Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mafuta hanaUnapokea wageni mbalimbali kuwapa huduma ya gest. Wengine unapokea usiku kama huu. Halafu unaombwa kondomu huna. Si utaua watu?
Hii sio sawa
Utakuja kujuta muzeye......Unapokea wageni mbalimbali kuwapa huduma ya gest. Wengine unapokea usiku kama huu. Halafu unaombwa kondomu huna. Si utaua watu?
Hii sio sawa
Paka mate ya kutosha hakutakuwa na shidaUnapokea wageni mbalimbali kuwapa huduma ya gest. Wengine unapokea usiku kama huu. Halafu unaombwa kondomu huna. Si utaua watu?
Hii sio sawa
Wakati unaenda gesti ulikuwa unawaza unaenda kufanya maombi? Mbona hukubeba huko ulipotoka wakati tayari ulikuwa na nia ovu😀😀. Acha kupenda vya bure😀Unapokea wageni mbalimbali kuwapa huduma ya gest. Wengine unapokea usiku kama huu. Halafu unaombwa kondomu huna. Si utaua watu?
Hii sio sawa
Wewe unajijua Ni mzinzi, kwanini usitembee na kondom zako?Unapokea wageni mbalimbali kuwapa huduma ya gest. Wengine unapokea usiku kama huu. Halafu unaombwa kondomu huna. Si utaua watu?
Hii sio sawa
Uasherati ni kazi kwelikweli mamæ 🤣🤣🤣Tulishauriana na mwenzangu tutafute zana gesti za jirani.
Wewe unakujaje hunaUnapokea wageni mbalimbali kuwapa huduma ya gest. Wengine unapokea usiku kama huu. Halafu unaombwa kondomu huna. Si utaua watu?
Hii sio sawa
Sometimes kutokana na kazi, njia kuu inakuwa imeachwa mkoani.Baki njia kuu uwe salama
Kazi siku chache tu jikaze njia kuu utaikuta ukirudi na utafaidiSometimes kutokana na kazi, njia kuu inakuwa imeachwa mkoani.
USIJE THUBUTU TUMIA KONDOM ZA MADEM WANAOJIUZA..AU TU KONDOM YA DEM ANAYOKUJA NAYO KAMA HUMWAMINI IVIWadada mnaojiuza si huwa mnatembea nazo kwenye handbag? Au sasa hivi hambebi handbag?