Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Nimeona.Uzuri wa Makonda ni kwamba keshajua kuwa "siasa ni mchezo mchafu " hivyo kajiandaa ipasavyo. Hata kama akichafuka, anajua sabuni za kujikosha zinapatikana wapi.
🤣🤣🤣 Duuu aiseeeNa safari hii Atakunya ( Ataukweka ) kabisa Wewe subiri tu utaona.
Aisee tuna viongozi wa dini wanafiki Sana, wanaangalia upepo unavyovuma.Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Boniface Mwamposa ofisini kwake, jijini Arusha
View attachment 2962309
Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa hilo wamempongeza Makonda kwa kuendelea kuaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na kumtaka kuendelea kuwatumikia wananchi kwa nguvu na jitihada zake zote
Aidha, Mwamposa sambamba na watumishi wenzake wa Mungu walimuombea baraka Mkuu wa mkoa huyo sambamba na kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kumpa utashi, afya njema na nguvu za kuwatumikia wananchi wa mkoa huo
View attachment 2962315
Makonda leo, Jumamosi Aprili 13.2024 anafanya kikao cha ndani na Wakuu wa taasisi, Wakurugenzi na wakuu wa idara mbalimbali pamoja na kusikiliza kero za wadau mbalimbali ikiwemo wa sekta ya maliasili na utalii.
Pia soma: Makonda amtumia Mwamposa kupata umaarufu kwa kisingizio cha Salamu za Rais Samia , ni mbinu duni sana
Watu waovu hutumia imani kuficha dhambi zao let's see nguvu kubwa kuonekana mwemaMkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Boniface Mwamposa ofisini kwake, jijini Arusha
View attachment 2962309
Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa hilo wamempongeza Makonda kwa kuendelea kuaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na kumtaka kuendelea kuwatumikia wananchi kwa nguvu na jitihada zake zote
Aidha, Mwamposa sambamba na watumishi wenzake wa Mungu walimuombea baraka Mkuu wa mkoa huyo sambamba na kumuomba Mwenyezi Mungu aendelee kumpa utashi, afya njema na nguvu za kuwatumikia wananchi wa mkoa huo
View attachment 2962315
Makonda leo, Jumamosi Aprili 13.2024 anafanya kikao cha ndani na Wakuu wa taasisi, Wakurugenzi na wakuu wa idara mbalimbali pamoja na kusikiliza kero za wadau mbalimbali ikiwemo wa sekta ya maliasili na utalii.
Pia soma: Makonda amtumia Mwamposa kupata umaarufu kwa kisingizio cha Salamu za Rais Samia , ni mbinu duni sana
Hawa ni patners in crimeWadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Nabii Boniface Mwamposa ofisini kwake Jijini Arusha.
Nabii Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa lake, Wamempongeza Mh.Mkuu wa mkoa kwa kuendelea kuaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kumtaka kuendelea kuwatumikia wananchi kwa nguvu na Jitihada zake zote.
Aidha Nabii Mwamposa sambamba na watumishi wenzake wa Mungu walimuombea Baraka Mh. Mkuu wa Mkoa wakimsihi Mwenyenzi Mungu aendelee kumpa Utashi, afya njema na nguvu za kutosha katika kuwatumikia wananchi wa Jiji la Arusha.
Mkuu wa Mkoa Mh.Makonda leo anafanya kikao cha ndano cha kuzungumza na wakuu wa Wakurugenzi na wakuu wa Idara mbalimbali pamoja na kusikiliza kero za wadau na wafanyabiashara mbalimbali wanaofanya kazi zao mkoani Arusha. @daupizo_
watuWadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Nabii Boniface Mwamposa ofisini kwake Jijini Arusha.
Nabii Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa lake, Wamempongeza Mh.Mkuu wa mkoa kwa kuendelea kuaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kumtaka kuendelea kuwatumikia wananchi kwa nguvu na Jitihada zake zote.
Aidha Nabii Mwamposa sambamba na watumishi wenzake wa Mungu walimuombea Baraka Mh. Mkuu wa Mkoa wakimsihi Mwenyenzi Mungu aendelee kumpa Utashi, afya njema na nguvu za kutosha katika kuwatumikia wananchi wa Jiji la Arusha.
Mkuu wa Mkoa Mh.Makonda leo anafanya kikao cha ndano cha kuzungumza na wakuu wa Wakurugenzi na wakuu wa Idara mbalimbali pamoja na kusikiliza kero za wadau na wafanyabiashara mbalimbali wanaofanya kazi zao mkoani Arusha. @daupizo_