Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Hoja yako hapo ni nini? umetoa mandiko mengi lakini hoja yako haionekani
 

MUNGU NI ROHO SIO? Utaionaje ROHO [emoji47] ndio sababu aliuvaa Mwili ili tumuone na Wajanja TUKAMUONA NA UTUKUFU WAKE TUMEUONA [emoji122] [emoji122] [emoji123] [emoji106]
 
hili tumeshakujibu huyo alikuwa mtume (mwakilishi) ,ni kama majaliwa alivyomwakilisha magufuli china tu, lakini majaliwa hatabaki waziri mkuu hata kama kamwakilisha magufuli china, acha bange
 
MUNGU NI ROHO SIO? Utaionaje ROHO [emoji47] ndio sababu aliuvaa View attachment 859957Mwili ili tumuone na Wajanja TUKAMUONA NA UTUKUFU WAKE TUMEUONA [emoji122] [emoji122] [emoji123] [emoji106]
Hayo maneno ya nani anaemsemea Yesu upuuzi Huo? kwani yesu hakuwa na mdomo mpaka mumlishe maneno !!wapi yesu kakufundisha yeye ni Mungu ?
 
Hoja yako hapo ni nini? umetoa mandiko mengi lakini hoja yako haionekani
Hoja yangu ni kwamba Mohamad sio Roho Wa Kweli ama Roho Mtakatifu. Kwasababu hakua na Utakatifu wowote wala Ukweli wowote ulimini kwake.
Alikua mdhambi mzuri sana na muuaji. Alikufa katika Dhambi kwakua hakuliamini Jina pekee la Mwana wa Mungu.
Roho aliyemtaja Yesu ni Yule anayetamkwa kwenye ubatizo.period.
 
unatusemea au unatulazimisha? mambo ya alliens ni porojo tupu hakuna kitu kama hicho wala hakuna mwanasayansi anaeweza kuthibitisha



unatusemea au unatulazimisha? mambo ya alliens ni porojo tupu hakuna kitu kama hicho wala hakuna mwanasayansi anaeweza kuthibitisha

Hivi jihadi yoote hii unapigania nini??? nii hiyo ahadi famba ya kwenda kukata mauno mbele ya allah huku unapiga [emoji102] baba yake kasimu anavyo serebuka na mke Wa firauni [emoji15] [emoji12] nenda qbar, jolly club, rozana, au dangulo la binti shabani pale kwa mtogole utapata na ziada...halafu kama rozana inapigiwa debe tigo buku jero Voda Nyongeza....[emoji4] kuliko shida yooote mnayo ipata Kugonga kichwa Ardhi sijui kutwa mara ngapi [emoji15] kutwa Mara ngapi masudi [emoji4] kukamuliwa ngama, kugoma kula mchana mwezi Mzima na ushehe [emoji12] ndio sababu Yesu Amesema Hao wanao muabudu shetani hawana Raha [emoji117]
 
hili tumeshakujibu huyo alikuwa mtume (mwakilishi) ,ni kama majaliwa alivyomwakilisha magufuli china tu, lakini majaliwa hatabaki waziri mkuu hata kama kamwakilisha magufuli china, acha bange
Kisilamu silamu umepatia [emoji12]
 
Hayo maneno ya nani anaemsemea Yesu upuuzi Huo? kwani yesu hakuwa na mdomo mpaka mumlishe maneno !!wapi yesu kakufundisha yeye ni Mungu ?



Hayo maneno ya nani anaemsemea Yesu upuuzi Huo? kwani yesu hakuwa na mdomo mpaka mumlishe maneno !!wapi yesu kakufundisha yeye ni Mungu ?

Biblia Takatifu Haikuandikwa apendavyo mtu wala kukariri...Yesu hana dhambi ni Mkamilifu MWANADAMU gani mwingine ASIYE na dhambi [emoji47] Mayahudi walitaka kumpopoa mawe kwa kusema yeye ni Mungu [emoji117] hebu jiongeze badala ya kukumbiuka zile bakora zà makaio kule madrasat humu hakuna bakora hau [emoji4]
 
Hata sisi WaKisto Tunafahamu fika pasi na Shaka kwamba Yesu Kristo alikuja kwa ajili ya Waisraeli. Ni kawaida kunukuu Vifungu MBALIMBALI ILI kuthibitisha Hilo
[emoji116] [emoji116]
Yohana 1:11-12
[11]Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea. [12]BALI WOTE waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, NDIO WALE WALIAMINIO JINA LAKE;
[emoji115] [emoji115]
Zingatia hapo juu anasema "wale waliaminio Jina Lake" tu.



Angali akitaka WaIsraeli kumpokea. Yesu KRISTO alikua na The Biggest Plan ahead ya kueneza Injili Ulimwenguni Kote.
[emoji116][emoji116]
Mathayo 10:18
nanyi mtachukuliwa mbele ya maliwali na WAFALME kwa ajili YANGU, kuwa ushuhuda KWAO NA KWA MATAIFA.

[emoji115] [emoji115]
Huu ujumbe unathibitisha unabii wa Roho mtakatifu kupitia Simeoni kua Yesu ndiye Nuru ya Mataifa yote duniani.

Simeon anena hapa chini[emoji116] [emoji116]
Luka 2:32
Nuru ya kuwa mwangaza wa Mataifa, Na kuwa utukufu wa watu wako Israeli.


Nabii Isaya naye alimtabiria Yesu vivyohivyo..
[emoji116] [emoji116]

Isaya 42:1
[1]Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia ROHO YANGU JUU YAKE; naye atawatolea mataifa hukumu.


Yesu anaTOA unabii kuhusu Injili.
[emoji116] [emoji116]
Mathayo 24:14
Tena HABARI NJEMA YA UFALME ITAHUBIRIWA katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa MATAIFA YOTE; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.

Marko 13:10
Na SHARTI Injili ihubiriwe kwanza katika mataifa yote.

Yohana 12:46
Mimi nimekuja ili niwe nuru ya ulimwengu, ili kila mtu aniaminiye mimi asikae gizani.

Yohana 3:18
Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini JINA LA MWANA PEKEE WA MUNGU.

Mathayo 21:9
Na makutano waliotangulia, na wale waliofuata, wakapaza sauti, wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi; ndiye mbarikiwa, yeye ajaye KWA JINA LA BWANA; Hosana juu mbinguni.


Mathayo 28:18-20
[18]Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
[19]Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
[20]na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.


Bear in mind anapozungumzia Mataifa hazungumzii kua atakomboa na Mashetani ili yamrudie Mungu. Kristo amekuja Kukomboa wanadamu tu, aliewaumba kwa mfano wake na kuwapulizia na Pumzi akafanyika ScapeGoat kwaajili yao.

Yesu Kristo ni Adui Mkuu wa Mashetani na Baba wa Uongo na muuaji yote. Na Jina lake halitakwi na mashetani. Kwakua ni Jina Kuu Sana na Takatifu sana.
 
Waandishi wote waliongozwa na roho mtakatifu mmoja kwanini watofautiane? ahahahahaajhahaba huyu Zambarau na huyu Nyekundu au roho mtakatifu ajui rangi ahahahhahahha kusulubiwa yesu ni uzushi mtupu
....waandishi walikunywa divai ya altareni
 
Ndani ya msikiti
 


Don't be a fool kutizama ujinga wa Emmanuel TV, yale yote ni maigizo tu. Usiwe mtumwa kihivyo, jamaa anawachezea akili tu.
 
Don't be a fool kutizama ujinga wa Emmanuel TV, yale yote ni maigizo tu. Usiwe mtumwa kihivyo, jamaa anawachezea akili tu.
Sawa mkuu, kila kitu kina wakati wake.
Iko siku utaujua ukweli, mimi sipendagi kuamini vitu vya kuambiwa, huwa nachukua mda kichunguza kwa umakini bila kishinikizwa na maneno ya watu mitaani.
Kuna wakati jamaa zangu walinihubiria dini ya Kiislamu na nilitaka kusilimu kabisa.
Nikaona wacha niisome Qurani mwanzo mwisho bila kinyongo chochote.
Nikaanza kwanza na kile kitabu kidogo cha Hadithi za Mtume.
Halafu nikaendelea na Surat Fatiha na kuendelea.
Nilipoifikia Surat Jinn, nikaisoma kwa kuirudia rudia, nikawauliza wasomi wa kiislamu na wakanihakikishia kuwa Majini nayo ni Maislamu na Ibirisi ni miongoni mwa hayo Majini, nikaishia hapohapo, sura za mbele sikuendelea nazo.
Surat Jinn ndiyo iliyonifanya nisisikimu na kuwa Mwislamu hadi leo.
Nawewe unaweza fanya hivyohivyo kwa TB Joshua. Kila Jumapili kuna Ibada Live kwenye Emmanuel tv, tumia Jumapili moja kuiangalia Ibada yake bila kinyongo, sikiliza kwa makini anavyohubiri, Shuhuda za watu na maombezi.
Kama kinachofanyika humo kanisani kwake hakipo kwenye Biblia basi achana naye.
Wewe nakuona hata huangalii ibada zake kwa uhuru wa fikra, hebu jaribu kifanya hivyo na usimezeshwa maneno na watu Mimi siku ya kwanza tu nilipomwangalia anavyoendesha ibada zake, na nilikuwa peke yangu sebureni, na kwa mara ya kwanza kabisa, nikampenda na kujiridhisha kuwa anachofundisha ni kile Yesu Kristo alikiagiza kukifundisha. Ila kama mwanadamu ana mapungufu yake ya kuubinadamu.
Kama ulivyo wewe na mimi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…