Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Ahahahaaahahahhaajajajajajja bureee kabisa
Msikie Paulo[emoji116] [emoji116] [emoji116]

1 Wakorintho 8:6
lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu, aliye Baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake; yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa yeye huyo.
 
Kila siku namiambia Paulo ni mtu wa kufuru bado mnasoma maandiko yake , huyu kuua na kufundisha kufuru ndio tabia yake Wewe unamuona paulo mtu wa maana
 
Msingi Mkuu wa Ubishi wako dhidi ya Ukristo ni Quran. Japo unajificha kwenye Upagani na hiyo avatar yako.

Inaonyesha Uu mweupe kwenye Quran. Unaogopa jehanum ya allah ndio maana hauna uwezo wa kuhoji Quran yako.
Yesu alikufa na Yesu alifufuka.


O Jesus, I will cause you to die, and exalt you to My presence, AND CLEAR YOU OF THOSE WHO DISBELIEVE and clear you of those who disbelieve and make those who follow you above those who disbelieve till the day of Judgment." (3:54)

[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji108]

Make those who follow you above those who disbelieve till the day of Judgement", i.e. his followers would forever have the upper hand over his rejectors.


Xxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

O Jesus, I will cause you to die, and exalt you to My presence, AND CLEAR YOU OF THOSE(Mohamadans) WHO DISBELIEVE and and make those who follow you above those who disbelieve till the day of Judgment." (3:54)
 
Kila siku namiambia Paulo ni mtu wa kufuru bado mnasoma maandiko yake , huyu kuua na kufundisha kufuru ndio tabia yake Wewe unamuona paulo mtu wa maana
Mnamsingizia Paulo, huyu kapiga kazi kuliko mitume wote wa kristo..
 
Unapata tabu mpaka unaingiza maneno ambayo hayapo kabisa katika hiyo aya hili upate kujitetea , ndugu Quran ilishamaliza kazi kitambo hizo tafsiri unazotaka kuzileta unapoteza muda
QURAN 4:157-158
";Na kwa kusema kwao :sisi tumemuua Masihi Isa , mwana wa Maryamu , mtume wa Mwenyezi Mungu nao HAWAKUMUUA WALA HAWAKUMSULUBU, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitilafiana katika haya wamo katika shaka nayo"


Mpo kwenye shaka kubwa dhambarau au nyekundu , saa tatu au saa sita , Yesu hakusulubiwa vijana , ukweli ndio huo hata dai lenu mwenzenu atundikwe ili laana yenu iondoke ni imani ya ovyo kwelikweli
 
Mnamsingizia Paulo, huyu kapiga kazi kuliko mitume wote wa kristo..
Kwa lipi mimi nimsingizie Paulo , huyo paulo ni mtu wa kufuru aliejitengenezea movie ya kudai katumwa na yesu

MATENDO YA MITUME 26:11
";Na mara nyingi katika Masinagogi yote naliwaadhibu , nikawashurutisha KUKUFURU; nikawaonea hasira kama mwenye wazimu, nikawaudhi hata katika miji ya ugenini;"

Huyo ndio Paulo kufuru ni tabia yake kitambo , akamipiga changa la macho eti katokewa na yesu ahahaahaahaaha
 
Nimekusikia ukisema his followers unawajua hao followers haya sasa ngoja Quran ikufundishe tena maana unaweza kujiaminisha kisichokuwepo kabisaa

QURAN 3:52
";Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema; nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu? wanafunzi wake wakasema; sisi ni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu.Tumemuamini Mwenyezi Mungu , na shuhudia kwamba sisi hakika ni WAISLAMU";

hao wanafunzi wa Yesu ndani ya QURAN wamekiri ni waislamu haya leta hoja yako tena
 
Hujamuelewa. Hapo anateleza kua:- alikua akiwalazimisha kukufuru. Kwakua alipokua awali, alijua anafanya yampendezayo Mungu
 


KUDANGANYA NDIO HOJA YENU BILA HIVYO UKRISTO KWISHNEI, FISI MMOJA WEEE

WACHA KILA MTU ASOME HIYO QURAN 3:54 INASEMA NINI:Surah Ali 'Imran [3]
 



Jesus was teaching his disciples in the outer court of the Temple and one of them said unto him: Master, it is said by the priests that without shedding of blood there is no remission. Can then the blood offering of the law take away sin?

And Jesus answered: No blood offering, of beast or bird, or man, can take away sin, for how can the conscience be purged from sin by the shedding of innocent blood? Nay, it will increase the condemnation. (Gospel of the Nazorenes, Lection 33, verses 1-2)

Christianity is based on the Mystery Religions of the ancient world. The doctrines of the ‘trinity’ and ‘incarnation’ were borrowed from the pagans. In fact, the whole religion was fabricated after the departure of Jesus. This article will prove just that.



The legendary stories of ‘man-god’ saviors dying for the sins of their people (and rising three days later) were very common! Christianity plagiarized the stories and foisted them upon Jesus (pbuh). The scholar Tom Harper writes:



“The divine teacher is called, is tested by the “adversary”, gathers disciples, heals the sick, preaches the Good News about God’s kingdom, finally runs afoul of his bitter enemies, suffers, dies, and is resurrected after three days. This is the total pattern of the sun god in all the ancient dramas”. (The Pagan Christ, p. 145)



A very important part of the pagan faiths was the belief in a god who was young and handsome and was supposed to have died or mutilated himself for the sake of mankind.(A.D. Ajijola , The Myth of the Cross)



The dogma of the Incarnation was taken into Christianity, like many other Christian doctrines, from paganism. In pre-Christian mythologies we often read of the hero being regarded as a God. The Hindus of India even today worship their ancient heroes, Rama and Krishna, as incarnations of Vishnu, the second person of the Hindu Trinity.



Islam has liberated its followers from the bondage of such superstitions by rejecting the dogma of the Incarnation.

(Islam and Christianity, Mrs. Ulfat Aziz-Us-Samad, International Islamic Federation of Student Organizations, pp.38)



It seems that Jesus was actually the Sun of God, and not the ‘Son of God’, yet both of these titles are pagan, ascribed to Jesus after his departure. No wonder the early Christians of Egypt were accused of sun worship. Jesus rejected the title ‘Son of God’ (Luke 4:41) and that is why the Holy Quran rejects the sonship of Jesus, because it’s entirely pagan.
 
Hujamuelewa. Hapo anateleza kua:- alikua akiwalazimisha kukufuru. Kwakua alipokua awali, alijua anafanya yampendezayo Mungu
Ndivyo alivyokuambia Askofu wako?
 
Kila siku namiambia Paulo ni mtu wa kufuru bado mnasoma maandiko yake , huyu kuua na kufundisha kufuru ndio tabia yake Wewe unamuona paulo mtu wa maana

Tofautisha Sauli na Paulo Mwana Wa Mungu wewe [emoji12] kafir mkubwa ni Baba fatu ambaye amekataa hata kuitwa yeye ni Mwana wa Mungu na wanao kataa kuitwa wana wa Mungu baba yenu ibilisi [emoji117] hakuna neutral ground Mwana Wa Mungu ima wa ibilisi [emoji4]
 
mushahara ona mwenzio kaja na c&p kaona ni rejea safi sanaà kuliko alio waachia allah kwa kinywa cha baba fatu [emoji4] kama wewe sio kafir mrekebishe ilaha kama kafir kausha [emoji4]
 
Kama Yesu hakufa kubali Leo Yesu ni MUNGU [emoji123] [emoji106]
 
Kama UJASILIMU unajidanganya bureeeee, wewe endelea kujipa moyo huku unaungua , Mungu alisema tumiulize swali moja tu je MMESILIMU? kama bado changamka mda umebaki mdogo
Hicho ulicho post ndio mstari kwamba Wakristo wana Mungu zaidi ya Mmoja?
 
Mukuli Bokera wengine wavivu Wa kusoma khutba [emoji4] nakuomba tu unijibu huyu Muhammad kasema kweli yake au kweli ya Kweli? Kwa sababu sisi wanadamu kila mtu anayo sababu ya Kuamini!
 
KUDANGANYA NDIO HOJA YENU BILA HIVYO UKRISTO KWISHNEI, FISI MMOJA WEEE

WACHA KILA MTU ASOME HIYO QURAN 3:54 INASEMA NINI:Surah Ali 'Imran [3]
Nyie ndio mnaodanganya na Taqiyah, Kitman yenu. Wana zuoni waliosoma Deen wakazama ndani, wanasema waziwazi. Mmeedit kwa tafsir za Non-Arabs ili ionekane hajafa. Lakini ikikaa hivi ndio ina make sense. Nimekuwekea Tafsir ya Ndani.

(Quran 21:8)
They (i.e. the prophets) did not abide for ever (khalidun)"
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…