GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hii ni Mbinu mpya ya Wachawi (hasa wale Chuma Ulete) ambayo huitumia kwa Kukuomba Shilingi Mia Moja (Tsh 100/=) na ukijifanya Mwema, Mtoaji na mwenye Huruma jua imekula Kwako kwani Pesa zako zote zitaishia Kwake / Kwao.
Na mara nyingi hawakuombi kuanzia Mchana bali huhakikisha wanakuomba Alfajiri au Asubuhi ya kati ya Saa 3 hadi Saa 5 tu.
Kuna Mwenzao Mmoja Kajaa mwenyewe katika Frame na huu Upuuzi wao (wake) wa Kichawi (Chuma Ulete) na leo ni mara ya Pili ananilenga Mimi tu (ambaye Kiuhalisia ni Choka Mbaya kuliko JamiiForums Members Wote ) na kwa Kofi (Kelebu) nililompa akiamkia atajikuta yuko ICU Muhimbili kwani ni Kofi la 'Kishotokan' zaidi.
Na mara nyingi hawakuombi kuanzia Mchana bali huhakikisha wanakuomba Alfajiri au Asubuhi ya kati ya Saa 3 hadi Saa 5 tu.
Kuna Mwenzao Mmoja Kajaa mwenyewe katika Frame na huu Upuuzi wao (wake) wa Kichawi (Chuma Ulete) na leo ni mara ya Pili ananilenga Mimi tu (ambaye Kiuhalisia ni Choka Mbaya kuliko JamiiForums Members Wote ) na kwa Kofi (Kelebu) nililompa akiamkia atajikuta yuko ICU Muhimbili kwani ni Kofi la 'Kishotokan' zaidi.