last seen kwenye wassap ni upuuzi sana kama mwenzi wako ni mtu wa kukufuatilia kipimbi pimbi...... tatizo la wassap msg inaweza ikaingia ukaisoma lakini ukawa haupo kwenye nafasi ya kujibu , baada ya muda unashangaa unapigiwa simu vipi mbona kimya?
unajibu nipo busy na kazi au nafanya kitu fulani ............ halafu mtu anakuuliza mbona wassap last seen uliingia saa fulani na kuna saa fulani pia uliingia.......
aaaaaaagh!!! mimi ilishanikera tu hiyo , nimeifutilia mbali..... heri ya nusu shari kuliko shari robo robo za kila siku.