Mtu unatoaje huduma ya gesti bila kondomu?

Mtu unatoaje huduma ya gesti bila kondomu?

Nilishawahi uziwa ndomu iliyo expire gesti.

Tangu siku hio kokote niliko ndomu ziko kwenye begi pembeni .
 
Unapokea wageni mbalimbali kuwapa huduma ya gest. Wengine unapokea usiku kama huu. Halafu unaombwa kondomu huna. Si utaua watu?
Hii sio sawa
Wakati unaenda gesti ulikuwa unawaza unaenda kufanya maombi? Mbona hukubeba huko ulipotoka wakati tayari ulikuwa na nia ovu😀😀. Acha kupenda vya bure😀
 
Unapokea wageni mbalimbali kuwapa huduma ya gest. Wengine unapokea usiku kama huu. Halafu unaombwa kondomu huna. Si utaua watu?
Hii sio sawa
Wewe unajijua Ni mzinzi, kwanini usitembee na kondom zako?
Endekeza tu utaukwaa.
 
Unanunua malaya elfu 30 unashindwa nunua box la kondomu buku jero...
.
.
.
.
Kufa tu
 
Back
Top Bottom