Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani?

Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani?

Binafsi ninapinga sana wanaombea kwamba Corona iingie nchini. Maana si jambo la kuchukulia poa.
Jambo la kujiuliza inakuwaje watu wafikie hali hiyo? Ukiacha wanaoombea Corona, kuna wale wanaoombea vita itokee, yaani nchi yetu ivamiwe na ipigwe. Matukio ya maafa kwa miaka mingi yamekuwa yakiwaunganisha watanzania na kujikuta wakiweka kando tofauti zao za aina yoyote ile.

Tumeona sasa hivi hata askari wetu wakipigwa ambush na kuuawa huko nje badala ya wengi wetu kushikwa na majonzi na kuombeleza, hali huwa kinyume chake, wengil hushangilia na kuhisi Mungu ameingilia kujibu 'maombi'.

Kwa hadhi yako Pascal Mayalla ulipaswa ujiulize na kulaumu beyond this point. Sasa hivi taifa siyo moja tena, taifa limesambaratika na mioyoni watu hawapo nalo, kuna watu wametufikisha hapa ni wakina nani hao? Kwa nini? Ili iweje? Nini kifanyike?

Kwa hali iliyopo Petrol imeshamwagika na kusambaa kote, akipita mwendawazimu na kipisi cha sigara yenye moto na kutupia au akawasha kiberete au akasababisha msyguano wowote ule basi Tanzania itakuwa imeshaanza rasmi safari ya kuzaliwa upya.
Huyo mwendawazimu angepita na kiberiti wakati wa utawala huu ingekuwa poa sana,yaani Kuna watu ikitokea nikawakuta kwenye mtaro wamejificha? Lazima niwale kwanza tigo
 
Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani?
Fikiria binadamu moja anamiminiwa risasi Zaidi ya thelathini. Fikiria makumi kwa mamia ya miili ya binadamu inaokotwa kwenye viroba kando ya bahari. Fikiria viongozi waliochaguliwa na wananchi wanatembezwa uchi wa mnyama Segerea. Fikiria...ah, machozi yananitoka!
Mungu tuepushie mbali hili janga la ugonjwa wa Corona. Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu tuepushe na vitendo vyote viovu wanavyopitia raia wa nchi hii mikononi mwa watawala awamu hii. Mungu wape mioyo ya unyenyekevu, huruma na upendo viongozi tuliowapa ridhaa na dhamana ya kutuongoza.
Nakutakia Jumatatu NjemaPaskali
Nakutakia usiku mwema Pascal Mayalla
 
Mods kwanini mnafuta comment za wengine huku bila sababu, tena ambayo haijamtukana mtu, kuna mtu alisema mpo corrupt jana nikawatetea,kumbe kweli mpo corrupt, mnaka upendeleo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran mbona wamekufa sana tatizo ni nini au hawajapatiwa mafunzo ya dini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu kafa ujuwe siku yake imefiika haijaliehi kafa kwanini.

Waislam tunaamini kifo ni haki yetu nna kifo si kuonewa kwa sababu mwisho (akhera) ni bora kuliko hapa (mwanzo).

Na elewa kuwa si kila anaepata corona anakufa, wengi zaidi wanasalimika kuliko wanaokufa. Isipokuwa elewa kuwa kuuguza na kuzuwia wengi wasiuguwe ni gharama kuliko kuzika.

Hakuna Muislam anaeogopa kifo. Kumbuka hilo.
 
Wanabodi

Japo kwa kawaida usiku ni wakati wa kulala na kupumzika, ila kwa watu ma jobless wakiwemo kada yangu ya watu wa "mishe mishe", moja ya usiku ngumu sana, huwa ni usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu ambayo umeipitisha weekend kwa mazabe mazabe, halafu blue Monday inakuja!, usingizi huwa unakata mapema sana, by saa 9:00 usiku, usingizi umekata, hivyo huna jingine lolote la kufanya zaidi ya kushuka JF, ndipo unakutana na taarifa za Corona, usingizi unakata kabisa unakuwa full awake!, hivyo kushuka na makala hii "Kwa Maslahi ya Taifa".

Hii ni thread ya swali tu linalohusu uzalendo na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, nikiuliza, hivi mtu kama huyu ni binadamu mwenzetu au shetani? Anaombeaje ugonjwa wa Corona ufike nchini kwetu Tanzania ili kuikomoa serikali? Mtu kama huyu ni mzima kweli au ni mwendawazimu? Kuiombea nchi yako majanga, sio ni zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani huu?!

Hivi kweli kuna Watanzania wenzetu wenye akili zao timamu kabisa, kwa vile wao sio CCM hivyo wana chuki ya ajabu na serikali ya Magufuli mpaka kufikia hatua ya kuiombea nchi yetu majanga kwa kuomba janga la ugonjwa wa Corona litue nchini mwetu ili kuikomoa serikali kwa kuona jinsi itakavyo kabiliana nalo?!

Corona ikija, atakayeteseka ni serikali au ni mwana CCM pekee?!

Swali hili ni kufuatia nilikuwa nafuatilia thread fulani humu JF, nikakutana na mchango wa ajabu sana wa mwana jf fulani


Duh...!. Kweli is this what you wish for your beloved country Mama Tanzania?.

Huu sio zaidi ya uendawazimu? huu sio ni ushetani kabisa huu?

Pamoja na vitendo vya kiendawazimu na vya kishetani wapinzani wanavyotendewa na serikali yetu, kweli tumefikia kiwango cha Watanzania wenzetu kukosa utu na kugeuka wanyama kwa kuombea majanga yalikumbe taifa letu eti kwa sababu tuu kuna wendawazimu fulani serikalini wanafanya vitendo vya kiendawazimu na kishetani kwa wapinzani, hivyo sasa kuombea ushetani huu utokee kwa serikali yetu kuadhibiwa na janga la ugonjwa wa Corona? Hivi hii Corona ikiingia, atakayeathirika ni serikali ya CCM au ni Watanzania wote akiwemo mwendawazimu huyu?

Nasisitiza ule wito wangu wa siku zote kwenye hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye issues za kitaifa yakiwemo majanga mbalimbali, Watanzania tusimame pamoja kwa uzalendo, umoja, upendo na mshikamano na serikali yetu kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, regardless political affiliations zetu, sisi Watanzania lets pray and stand as one against Corona.

Mungu tuepushie mbali hili janga la ugonjwa wa Corona.

Mungu Ibariki Tanzania.

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Rejea
Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!

Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Hivi Aki wish corona ije
Inaweza kuja Tuwekeze ngumu kwenye juhudi za kuelimisha Jamii namna ya kujikinga na kutoa taarifa mapema ili tuweze kucontain. Na heri aliyesema Hivyo kuliko aliyekaa kimya na hujui kadhamiria kufanya nini.....
 
Wanabodi

Japo kwa kawaida usiku ni wakati wa kulala na kupumzika, ila kwa watu ma jobless wakiwemo kada yangu ya watu wa "mishe mishe", moja ya usiku ngumu sana, huwa ni usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu ambayo umeipitisha weekend kwa mazabe mazabe, halafu blue Monday inakuja!, usingizi huwa unakata mapema sana, by saa 9:00 usiku, usingizi umekata, hivyo huna jingine lolote la kufanya zaidi ya kushuka JF, ndipo unakutana na taarifa za Corona, usingizi unakata kabisa unakuwa full awake!, hivyo kushuka na makala hii "Kwa Maslahi ya Taifa".

Hii ni thread ya swali tu linalohusu uzalendo na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, nikiuliza, hivi mtu kama huyu ni binadamu mwenzetu au shetani? Anaombeaje ugonjwa wa Corona ufike nchini kwetu Tanzania ili kuikomoa serikali? Mtu kama huyu ni mzima kweli au ni mwendawazimu? Kuiombea nchi yako majanga, sio ni zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani huu?!

Hivi kweli kuna Watanzania wenzetu wenye akili zao timamu kabisa, kwa vile wao sio CCM hivyo wana chuki ya ajabu na serikali ya Magufuli mpaka kufikia hatua ya kuiombea nchi yetu majanga kwa kuomba janga la ugonjwa wa Corona litue nchini mwetu ili kuikomoa serikali kwa kuona jinsi itakavyo kabiliana nalo?!

Corona ikija, atakayeteseka ni serikali au ni mwana CCM pekee?!

Swali hili ni kufuatia nilikuwa nafuatilia thread fulani humu JF, nikakutana na mchango wa ajabu sana wa mwana jf fulani


Duh...!. Kweli is this what you wish for your beloved country Mama Tanzania?.

Huu sio zaidi ya uendawazimu? huu sio ni ushetani kabisa huu?

Pamoja na vitendo vya kiendawazimu na vya kishetani wapinzani wanavyotendewa na serikali yetu, kweli tumefikia kiwango cha Watanzania wenzetu kukosa utu na kugeuka wanyama kwa kuombea majanga yalikumbe taifa letu eti kwa sababu tuu kuna wendawazimu fulani serikalini wanafanya vitendo vya kiendawazimu na kishetani kwa wapinzani, hivyo sasa kuombea ushetani huu utokee kwa serikali yetu kuadhibiwa na janga la ugonjwa wa Corona? Hivi hii Corona ikiingia, atakayeathirika ni serikali ya CCM au ni Watanzania wote akiwemo mwendawazimu huyu?

Nasisitiza ule wito wangu wa siku zote kwenye hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye issues za kitaifa yakiwemo majanga mbalimbali, Watanzania tusimame pamoja kwa uzalendo, umoja, upendo na mshikamano na serikali yetu kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, regardless political affiliations zetu, sisi Watanzania lets pray and stand as one against Corona.

Mungu tuepushie mbali hili janga la ugonjwa wa Corona.

Mungu Ibariki Tanzania.

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Rejea
Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!

Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Nadhani huwa unatoka lindo kutoa ripot kwa wasiojulikana.

Wewe kila siku usiku wa manane ndiyo usingizi hukuisha.?

Mashaka ni mengi,ila tunashuru kwa mada zako za uzalendo kwa Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua P Mayalla una lengo la kuwa expose wengi zaidi. Hujaacha kile ulichomfanyia Kabendera.

Lengo lako ni comments kama hizo zitiririke hapa upeleke file huko.

Una roho mbaya sana, ila watu tu hawakujui.
Amfichue mjinga huyo,hajui hata wafuasi wa Chadema kama yeye watakuemo kwenye janga hilo?

macson
 
Wanabodi

Japo kwa kawaida usiku ni wakati wa kulala na kupumzika, ila kwa watu ma jobless wakiwemo kada yangu ya watu wa "mishe mishe", moja ya usiku ngumu sana, huwa ni usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu ambayo umeipitisha weekend kwa mazabe mazabe, halafu blue Monday inakuja!, usingizi huwa unakata mapema sana, by saa 9:00 usiku, usingizi umekata, hivyo huna jingine lolote la kufanya zaidi ya kushuka JF, ndipo unakutana na taarifa za Corona, usingizi unakata kabisa unakuwa full awake!, hivyo kushuka na makala hii "Kwa Maslahi ya Taifa".

Hii ni thread ya swali tu linalohusu uzalendo na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, nikiuliza, hivi mtu kama huyu ni binadamu mwenzetu au shetani? Anaombeaje ugonjwa wa Corona ufike nchini kwetu Tanzania ili kuikomoa serikali? Mtu kama huyu ni mzima kweli au ni mwendawazimu? Kuiombea nchi yako majanga, sio ni zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani huu?!

Hivi kweli kuna Watanzania wenzetu wenye akili zao timamu kabisa, kwa vile wao sio CCM hivyo wana chuki ya ajabu na serikali ya Magufuli mpaka kufikia hatua ya kuiombea nchi yetu majanga kwa kuomba janga la ugonjwa wa Corona litue nchini mwetu ili kuikomoa serikali kwa kuona jinsi itakavyo kabiliana nalo?!

Corona ikija, atakayeteseka ni serikali au ni mwana CCM pekee?!

Swali hili ni kufuatia nilikuwa nafuatilia thread fulani humu JF, nikakutana na mchango wa ajabu sana wa mwana jf fulani


Duh...!. Kweli is this what you wish for your beloved country Mama Tanzania?.

Huu sio zaidi ya uendawazimu? huu sio ni ushetani kabisa huu?

Pamoja na vitendo vya kiendawazimu na vya kishetani wapinzani wanavyotendewa na serikali yetu, kweli tumefikia kiwango cha Watanzania wenzetu kukosa utu na kugeuka wanyama kwa kuombea majanga yalikumbe taifa letu eti kwa sababu tuu kuna wendawazimu fulani serikalini wanafanya vitendo vya kiendawazimu na kishetani kwa wapinzani, hivyo sasa kuombea ushetani huu utokee kwa serikali yetu kuadhibiwa na janga la ugonjwa wa Corona? Hivi hii Corona ikiingia, atakayeathirika ni serikali ya CCM au ni Watanzania wote akiwemo mwendawazimu huyu?

Nasisitiza ule wito wangu wa siku zote kwenye hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye issues za kitaifa yakiwemo majanga mbalimbali, Watanzania tusimame pamoja kwa uzalendo, umoja, upendo na mshikamano na serikali yetu kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, regardless political affiliations zetu, sisi Watanzania lets pray and stand as one against Corona.

Mungu tuepushie mbali hili janga la ugonjwa wa Corona.

Mungu Ibariki Tanzania.

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Rejea
Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!

Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Kwa akili yako we tanzania unaona shetani ni yule pekee anaeombea Corona iingie nchini Bali huoni mashetani wanaomwaga na kuteka watu.wanaotesa watu,waminyaji was demokrasia, waombaji waombewe ili waishi zaidi wazidi kuumiza wengine?
Labda wewe paskali una interest nao
Hao ndo wabaya kuliko gonjwa la corona, NI mafirauni na mapaka shume, mapanya buku
 
Wanabodi

Japo kwa kawaida usiku ni wakati wa kulala na kupumzika, ila kwa watu ma jobless wakiwemo kada yangu ya watu wa "mishe mishe", moja ya usiku ngumu sana, huwa ni usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu ambayo umeipitisha weekend kwa mazabe mazabe, halafu blue Monday inakuja!, usingizi huwa unakata mapema sana, by saa 9:00 usiku, usingizi umekata, hivyo huna jingine lolote la kufanya zaidi ya kushuka JF, ndipo unakutana na taarifa za Corona, usingizi unakata kabisa unakuwa full awake!, hivyo kushuka na makala hii "Kwa Maslahi ya Taifa".

Hii ni thread ya swali tu linalohusu uzalendo na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, nikiuliza, hivi mtu kama huyu ni binadamu mwenzetu au shetani? Anaombeaje ugonjwa wa Corona ufike nchini kwetu Tanzania ili kuikomoa serikali? Mtu kama huyu ni mzima kweli au ni mwendawazimu? Kuiombea nchi yako majanga, sio ni zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani huu?!

Hivi kweli kuna Watanzania wenzetu wenye akili zao timamu kabisa, kwa vile wao sio CCM hivyo wana chuki ya ajabu na serikali ya Magufuli mpaka kufikia hatua ya kuiombea nchi yetu majanga kwa kuomba janga la ugonjwa wa Corona litue nchini mwetu ili kuikomoa serikali kwa kuona jinsi itakavyo kabiliana nalo?!

Corona ikija, atakayeteseka ni serikali au ni mwana CCM pekee?!

Swali hili ni kufuatia nilikuwa nafuatilia thread fulani humu JF, nikakutana na mchango wa ajabu sana wa mwana jf fulani


Duh...!. Kweli is this what you wish for your beloved country Mama Tanzania?.

Huu sio zaidi ya uendawazimu? huu sio ni ushetani kabisa huu?

Pamoja na vitendo vya kiendawazimu na vya kishetani wapinzani wanavyotendewa na serikali yetu, kweli tumefikia kiwango cha Watanzania wenzetu kukosa utu na kugeuka wanyama kwa kuombea majanga yalikumbe taifa letu eti kwa sababu tuu kuna wendawazimu fulani serikalini wanafanya vitendo vya kiendawazimu na kishetani kwa wapinzani, hivyo sasa kuombea ushetani huu utokee kwa serikali yetu kuadhibiwa na janga la ugonjwa wa Corona? Hivi hii Corona ikiingia, atakayeathirika ni serikali ya CCM au ni Watanzania wote akiwemo mwendawazimu huyu?

Nasisitiza ule wito wangu wa siku zote kwenye hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", kwenye issues za kitaifa yakiwemo majanga mbalimbali, Watanzania tusimame pamoja kwa uzalendo, umoja, upendo na mshikamano na serikali yetu kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, regardless political affiliations zetu, sisi Watanzania lets pray and stand as one against Corona.

Mungu tuepushie mbali hili janga la ugonjwa wa Corona.

Mungu Ibariki Tanzania.

Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Rejea
Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!

Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Sawa kabisa unavyosema Paskali. Nakuunga mkono 100%. Kama ingekuwa gonjwa likiingia nchini litawaandama watumishi wa serikali tu au wana CCM peke yao, hapo ndipo mpinzani angekuwa sahihi kuomba gonjwa lije. Kiukweli ni kwamba ugonjwa ukija labda baba yake mpinzani, au mtoto wake, au bibi yake ndiye atakayekuwa wa kwanza kuupata. Vivyo hivyo nililaumu jana kauli ya Lissu kushinikiza wafadhili waiwekee vikwazo Tanzania. Watakaoumia ni Watanzania wa hali ya chini (wakiwemo ndugu zake Lissu mwenyewe). Nilitoa mfano wa vikwazo vilivyowekewa Zimbabwe kwa takriban miaka 20 kwa visingizio vya kumwadhibu Mugabe. Mzimbabwe wa kawaida ndiye aliyekuwa akiumia wakati Mugabe anapeta tu. Mtu anayeiombea mabaya Tanzania, ananitakia mabaya mimi mtu wa kawaida, na siwezi kumthamini kabisa. Huo ni upinzani uchwara. Hapo juu Paskali ameitwa mbumbumbu na majina mengine kem kem. Ukweli ni kwamba anayemuita hivyo ndiye mbumbumbu mkubwa ambaye amezidiwa hoja na kwa kukosa cha kusema anaishia kutoa matusi tu. Toa hoja itakayonifanya nielewe kwamba ipo sababu ya kuniombea mimi Mtanzania wa kawaida nidhurike kwa magonjwa au nchi yangu kuwekewa vikwazo. Ukifaulu kufanya hivyo ndipo nitakapoacha kukuita wewe mbumbumbu. Heko kwako Paskali. Endelea kutoa elimu ya manufaa kwa Mtanzania wa kawaida. Usifishwe moyo na wapinzani uchwara wanaotutakia mabaya sisi Watanzania wa kawaida.
 
Kifo ni kifo tu, iwe cha corona au kingine chochote kile.

Malaria mpaka leo inauwa watu wengi duniani kuliko kirusi chochote kile, hatu panic, eti leo mna panic kwa corona. Ujinga tu mnajazwa nao na nyie mmo tu.

Alhamdulillah nyie mnafundishwa leo kunawa mikono mara kwa mara kujikinga na corona, Waislam tunalijuwa hilo miaka zaidi ya 1400 sasa. Wala hatutishiki na Corona na tunafahamu namna ya kujikinga bila tatizo.
Mbona Al Kaaba imefungwa! Kweli virus wanafanya Al Kaaba ifungwe?
 
Back
Top Bottom