Mtume Boniphace Mwamposa amtembelea Paul Makonda ofisini kwake Arusha

Mtume Boniphace Mwamposa amtembelea Paul Makonda ofisini kwake Arusha

Uzuri wa Makonda ni kwamba keshajua kuwa "siasa ni mchezo mchafu " hivyo kajiandaa ipasavyo. Hata kama akichafuka, anajua sabuni za kujikosha zinapatikana wapi.
Nimeona.

Kaamua Kama mbwai na iwe mbwai.

Kuanzia hii April 2024 kwenda December 2025 mpaka April 2026….. Muumba atupe afya njema na uhai mrefu, yapo mengi ya kushuhudia.
 
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Boniface Mwamposa ofisini kwake, jijini Arusha

View attachment 2962309

Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa hilo wamempongeza Makonda kwa kuendelea kuaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na kumtaka kuendelea kuwatumikia wananchi kwa nguvu na jitihada zake zote

Aidha, Mwamposa sambamba na watumishi wenzake wa Mungu walimuombea baraka Mkuu wa mkoa huyo sambamba na kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kumpa utashi, afya njema na nguvu za kuwatumikia wananchi wa mkoa huo

View attachment 2962315

Makonda leo, Jumamosi Aprili 13.2024 anafanya kikao cha ndani na Wakuu wa taasisi, Wakurugenzi na wakuu wa idara mbalimbali pamoja na kusikiliza kero za wadau mbalimbali ikiwemo wa sekta ya maliasili na utalii.

Pia soma: Makonda amtumia Mwamposa kupata umaarufu kwa kisingizio cha Salamu za Rais Samia , ni mbinu duni sana
Aisee tuna viongozi wa dini wanafiki Sana, wanaangalia upepo unavyovuma.
 
Ambitious Makonda [emoji1787][emoji1787]
Ukitazama sura yake tu utaona D mbili kweli hakupata
Anatamani aanzishe serikali yake ndani ya serikali awaadhibu wasiomkubali
 
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Boniface Mwamposa ofisini kwake, jijini Arusha

View attachment 2962309

Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa hilo wamempongeza Makonda kwa kuendelea kuaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na kumtaka kuendelea kuwatumikia wananchi kwa nguvu na jitihada zake zote

Aidha, Mwamposa sambamba na watumishi wenzake wa Mungu walimuombea baraka Mkuu wa mkoa huyo sambamba na kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kumpa utashi, afya njema na nguvu za kuwatumikia wananchi wa mkoa huo

View attachment 2962315

Makonda leo, Jumamosi Aprili 13.2024 anafanya kikao cha ndani na Wakuu wa taasisi, Wakurugenzi na wakuu wa idara mbalimbali pamoja na kusikiliza kero za wadau mbalimbali ikiwemo wa sekta ya maliasili na utalii.

Pia soma: Makonda amtumia Mwamposa kupata umaarufu kwa kisingizio cha Salamu za Rais Samia , ni mbinu duni sana
Watu waovu hutumia imani kuficha dhambi zao let's see nguvu kubwa kuonekana mwema
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili hapo chini

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Nabii Boniface Mwamposa ofisini kwake Jijini Arusha.

Nabii Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa lake, Wamempongeza Mh.Mkuu wa mkoa kwa kuendelea kuaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kumtaka kuendelea kuwatumikia wananchi kwa nguvu na Jitihada zake zote.

Aidha Nabii Mwamposa sambamba na watumishi wenzake wa Mungu walimuombea Baraka Mh. Mkuu wa Mkoa wakimsihi Mwenyenzi Mungu aendelee kumpa Utashi, afya njema na nguvu za kutosha katika kuwatumikia wananchi wa Jiji la Arusha.

Mkuu wa Mkoa Mh.Makonda leo anafanya kikao cha ndano cha kuzungumza na wakuu wa Wakurugenzi na wakuu wa Idara mbalimbali pamoja na kusikiliza kero za wadau na wafanyabiashara mbalimbali wanaofanya kazi zao mkoani Arusha. @daupizo_
Hawa ni patners in crime
 
Hawa watu ni wamoja kwenye mambo yao.
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili hapo chini

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Nabii Boniface Mwamposa ofisini kwake Jijini Arusha.

Nabii Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa lake, Wamempongeza Mh.Mkuu wa mkoa kwa kuendelea kuaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kumtaka kuendelea kuwatumikia wananchi kwa nguvu na Jitihada zake zote.

Aidha Nabii Mwamposa sambamba na watumishi wenzake wa Mungu walimuombea Baraka Mh. Mkuu wa Mkoa wakimsihi Mwenyenzi Mungu aendelee kumpa Utashi, afya njema na nguvu za kutosha katika kuwatumikia wananchi wa Jiji la Arusha.

Mkuu wa Mkoa Mh.Makonda leo anafanya kikao cha ndano cha kuzungumza na wakuu wa Wakurugenzi na wakuu wa Idara mbalimbali pamoja na kusikiliza kero za wadau na wafanyabiashara mbalimbali wanaofanya kazi zao mkoani Arusha. @daupizo_
watu
 
Back
Top Bottom