Mambo hubadilika, mwaka 2005 chama hakikuwa na lolote, walikuwa wanatafuta mileage bado!!!Mbowe angeweza tu kugombea akitaka sio lazima hii drama kufanyika ili agombee.
Alishawahi gombea akiwa mwenyekiti hivyo hata sasa bado anaweza.
Lisu ndio anatafuta gia ya kutokea maana naamini kumuondoa Mbowe kwenye nafasi yake sio kazi rahisi, hata kidogo.
Mbowe alipata kura 600k tuu, hata lipumba alimpiga!!!, Kwa mwaka ujao mbowe anataka kupata wabunge wengi kwa kuzingatia ushauri wa paskal mayala!!!
Nia na malengo ni kwamba mwaka 2030, lisu anapita kwa ulaini kwa ushauri uleule wa paskal mayala