTC.kanajua mengi ila jiwe alikadharau. Kuteuliwa kwake walimshauri. Sasa hatuna pa kusemea.
Huyu paschal ni mjukuu wa Gamboshi tena lile Gwiji haswasaaa nimekutana nae huko usukuleni mara kibao.
Ukidharau ngoma itakuja kivingine kamateni ushauri wangu.
Kingine msikimbilie kuzika muone maajabu. Subirini mkiweza nitumieni ndege faster narudia tena mtu awaye yeyote asilie mtoto wala mkubwa
Kosa lake kubwa marehemu alitumbua watoto wa wakubwa wa wa wachawi wa nchi tena na dharau kubwa juu.richa ya maonyo kadhaa
Ndo yale yale ya Maskini sokoine wa watu wote mnajua humu. alikwenda wapi na yuko wapi na alionekana wapi hadi magazeti ya ulaya waliitoa hiyo
kwa.hilo Janga mtazika Gomba tu. Ila jamaa ni makasi sana bado ana element za u rais. Mbishi japo anafokea fokea walinzi!!! nawaambia.
Rahisi tu ebu fikiria mtu amekufa kwa covid wao wanaongopa eti heart fibrrilation????wapi na wapi???
Wewe unadhani kwa nini wakubwa wa nchi zote pamoja na marais wengi wanavushwa bahari na kwenda kutibiwa Ulaya? Kule wanafanya yao kiubwetee!!!
Hivi mnajua zile ndege zinazo wabeba hao viongozi zinapita angani kwa mtindo gani???
Ikiwa ni pamoja nakuzunguka Bahari ya hindi kwa usawa wa mvuke wa bahari mara kadhaa??!!!
Jiwe alikuwa mweupe sana. Mtoto mdogo kichawi maskini hakujua.
Angalia nyerere alikumbatia watoto wa wachawi wakuu wa nchi wakiwemo wengi tu. Kutoka sumbawanga.na kona nne za malango ya nchi? Mnajua ??? Kwa nini alingangania mwenge uzunguke nchi nzima kuroga na Moshi ukitutumuka???
Dunia nzima ni Tz tu!!
Mbaya zaidi wengi qa qatoto wa wachawi wamestaafu.
tawala zingine zote waliheshimiwa sana.kupitia Nyerere .....sasa mziki mnao chezeni sawa. Haya !!!yangu ni hayo!!!!!
Mkipuuza mtanitafuta leteni ndege mapemaaa. bila masharti muone maajabu.Japo wengine humu wajua!!
Paschael mayalla muangalieni kwa jicho la tatu ana Mengi ya sirini!!!
Mkimkandamiza kwa ujuha wenu hayaaaaaa.......nasema tena mtacheza ngoma msiyoijua.
Wachawi wanchi ni lazima ili mambo yaende.....kamatieni huyu kijana Majaliwa msithubutu kumsema namjua ni nani..ktk zindiko la nchi.yesu mzungu hayupo na wala hakuwepo na wala hatakuja waafrica weusi mtasubili sana na kuitwa nyani kimwendelezo. mpaka mchakae vizazi mpaka vizazi wenye yesu wao huyo wanawachora tu kupitia watu km Gwajima de Great Man agent of hell!!....