Mtu wa ajabu aliyeonekana kuzungumza na Rais Putin aibua tetesi za mwisho wa Putin kuwa karibu

Mtu wa ajabu aliyeonekana kuzungumza na Rais Putin aibua tetesi za mwisho wa Putin kuwa karibu

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
mtu wa ajabu aliyeonekana akizungumza na mbabe Putin wakati wa Parade ya ushindi jana amesababisha tetesi za watu kuhisi kuwa huenda ndie akawa mrithi wa Putin

Mtu huyo ambae anaonekana kuwa bado kijana mdogo ametambulika kwa jina kuwa ni Dmitry Kovalev na kwa sasa anahudumu kama mkuu wa presidential administration department
 
Mtu wa ajabu ananyea ppua

Hzi story zenu za vijiwe vya kahawa mnatuletea huku mantuonaje lakini?

Mtu wa ajabu? Yupoje? Ana miguu mitatu? Je ana vichwa viwili?

Bladfaken
Uajabu wa huyu mtu anaezungumziwa hapa ni kule kupiga story na mbabe Putin kama vile msela wake wa kitambo na sio kwamba ana miguu 8 au ananyea puani kama dogo Superbug alivyouliza
 
... sioni fashisti Putin akiwa na siku nyingi za kuishi. Let the world get rid of that worst ruler of our times.
Kwakweli hakuna watu ameivuruga hii dunia kama US. Tukianza taja nchi walizovamia nadhani hata hitler haoni ndani. Tunahitaji watu kama Putin kuwafunga US na genge lake la matapeli speed governor
 
Kwakweli hakuna watu ameivuruga hii dunia kama US. Tukianza taja nchi walizovamia nadhani hata hitler haoni ndani. Tunahitaji watu kama Putin kuwafunga US na genge lake la matapeli speed governor
Hilter katawala miaka mngap na USA imetawala mingap , jibu linaanzia hapo
 
Weka picha ya huyo mtu wa ajabu
Huyu hapa
image_search_1652212195098.jpg
 
Hilter katawala miaka mngap na USA imetawala mingap , jibu linaanzia hapo
During the campaign, conventional weapons such as explosives, incendiary bombs, and napalm destroyed nearly all of the country's cities and towns, including an estimated 85 percent of its buildings.

Yani aliua karibu asilimia asilimia 20 ya raia wote wa North Korea kuanzia 1950-53.
Alipoona haitoshi akaanza shambilia mazao, akabomoa bwawa hakutaka kuona kitu kinatambaa. Alotumia kila aina ya silaha. Someni historia. Je North Korea aliwahi rusha hata jiwe kwenda US?
 
Back
Top Bottom