Mtu kutoa harufu ya dawa ni ishara kuwa ameathirika?

Mtu kutoa harufu ya dawa ni ishara kuwa ameathirika?

dyuteromaikota

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
5,929
Reaction score
8,327
Nimekutana naye zaidi ya mara tatu, na kila nikikutana naye anatoa harufu kama ya dawa hivi.

Na hii harufu pia huwa naisikia nikikutana na mtu mmoja ambaye taarifa zilizopo ni kuwa anatumia dawa na mumewe alipotea.

Hii pisi ni pisi haswa na inaonekana kabisa nikigusa tu, imo.

Nishaurini wadau iko salama kweli?
 
Arv hazitoi harufu , dawa zinazotoa harufu ni antibiotics , hivi hata kama siyo daktari hata basics kama hizi za maisha pia hamna?
 
Hata kama ana tabasamu kali,

Haina maana kuwa anajali,

Hata kama tamu kama asali,

Kuilamba ni yako hiari,

Usiamini kwa maneno,

Usingoje kuwa mfano wewe bwana,

Usifuate wake mvuto ndani kuna fukuto wewe bwana.
 
Kama umempenda nendeni mkapime ili muendelee kufurahia Ujana vizuri

By the way, kwani Condom zipo Kwa kazi gani?

Kumbuka hakuna kuonesha ufundi Kwa mtu ambaye huna uhakika wa Afya yake
 
Hayo mambo hayana ushauri. umeshakula umemaliza, unanawa mikono ndio unaanza kusema chakula kibaya achia tumbo kishughulike nacho utayapata majibu sahihi chooni.
 
Back
Top Bottom