britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Je mbowe kutogombea Mwaka 2020 ni kwasababu aliona Lissu anafaa? Au ni kwasababu ali Hofia nguvu ya Magufuli kwamba itakuwa kazi bure ngoja tuweke mgombea yeyote yule kukamilisha ratiba?
Iweje Kama Lissu alifaa kwanini leo wanasema hawezi uenyekiti?
Britanicca
Iweje Kama Lissu alifaa kwanini leo wanasema hawezi uenyekiti?
Britanicca