Kashindwa baba kassim itakuwa wewe [emoji47] kusoma kwenyewe hujui [emoji12]Ahahahahahahaahahahhaahaha nimekuruhusu itafute uilete mimi kazi yangu ni moja kujibu hoja zako, hakuna hoja hapa ambayo haitojibiwa mbona rahisi tu
Labda nikueleze hivi:-Ahahaahahahah ndio maana nikakwambia ishara ya Yona unaijua? Shetani na yuda ndio mashujaa kwenye tukio hilo la kutengenezwa, kama unabisha muondoe shetani uone kama yuda angefanya usaliti huo mnaoutengeneza kwa mayesu wa kichina
Hujui kusoma [emoji38] [emoji38] [emoji38] hiloo [emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ahahahahahahhaajajaajaj unaanza kutoa mapepo, wakristo awaelewi na watapata tabu sana asa kitendo cha kumfanya mtu kuwa Mungu kitawatafuna sana
Athari za kutojua kusoma kama hujui ndio hizo [emoji38] [emoji24]Pepo ya kuimba imba anaitaka nani? yaani mimi nijitese ujira uwe kuimba , kauli yangu ipo pale pale Mungu awezi kufanywa Toy na viumbe wake, huo ni upungufu wa akili
Njoo kwa Yesu yuko Hai akufundishe kusoma [emoji106] kengele inàkuita kila asubuhi wajinga njoo wajinga njoooo..wee hutakj bakia na ujinga wako [emoji4]Ni kweli wapo miongoni mwao kama wewe , Mungu anakwambia Yesu ni mtu alietumwa na Mungu , Wewe umeendelea kutoa mishipa ya shingo na kutoka povu eti yesu ni Mungu, wewe huwezi kujua kitabu bali utajua kufuru zile za bwana Paulo ahahahahahhahaahahahaa
Anzisha uzi [emoji12] [emoji15]JIULIZE, kwa nini watu wanaamini ufufuo?
MAJIBU
Paulo ndiye aliyefundisha ufufuo: Matendo 17:18 “...Wengine [Wayahudi] wakasema, Mpuzi huyu [Paulo] anataka kusema nini?
Wengine walisema, Anaonekana kuwa mtangaza habari za miungu migeni, kwa maana alikuwa akihubiri habari za Yesu na ufufuo.”
Paulo ambaye hajamwona Yesu, vilevile alikiri kuwa ufufuo wa Yesu ni Injili yake 2 Timotheo 2:8 "Mkumbuke Yesu Kristo, aliyefufuka
katika wafu, wa uzao wa Daudi kama inenavyo injili yangu."
Vilevile Paulo alikuwa ni mtu wa kwanza kutangaza kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu: Matendo 9:20 “Mara [Paulo] akamuhubiri Yesu katika masinagogi, ya kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.”
Kwa hiyo, Ukristo si mafundisho ya Yesu bali ya Paulo.
1 Wakorintho 2:10Fumbo la imani ni story za kutengenezwa na watu tu , Yesu kafundisha watu wapate kuelewa
Yuda Inskariote Sio Shujaa kwasababu kuu moja. Ameisaliti Damu isiyo na Hatia. Amekataa Ukombozi wa Kristo kwasababu ya vipande vya Fedha.Ahahaahahahah ndio maana nikakwambia ishara ya Yona unaijua? Shetani na yuda ndio mashujaa kwenye tukio hilo la kutengenezwa, kama unabisha muondoe shetani uone kama yuda angefanya usaliti huo mnaoutengeneza kwa mayesu wa kichina
Don't be Ignorant.Inamaana ujui au unajitoa akili 1+1+1=1 hii hesabu umewai kuiona wap? Ahahahahahahauauauauuauauauauauau
..Kwasababu Yesu Kristo ndio Sadaka iliyo Bora.JIBU NI HILI
Kama bado unaamini kuwa alikufa msalabani, basi alikuwa ni mtume wa uwongo na amelaaniwa na Mungu kwa mujibu wa vifungu hivi:
Kumbukumbu 13:5 “Na yule nabii, au yule mwotaji wa ndoto, na auawe...”
Kumbukumbu 21:22-23: “Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti; mzoga wake
usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo BWANA, Mungu wako, iwe urithi wako.”
Kuamini kifo hicho cha msalabani ni kuabisha unabii wake.
Wayahudi wanadai kuwa wao wamemuua Yesu msalabani ili kuonyesha kuwa Yesu ni nabii wa uwongo.
Wakristo wanaamini kuuliwa msalabani, ni lazima kwa ajili ya imani yao ya kuokolewa dhambi na, matokeo yake,
wanalazimika waamini kulaaniwa kwa Yesu, vilevile.
Imani hii ya Kikristo inapingana na mafundisho ya Biblia katika Hosea 6:6 “Maana nataka fadhili wala si sadaka; na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa.”
Pia inapingana na mafundisho ya Yesu mwenyewe katika Matayo 9:13 “Lakini nendeni, mkajifunze maana yake maneno haya,
Nataka rehema, wala si sadaka...”
Yesu amesema tena katika Matayo 12:7 “Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia
Ndio unaimbie wewe? Na leo uislam ndio dini inayisambaa kwa kasi amarica na ulaya na kule wanatumia nini? Hadith zenu za historia et uislam ulinea kwa upanga hazinaga mashiko mtume alipigana vita dhid ya makafari kama alivyopigana Daud,joshua na wengine wengi na baada ya hapo hamna kilichoendelea ila nafahamu kwenye historia hata Pope aliomba radhi kuhusu vita vya msalaba Crusade waliuwawa watu kisa sio wakristo...lakin tafute mahali uislam ukiingia kwa upanga julazikisha watu wawe waislam , uturuki,egypt,tunisia na morroco zote zilikuwa nchi za kikristo je zilibadilishwa kwa upangaBwashee hujui unachokiongelea. Nani alikuongopea uislamu ulienea kwa kupendwa na watu au kwa hiyari yao.
Nenda kasome upya historia ya kusambaa kwa uislamu kuanzia kwa mtume hadi makhalifa wake utajua nini kilitokea.
Anzisha uzi [emoji12] [emoji15]
Kama.unajua maaana.ya factor, unaweza kumkataa Yuda sio factor? tena kwa ushawishi wa shetaniTusidharau uwezo wa Mungu. Yuda hawezi kua factor..
Umeulizwa kubusu ni kuabudu? unaanza kuleta habari za omari ambazo tulikujibu amesema kweli, na katika uislamu mtume ajawai kufundisha kuliabudu jiwe sasa hapo napo unaona umeongea jambo la ajabu ahahahahaahaUnashindwa kutofautisha jiwe na Mtu [emoji12] mbona mwenzio omari Alifahaimisha vyema [emoji117] View attachment 866330 kweli mpo gereza la shetani [emoji15]
Sura ya 5:101 mbona iko wazi ";na mkiyauliza inapoteremshwa Quran MTABAINISHIWA"" sasa hapo kipi ujaelewa wakati Mungu amesema msiulize kwasababu Quran ikishuka itabainisha kipi halali kipi haramu kwanini tuangaike kuuliza, kiufupi hoja yako hakuna hapo,amekuonya sana baba kassim kwamba [emoji117] View attachment 866405 haya akawapa Maelekezo tena wanao mwamini [emoji117] View attachment 866409 lakini kwa sababu wewe ni kafir innsui tena umevaa kibri!unamuona baba yake kassim hana alijualo ni zwazwa wahedi tu [emoji4] sasa wewe huamini ayat za mungu wako afu unataka Mimi niziamini wee itakuwa una mtindi Wa ubongo hau [emoji12] View attachment 866412
Saaafi wanapiga kelele nchi ya AHADI bila kujua damu zimemwagika pale ndio kupatikana , wamebaki kukaririshana tu uislamu umepatikana kwa panga ahahahhahaahaqhhqhqNdio unaimbie wewe? Na leo uislam ndio dini inayisambaa kwa kasi amarica na ulaya na kule wanatumia nini? Hadith zenu za historia et uislam ulinea kwa upanga hazinaga mashiko mtume alipigana vita dhid ya makafari kama alivyopigana Daud,joshua na wengine wengi na baada ya hapo hamna kilichoendelea ila nafahamu kwenye historia hata Pope aliomba radhi kuhusu vita vya msalaba Crusade waliuwawa watu kisa sio wakristo...lakin tafute mahali uislam ukiingia kwa upanga julazikisha watu wawe waislam , uturuki,egypt,tunisia na morroco zote zilikuwa nchi za kikristo je zilibadilishwa kwa upanga
Kama wana value ya moja twende kazi sasaDon't be Ignorant.
Kama unajua Hesabu vizuri. Chochote unaweza ku prove kimahesabu.
1+1+1= TriuneGod
kwa muktadha wa kiroho:-
If Baba =1
Mwana =1
Roho Mtakatifu =1.
[emoji115] [emoji115]
Kupitia Simultaneous Equation, Utaanzaje kusema Mwana sio Baba?. Ikiwa wote wana value ya Moja?
Umesema damu haina hatia" si kila siku mnasema kusulubiwa kwa yesu ni jambo lililotabiriwa , yaani Yuda katimiza unabii mjomba yuda na shetani wamefanikisha ukombozi wenu ahahahahahahahahYuda Inskariote Sio Shujaa kwasababu kuu moja. Ameisaliti Damu isiyo na Hatia. Amekataa Ukombozi wa Kristo kwasababu ya vipande vya Fedha.
Amejiua, Hakutubia Dhambi. Amekufa na dhambi.
Huyo ni Paulo amekushika akili unaamini mambo ambayo Yesu ajawai kukufundisha wapi Yesu alikwambia kuna " Fumbo la imani" wewe unatuletea maneno ya bingwa wa KUKUFURU , yesu amesema amefundisha waziwazi wala sio kwa kificho , miaka 100 baada ya yesu ndio mtu aje alete msamiati mpya tena amsingizie Yesu kama mwalimu wake , angalia Paulo anakupoteza1 Wakorintho 2:10
Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata MAFUMBO ya Mungu.