Mtumbwi alimojificha mtuhumiwa #2 kulipua bomu Boston

Status
Not open for further replies.
impressive! kumbe hata ujifiche ndani ya nyumba mtu unaonekana. Jamani hu mtumbwi au boti?
yeah,hizo camera zitakua zinatumia infrared kusense heat from the surround area then zinapata figure .utaona kwamba hapo umbo la mtu limekua configured by heat emnating from the body apart from the heat coming from the surrounding area he was in.

Nakumbuka enzi za vietnam war,wale vietcong waliwahangaisha sana wamerikani na maficho yao yalikua kwenye misitu minene kule vietnam ambako wamerekani kila wakijaribu kuingia walikua wanakufa sana.wakaja na wazo la kutumia heatseaking missile.makombora yanadondoshwa na B52 na yanafuata any source of hit from the targeted forest.
Wakawaua sana wavietcong mpaka jamaa wakaja na mbinu ya kuwa wanakojolea mitungi na kuiacha wamerekani wanakuja kumaliza makombora wakishambulia mitungi ya mikojo.
Wamerekani kugundua wanaingia mkenge ikabidi waamue kutumia silaha za sumu,chemical weapons kuipiga hiyo mistu ndo maana mpaka leo wavietnam bado wanazaa viwete wa ajabu sana kwa madhara ya hizo silaha za sumu.
 
Rathia sweety ua rite.
all I am asking for is, if the
FBI can put out pictures of
the suspects, why can’t
they put out the video of
the suspects actually
showing that the brothers put the bags down. show
us the video, and we can
decide. DO they really have
a video?????
 

I'm on the same page...how media made people to think american death is a death worth crying?? yet iraqis are dying in dozens on a daily basis and nobody cares. From above whether americans or african we are all seen like ants in a mond...
 

Muhusika alipogundua damu kwenye boti yake, alichungulia ndani na kumuona jamaa kajeruhiwa, akawajulisha Polisi na walipofika wakam'miminia risasi !..........!!!
kwa nini !?
 
asante mleta thread.hii inahusika sana.watanzania tujifunze kwa wenzetu walio serious.ingekua bongo hapo ingeshatengenezwa filamu ya uongo na kweli.tunadanganywa tu kila siku na bado kuna wapuuzi wanatetea.matukio yote ya mauaji na utesaji hakuna hata moja lililoshughulikiwa.
 
Exactly ndugu WEOODIE..
It doesn’t take many
people to mastermind a
false flag attack. It’s called
classified,
compartmentalized
information. Only a select few at the top need be
aware that anything fishy
is going down, and the rest
of the soldiers, police,
bureaucrats will just do
their jobs, none the wiser.
 
asante mleta thread.watanzania tunatakiwa tujifunze kwa wenzetu walio serious.ingekua bongo hapo ingetengenezwa filamu ya uongo na kweli na bado wapuuzi wangeiamini.matukio yote ya mauaji na utesaji hakuna hata moja lililoshughulikiwa.
 

Hawa jamaa hawajui Wayahudi wanavyo mdharau Yesu (wanadai ni mwanaharam !) Lakini Uislaam umnamtetea Yesu pale mamayake Maryam, alipowaelekeza wazee mashabiki waliokuwa wakitaka kujua ni nani Baba mzazi wa Yesu. Maryam aliwaelekeza wamuuliza Yesu (akiwa kichanga) na Yesu aliwaambia Yeye ni mja wa Mwenyezi Mungu na amepewa Kitabu ! Bali unamkuta mchungaji Kanisani anapepea bendera ya Israel !
 

Kwanza unatakiwa uelewe kwamba hakuna sheria hapa JF inayomkataza mtu yeyote yule kuchangia kwenye uzi wowote ule. Hivyo kumwambia Radhia afungue uzi wake ni ujinga kwa sababu ana haki ya kuchangia uzi wowote anaojisikia kuchangia.

Pili mimi sikuingia kwenye uzi huu kujadili hoja ya Radhia. Nimewasoma nikaona mmechanganyikiwa. Hamjui kwamba mnatumiwa na watu wa Magharibi kama kondom. Ndio maana nikataka muelewe kwamba magaidi tunaotakiwa kuwachunga na kuwawekea mikakati ni wale Waafrica wenzetu wanaotumiwa na mabeberu kutukandamiza sisi Waafrica wenzao katika kipindi hiki cha Ukoloni mambo leo baada ya kupata uhuru wa bendera. Hawa magaidi wa Kiafrica wanaotumika kama kondom kuwaua Waafrica wenzao ndio magaidi wa kula nao sahani moja na sio kushabikia ugaidi ambao hata hauna tija yoyote kwetu na hata hamuelewi kwamba Watu wa magharibi wanacheza na akili zenu kama watoto wadogo.

Sasa somo mimi nimelielewa vyema ndio maana nikaingia kwenye uzi huu na kuamua kuwapeleka shule kwa viboko kwa sababu bila viboko hamuezi kuelewa kwani vichwa vyenu vimeshajazwa sumu ya Ukoloni Mambo Leo na mnaona haki yenu kuwa watumwa wa kisasa.
 
Wana macho, lakini hawaoni, wana masikio, lakini hawasikii...
 
Mkuu Candid Scope naomba unisaidie kidogo,hivi huo mtumbwi umefikaje fikaje hapo?au unatembea nchikavu? Ama kweli magaidi hawalali wanatafuta jins ya kutumaliza



Wanaua lakini wenyewe wanaogopa kufa hadi kujificha kwenye nyuma ya upeno wa nyumba ya mtu ndani ya mtumbwi, khaa! Mwenzangu Radhia Sweety makubwa haya.
 
Last edited by a moderator:
Naomba ufafanue hapo, kama Republicans wana-oppose Immigration Reforms huoni hili litawasaidia maana hawa madogo ni immigrants hivyo Republicans watawaambia kina Obama si mnaona ndio maana tunawaambia tusiligeze masharti ya uhamiaji?

Hapo hapo wengine watasema sababu nzima ya hawa immigrants kuua watu ni mfumo mzima ulio strict wa immigration uliomnyima yule kaka mkubwa uraia wa Marekani na nafasi ya kupigania Marekani boxing katika Olympic. Kwa kuwa alikuwa na kesi ya "domestic violence". Kwa hiyo mfumo wa immigration ulegeze masharti.

Candid Scope ame copy paste (hana kipya alicholeta)

Radhia Sweety anakuja na kukemea "copy paste" kwa non-arguments zilizokuwa sio tu copy pasted, bali hata ridiculed na parodied on Twitter, Slate.com na Salon.com.

Tumefikia pahali si tu tuna kina Candid Scope wanaleta ma spam ya copy paste, bali hata wanaowakemea kina Radhia Sweety wanawakemea kwa kutumia some absurd copy pasted to death non-arguments!

If one is so bent on being anti-copy paste, one should at least take some care to be original so as to not fall into the pitfall of throwing stones while living in a glasshouse.

What is so original in an Obama conspiracy at this point? There is an Obama conspiracy from the state of the major economies to why Britney Spears starts wearing her shoes on the leg she does, on any given day.
 
The link began like this,i hope anyone who is able to copy it here it will be ok,cause people are too lazy nowdays to follow link,
''i know that am shocking many of you here who are hearing this for the first time.Iam sure some of you are thinking that THIS CANT BE TRUE,i dont blame you for thinking so,because many of you have never been told of these FACTS.so i will document these things for you right now.
MY AWAKENING
 

Nakupongeza mkuu binafsi umenisaidia sana hasa ulipotafsiri kwa kiswahili si unajua wengine kuanzia chekechea ni kata na mitaala yenyewe kama unavyoiona
 
Hawa jamaa walivyo smart na sisi kila siku tunashinda kwao tukiomba kuongwa nao hivi wanatuelewa lakini? wanatuonaje taii.
 

Mkuu hayo unayoyaongea una vithibitisho vyake? Haya ya Boston tumeyaona na yako current na wala hayana kutumia nguvu kuyajadili sasa haya ya Nyerere ni chuki iliyokujaa kwa wakatoliki ndo maana unaiingiza kila mnapotajwa mnahusika na maugaidi mengi lazima utafute mkatoliki alifanya nini. Umesikia hapa jamvini tunafurahia mauaji? Au unahisi mleta mada anachuki binafsi na uislam? Mbona umejaza jazba embu nikuulize hivi ukienda hospitali leo unahitajika damu ulishawahi kusema msiniwekee hiyo itakuwa imechanganyika na ya mla kitimoto? Au unajificha ndani ya mtumbwi kama huyu muuaji kuokoa maisha yako ilihali umepoteza maisha ya wegine.
 
Mkuu Candid Scope naomba unisaidie kidogo,hivi huo mtumbwi umefikaje fikaje hapo?au unatembea nchikavu? Ama kweli magaidi hawalali wanatafuta jins ya kutumaliza

Usiangalie picha tu, soma maelezo yaliyopo kwenye bandiko. Huo ni mtumbwi wa mwenye nyumba huyo mzungu mwenye sharafa. Huyo jasusi alipofurumushwa na polisi na kakake kuuawa katika harakati zile alitimua mbio kwa mguu kupitia vichochoroni ambako magari hayawezi kupita, hivyo alipoona huo mtumwi hapo akaingi kujificha. Mwenye nyumba akamshtukia.

Wazungu mitumbwi huutunza nyumbani, kuna mkokoteni anaofunga kwenye gari kwa ajili ya kuupeleka nyumbani na kurudi nao ziwani.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…