Mtu wako wa karibu anakwambia nini katika hatua kama hii?

Ehee.. wacha weee!! basi kama ni hivyo ngoja nifanye mpango nijivutie mmoja kati yao. Maana naamini mwanaume yeyote anaeweze kuwa handle hao effectively, he has to crown himself as noble man. Soon naanza kuwatembelea pm zao mmoja baada ya mwingine.
Kwa comment hii basi ushapwaya kwenye sifa ya kuwa mume wa yeyote hapo.
 
Halafu wanawake wa aina yetu ndo wife material kama ulikuwa haujui yaani wanaume ogopeni sana wale wanawake wa kila kitu "ndiyo mume wangu" maana ndo mnaowataka hao
Hajui tu huyo, mwanamke anaekuamsha wakati wote unakuwa active sio unazubaa zubaa tu.
 
Yo not even kidding, well hatuwaonei wivu bali kuchepuka kwenu kunainajisi familia. Na kiimani/kiroho unapochepuka means umeua ndoa hivyo kuihuisha inahitaji juhudi za ziada za wote wawili. Mnamkaribisha shetani wenyewe ndani ya familia then mnaanza kutafuta mchawi[emoji1745][emoji1745][emoji1745]

I wish mngekuwa na akili na ufahamu wa kuchambua mambo kwa kutumia utashi mlopewa na muumba na kuona madhara yake pasipo kujitetea ujinga. Mkeo akilalamikia kuchepuka kwako means anakupenda na anataka mlinde kiapo chenu, utulie na mjenge familia yenu ambayo ndio msingi wa yote.

Bad enough mkishavuruga bado wanawake ndio wanakesha na kulia kuzinusuru ndoa, ukitaka kujua wanawake wanathamini sana ndoa zao just fanya research ya wanaohangaika na makungwi just kuwaridhisha, nenda makanisani angalia wanaohangaika kuziombea ndoa zao. Ukipata jibu then chukua hatua.
 
@cute b njoo edelyn anakutafuta huku[emoji85][emoji85]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naona unataka kunichonganisha jamani mimi mashabiki ninaowaongelea sana sana ni wanaume ndo wana tabia hizo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
I wish wanaume wote duniani wangesoma hii comment
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naona unataka kunichonganisha jamani mimi mashabiki ninaowaongelea sana sana ni wanaume ndo wana tabia hizo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uuuuuuw!! Naweza kupumua sasa[emoji23][emoji23]
 
Halafu wanawake wa aina yetu ndo wife material kama ulikuwa haujui yaani wanaume ogopeni sana wale wanawake wa kila kitu "ndiyo mume wangu" maana ndo mnaowataka hao
Wife material kiaje?
 
Nini hiki Edelyn umeandika[emoji134][emoji134].
Ooh wengi siyo wote basi sawa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni wengi mwaya hata siyo wote tena hasa hasa wanaume kwani wewe MAN U unawashabikia wachezaji gani hasa maana mimi sishabikii MAN U ila kuna wachezaji mle nawakubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…