Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Hapa sasa ndio unanogesha jukwaa. Kule ndio ulikuwa real. Mchana mwema Heaven SentEeeh coz I know myself better than anyone in here. Hamna sifa nzuri zozote bana; nilikuwa nanogesha tu jukwaa
Thanks sana mkuu. UbarikiweOohh pole mkuu
Amen mkuuThanks sana mkuu. Ubarikiwe
Avatar yako inashajihishaAmen mkuu
Kwanini mkuu?Avatar yako inashajihisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaniNikufuate una nini wewe? sms inayofuata niazime elfu ishirini, ukijibu sina nilijua tu huwezi kunipa ulivyo na roho mbaya...
Nimeshangaa hii comment kupata likes chache wakati zile za hovyo zimepata likes kibao."J your a genius I believe in you " my girl says.
Huyu binti hunipa hamasa kwenye kila ninacho Fanya.
Nampenda mrembo wangu.
Tunapwaya wapi? Sema ile siku tumekupiga makombora hadi ukakimbia.[emoji23][emoji23][emoji23].ahahaha... mmemsajiri yeye ndio anacheza middle siku hizi anatuvuruga balaha, halafu wewe unacheza tatu, atoto anacheza tano,Uliweso anacheza nne,demis anacheza sita,cute b anacheza saba,madam s anacheza mbili halafu katoto kazuri golini.... kwa hili kosi mnajipigia hata Algeria lakini kwenye ile vita ya KE VS ME mara nyingi mnapwaya.
Wakishashindwa huwa wanakimbia ili tusiseme wameshindwa.[emoji23][emoji23][emoji23]Eti anacheza middle[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119].
Nmecheka sana Leo, Leo jf tangu asbh nakutana na vichekesho tu
Ile ligi huwa mnapwaya nyie, sio sisi.
hahahhaaaa...you are the winner sperm........unashindwa wapi kichwa cha familia.......hapo umesimamishwa kazi.....utasikia ..hivi ada za wanao umelipia....sio wanetu noo...WANAO...
Sio nyie huwa mnasema watoto ni wenu sie tunawabebea tu kwa miezi 9? Sasa mbona mnajitoa[emoji1745][emoji1745][emoji1745]Ha ha ha ha wanavyojitoa sasa hapo...
[emoji1745][emoji1745][emoji1745]Saa kama huwezi kuhudumia mke kwa nini uoe?
ahahaha... mmemsajiri yeye ndio anacheza middle siku hizi anatuvuruga balaha, halafu wewe unacheza tatu, atoto anacheza tano,Uliweso anacheza nne,demis anacheza sita,cute b anacheza saba,madam s anacheza mbili halafu katoto kazuri golini.... kwa hili kosi mnajipigia hata Algeria lakini kwenye ile vita ya KE VS ME mara nyingi mnapwaya.
Ngoja nifikirie kwanza kama anakuoneaUmeona pacha wako anavyonionea?
Kwani huwa unapeleka wapi pesa zako?"Hivi wewe mwenzetu hela zako huwa unazipelekaga wapi, mbona sioni la maana linalosimama humu ndani [emoji849][emoji15]"
Kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umemsahau butterfly, bila huyo timu haijakamilika
Kabisa boss KaizerOf which inatuongezea stress tu,,
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Ha ha ha hio list ya #TeamPasuaKichwa balaa! Kocha mchezaji Heaven Sent
Shikamoo[emoji1745][emoji1745][emoji1745]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huku bongo ukikwama janamke linakwambia umeshidwa kusimamia nafasi yako. Yaani hakuna cha faraja wala kutiana moyo..!! pumbafuuu sana