Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Nakataa kwasababu, Sayansi zipo za aina nyingi.
 
wapi amesema kuwa
ameumba dhakari na uke?!!!!
 
weka usahihi wake [emoji4]
Ww kweli mtu wa ajabu sana?!

ulete uongo wako,
kisha uniamuru mm,uongo wako niusahihishe?!!

Kubali kwanza kama ww umekosea,kwa kutuma uongo

kisha rejea kwenye kitabu tena na usome kwa mara ya pili au soma zaidi hata mara sabini...kisha tuletee kilichosahihi
 
Kisha nawapa nasaha
1)Mgen
2)2013

Ikiwa mnauendeleza uzi huu,kwa lengo la kupindisha ukweli,Basi fahamuni,njia ya muongo ni fupi.
Na ikiwa mnafanya haya,kwa lengo zuri,Basi fanyeni uhakiki kwanza,kisha ndio mseme


Tusipoteze muda hapa
huku tukiwa ni wabebaji wa madhambi mbele ya Mola wetu
Tufahamu Tufahamu
ipo siku,tutasimama mbele ya Mola,na kila mmoja ataulizwa kwa kile alichokifanya
 
Mimi nimenukuu tu toka vyanzo vya ilimu islamu! sasa wewe unae ona Mimi nimekosea wajibu wako kuweka Ukweli [emoji4]
 
wapi amesema kuwa
ameumba dhakari na uke?!!!!

soma matini [emoji117] mfasiri kaweka tafsida halafu unaanzisha hoja ndani ya hoja! Hizo aya nyingine umekausha unakuja kwenye dhakar...[emoji38] [emoji38]
 
Mimi nimenukuu tu toka vyanzo vya ilimu islamu! sasa wewe unae ona Mimi nimekosea wajibu wako kuweka Ukweli [emoji4]
vyanzo vipi hivyo?!

umenukuu kwenye Kitabu,kitabu ambacho mwanzo wake mpaka mwisho,hakuna Hadithi mfano wa hiyo uliyoitoa

sasa labda kuna vyanzo vingine ambavyo ww unavijua zaidi

Muhimu tu
Piga picha page nzima ya Kitabu husika,kisha itume hapa
 
soma matini [emoji117] mfasiri kaweka tafsidaView attachment 859592 halafu unaanzisha hoja ndani ya hoja! Hizo aya nyingine umekausha unakuja kwenye dhakar...[emoji38] [emoji38]
ndio maana nilikuambia

jifunzo Lugha ya Kiarabu,Kiarabu si sawa kabisa na Kiswahili

Usilolijua,ni sawa na usiku wa kiza

Uliza uambiwe na ufunzwe,usilete uhuni katika Dini
 
Nakataa kwasababu, Sayansi zipo za aina nyingi.
Endelea kuzunguka , hakuna mwanasayansi duniani atakae kuamini kuwa yesu aliuambia mti ukauke halafu ukakauka, kwasababu kisayansi haiwezekani mti ukauke kwa maneno ,hapo vip unawaamini wanasayansi kwenye hili la maneno hayakaushi mti?
 
Hoja yako iko wap? mtu wa kwanza adam kaumbwa kwa udongo , halafu tuliofata ni manii sasa hapo kuna hoja au unaunga unga tu
 
Mimi nimenukuu tu toka vyanzo vya ilimu islamu! sasa wewe unae ona Mimi nimekosea wajibu wako kuweka Ukweli [emoji4]
Vyanzo gani wewe wacha porojo unakuja na maandiko ya Vatican unaita hadithi
 
Hiyo ni dhakara wali untha , unajua tafsiri yake bwana mdogo au unabwabwaja tu?



Hiyo ni dhakara wali untha , unajua tafsiri yake bwana mdogo au unabwabwaja tu?

Hatuko kwenye jukwaa la lugha hapa[emoji12] nimeleta hizo ayat kama ushahidi kwamba allah na baba kassim wanawachanganya wana-sayansi na sisi lay man kwa ujumla wake [emoji4] hadi allah anakataa sio yeye aliye umba dhakar na untha [emoji4] kuwa Bwana mdogo sio hoja Hekima Amenifundisha [emoji117] dhahir eeh [emoji4]
 


Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.
(Quran 2:6)
Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri. (Quran 2:34)


Yeye ndiye aliye kuumbeni. Miongoni mwenu yupo aliye kafiri, na yupo aliye Muumini. Na Mwenyezi Mungu anayaona mnayo yatenda (Quran 64:2)

Kwa hiyo hapo ibilisi ni miongoni mwa kafiri mwenzenu. Alimuingia Yuda kisha akamsaliti Brian Deacon had akavalishwa nepi ili mupate uokovu. Unakuja kubana pua hapa kumkana mtu aliyechangia wewe kafiri upate uokovu.
 
Kwa hiyo wewe ni nyani?
 

Hebu msikilize allah kwa kinywa cha baba kassim anavyo wapa muongozo [emoji117] kama umejaa povu allah anakuagiza ukachukue udhu [emoji4] unacho andika una tofauti gani na kafiri [emoji47] nimeamini kafiri hana Mkole kama tuwaonavyo wangese!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…