Mtu unatakiwa uwe na chupi ngapi?

Wanaume uzi wa binti zetu huu muwe waangalifu mnapokomenti 😅!.
 
Hivi binadamu anatakiwa awe na chupi ngapi? Wewe una chupi ngapi? Mi nina chupi 7 tu na zinantosha.
😳😳😳🤔🤔🙇🏿‍♂🙇🏿‍♂
 

Attachments

  • 20240729_073525.jpg
    57.2 KB · Views: 8
Aisee kuna watu ni wazinzi, wanatia laana nchi...
 
Kina mama mbona hamsemi mna chupi za kuja nazo hospital mnazihifadhi kama wazee wetu walivokua wanahifadhi vyombo vya udongo vya wazee

Ukitaka kuona chupi zilizotoboka na Vuuzi la Osama basi Nenda EMD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…