Kwani kwenye siku ambazo mimi nakuwa siko kwenye hali ya kufanya mapenzi yeye anashindwa kuvumilia? Akikosa mchezo anapata madhara yoyote makubwa kama vile kuumwa au kufa?mwanaume awe muaminifu, unaweza kumtimizia haja zake vilivyo ili asichepuke??
Kupiga mke hata kama kakukosea kwani wewe haukosei? Na wewe ukikosea nani anakupiga?unyanyasaji kivipi?
Mostlykwa hiyo kumbe wanaume ndo wana matatizo
Lakini si inawezekana? Ugumu lazima uwepo kwenye maisha ya mwanadamu cha msingi ni uwezo wa kuukabili huo ugumu tu hata Mungu anajua kuwa kawaumba na tamaa lakini pia amewapa na uwezo wa kuzishinda hizo tamaa ndo maana akakataza uzinzi na uasherati kwa maana kwamba ukikosa hautaumwa wala hautakufa siyo chakula hichoinasemekana ni vigumu sana kuvumilia
Ni kujibu kwa kuzingatia aya zako mbili za kwanza maana ndio zimebeba kile unachokihubiri kila siku humu.Nope I've never said something like that mimi siku zote nasemaga kuwa mwanamke anayetakiwa kusaidiwa kazi za ndani ni yule ambaye anaprovide nusu kwa nusu na mume wake
Yaani mume akilipa kodi yeye analipa bili mume akilipa ada yeye ananunua mahitaji ya nyumbani au wale wanawake ambao wao ndo wanahudumia zaidi kuliko waume zao
Yaani yale majukumu ambayo alitakiwa afanye mwanaume kwa kiasi kubwa anayafanya mwanamke sasa wanawake wa aina hiyo ndo wanatakiwa kusaidiwa
Na siyo wale ambao wanahudumiwa na waume zao sasa bad enough ni kwamba hata wanaume wenye wanawake wa aina hiyo niliyoitaja hapo juu nao hawataki kuwasaidia wake zao majukumu yao and that is the problem
Hongera kwa kuwa wife material mzee mamaHalafu wanawake wa aina yetu ndo wife material kama ulikuwa haujui yaani wanaume ogopeni sana wale wanawake wa kila kitu "ndiyo mume wangu" maana ndo mnaowataka hao
Yaani Edelyn bwana kwa hiyo wewe unaona kuliko kumuacha mume mnyanyasaji uliyejaribu kumrekebisha lakini harekibishiki ni heri uendelee kuvumilia tu manyanyaso yake huku ukimuombea dua mbaya hili upate haueni kupitia matatizo yake si ndio?Yaani wanaume bwana kwahiyo suluhisho la maovu yenu ni wake zenu kuwaacha hivyo hivyo mlivyo ila siyo ninyi kubadilika hivi ni kazi sana wanaume kuacha maovu?
Comments zingine zinajibiwa kulingana na content iliyomo kwenye comment yenyewe. Mtu anasema wanawake hawana matatizo kabisa wakati huo reports zinasema 80% of divorces zinakuwa initiated na wanawake, sasa huko si kujitia upofu tu ama kwa kujua au kutokujua mradi tu ujifurahishe na gender biasMbona kwenye kutafuta wake wa kuoa hamkumbuki kwamba sisi siyo malaika?
Hahaha.... hapa hata mimi umenifurahisha mashabiki wa man u ni kweli wako kama ulivyowaelezeaHahahaha hapa umenichekesha kwa kweli mimi siyo shabiki wa MAN U na pia siwapendi mashabiki wa MAN U maana wengi ni wabishi kweli halafu wana sifa za kijinga nimesema wengi siyo wote
Tena kama wewe Atoto atakayeweza kuwa na wewe huyo ni extraterrestrialKwa comment hii basi ushapwaya kwenye sifa ya kuwa mume wa yeyote hapo.
Kabisa hakuna mwanamke wa kukutia moyo tz.sanasana atakukimbia kutafta wenzako walio fanikiwa.Kwa hapa Tz ' Wanawake wenye Tabia njema Hiyo. ..tayari walisha kufa Katika Vita ya Kagera
Hilo neno kidding nilitaka niliweke pale mwisho wa sentensi yaYo not even kidding, well hatuwaonei wivu bali kuchepuka kwenu kunainajisi familia. Na kiimani/kiroho unapochepuka means umeua ndoa hivyo kuihuisha inahitaji juhudi za ziada za wote wawili. Mnamkaribisha shetani wenyewe ndani ya familia then mnaanza kutafuta mchawi[emoji1745][emoji1745][emoji1745]
I wish mngekuwa na akili na ufahamu wa kuchambua mambo kwa kutumia utashi mlopewa na muumba na kuona madhara yake pasipo kujitetea ujinga. Mkeo akilalamikia kuchepuka kwako means anakupenda na anataka mlinde kiapo chenu, utulie na mjenge familia yenu ambayo ndio msingi wa yote.
Bad enough mkishavuruga bado wanawake ndio wanakesha na kulia kuzinusuru ndoa, ukitaka kujua wanawake wanathamini sana ndoa zao just fanya research ya wanaohangaika na makungwi just kuwaridhisha, nenda makanisani angalia wanaohangaika kuziombea ndoa zao. Ukipata jibu then chukua hatua.
Kama nani vile unamkubali?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni wengi mwaya hata siyo wote tena hasa hasa wanaume kwani wewe MAN U unawashabikia wachezaji gani hasa maana mimi sishabikii MAN U ila kuna wachezaji mle nawakubali
Hongereni sana kwa kuwa perfectOfcoz, sisi hatuna shida kabisa. Tunakwenda kule kichwa cha familia kinatuongoza kwenda.
So just because we refuse to align with your general idea... huh?Kabisa, siyo hivi vivulana.
Aseee[emoji23][emoji23]
Umewavuruga haswaa
Wanashindwa kupangua hoja
Ndio mzee babakwa hiyo kumbe wanaume ndo wana matatizo