Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Ndio maana hua sipendi kujadiliana na wewe. Huchelewi kUnachanganyikiwa haraka sana.

Allah knows everything, as long as you do not ask him questions and no one is allowed to ask him questions (Qur'an 5:101-102)
Ndivyo Qur'an ya Mwalimu Wa shoga Yayo Agassi Pope Francis inavyosema hivyo??
 

Si uanze kutuambia mataifa 12 ya wayahudi?
 

Hivi ufunuo alikuandikia nani??
 
Umeandika madabu kwanza unaeewa lengo la kuumbwa mwanadamu? Kwanini tuwe mbingun had sasa? Adam alipokuwa kwenye bustan za pepon ilikuwa ni kama honey moon yeye na mkewe ukisuburiwa muda muafaka wa kushuka duniani...Mungu alimesema kwemye Quran nataka kupekeka kiongozi duniani na yotee yalitokea alijua yatatokea sababu maisha yetu sisi ni mtihani ili tuweze kupanda daraja ndio maana kuna siku ya hukumu ama siku ya malipo kila mmoja alipwe kwa kile alichokichuma na hakuna mtu anabeba mzigo wa mtu isipokuwa kama majukumu yako yalikuwa juu ya mtu fulan na huku yatekeleza kwemye Quran imeweka waz adam aliomba msamaha na Mungu akawamsamehe ni atory inakuingia akili sio kama ya bible kuwa adam alisikia hatua za Mungu anatembea yaan Mumgu anamtafuta adam kwenye bustani huku akimuuliza adam adam uko wapi? ndio maana Pope fransic kasema hiyo story ni uzushi iondolewe kwemye bible....

Tatizo lenu mnanyofoa aya moja moja ambazo mnaona zinatafsiri ya kile mnachokitaka bahat mbaya Quran haipo hivyo inaweza kukueleza jambo kwa mtindo wa swali kwenye surat baqara likajibiwa kwenye surat Mulk au ikaelekeza maelekezo kwenye sura nyingine yakafafanuliwa kwenye sura nyingine sababu Qurani ilishuka vipande vipande maagizo maalum kwa wakati maalumu sasa usiisome kama gazeti, ndio maana watu wameshindwa kuandika hata mfano had leo, waarabu mabingwa wa fasihi na lugha weshindwa kutoa japo copya hai match kabisa ufundi ulitumika mule..!.. Dhambi ya asili haipo na wala haijahubiriwa kabla na yesu hizo ni Idea za poul...nyinyi mnfanya vitu vingi amnavyo yesu hajawafundisha hivi nikuulize kwa dhehebu lolote unalosali nani kawafundisha kusali hivyo mnavyo sali? Yaana structer nzima ya ibada yenu mmeitoa wapi kila. Kanisa lina yake ipi ni sahihi utaona mwenyewe ni vitu mmejitungia je Rud kwenye maandiko Yesu mwenye alisali vip

Mettew 29:36
And he went a little further, and fell on his face, and prayed, saying, O my Father, if it be possible, let this cup pass from me: nevertheless not as I will, but as thou wilt.

Na sehem nyingine walipo omba wafundishe kusali akawa fundusha sala ya baba yetu ambayo sisi kwetu ni dua.

Na hadith nyingi unazo okota okota ili utimize azma yako unazid kujipotosha Mwenyewe kwenye uilama kuna taratibu za hadith kukubaalika kama ni ya kweli ama si kweli hatuokoti okoti tu vitu zipo maelfu ya hadith zinasemwa ni mtu na hakusema mtume ndio maana zilitengenishwa na Quran.

So mambo mengi mmejitungia hakuwa kujiita Mungu mmemuita mungu hakuwahi kusema mniabudu mimi nyinyi mnamuabudu, hakuwa kusema mimi ni mtoto wa kuzaliwa wa Mungu alijiita mwana wa Mungu tu kama ilivyokuwa kwa ibrahim,ephraim,wana wa isrsel walivyoitwa wana wa Mungu kwenye bible ila nyie mnasema ni mtoto wa kuzaliwa...hakuwa kutamka neno biblia wala dini ya ukristo lakin nyie mnasema vitu hivyo kaja navyo ukristo ni man made religion
 
Ndivyo Qur'an ya Mwalimu Wa shoga Yayo Agassi Pope Francis inavyosema hivyo??
GAY AND LESBIAN JUSTICE IN THE QUR’AN


1. Adhabu lesbians ndani ya Qur’an


An-Nisa, Qur’an 4:15:


For those who are lesbian of your women, bring four witnesses on them, to testify against them. Then jail them in their houses until they die, and find His own ways.


If women are lesbians, the punishment is jailing them until they die.


Is the punishment for gay men the same?

2. Adhabu kwa Gay Men:

Qur’an
An-Nisa, Qur’an 4:16:

If two of your men among you are guilty of homosexuality, punish them both. If they both repent, leave them alone, for Allah is accepting of repentance, Most Merciful.

TUNAGUNDUA YAFUATAYO:


1. Gay men hawaendi Jela;


2. Wana nafasi ya kutubu;

3.Adhabu yao ni Nyepesi hata kama hawatatubu. Wapigwe na sendoz(Sandals) tu. HA HA HA HA

As we see in Ibn 'Abbas’ interpretation of Qur'an 4:16:

Punish both of them, WITH INSULTS and beatings with sandals; but if they repent from it, LEAVE THEM ALONE.


....You can doubt on your own...
Ha ha ha
 

Ukristo unasurvive Kwa sababu ya kudanganya na uongo ndio wengi wameuacha baada ya kugundua kuwa kumbe ni bomu. Mwanzilishi wa ukristo Paulo anasema , ikiwa kweli ya Mungu imedhihirisha utukufu wake kwa sababu ya Uongo wangu ,Kwa nini nihukumiwe Nina dhambi. Warumi 3:7
 
Vitabu vya kale unafikiri biblia yako ya Queen James nayo imo??
 
Hizo dini zote tumeletewa bora tubaki na zetu za kina mwanamalunde
 
Hivi ufunuo alikuandikia nani??

Kamuulize baba fatûû [emoji12] kila mkiambiwa baba fatûû kawazuia kuuliza maswali maadamu koloani Ipo humuamini umebakia wazimu Wa maswali [emoji117]
 

Attachments

  • IMG_20180918_113117_364.jpg
    52.8 KB · Views: 18
Kamuulize baba fatûû [emoji12] kila mkiambiwa baba fatûû kawazuia kuuliza maswali maadamu koloani Ipo View attachment 869646 humuamini umebakia wazimu Wa maswali [emoji117] View attachment 869657
Acha kukoroga mambo ndg

Usilolijua,ni sawa na usiku wa kiza


Ila jamaa
Punguza Chuki
na kama unalipwa kwa ajili ya kuuchafua Uislam,Basi fahamu ndg fahamu

UMEFELI VIBAYA SANA

Namuomba Mola akuongoze
 
Isome Aya vizr kwa mara nyengine tena

kisha weka hoja

wapi tumekatazwa kuuliza?!
 
Acha kukoroga mambo ndg

Usilolijua,ni sawa na usiku wa kiza


Ila jamaa
Punguza Chuki
na kama unalipwa kwa ajili ya kuuchafua Uislam,Basi fahamu ndg fahamu

UMEFELI VIBAYA SANA

Namuomba Mola akuongoze

Nisilo lijua lipi? uisilamu uko wazi hasa zama hizi za Tech [emoji38] Halafu kwa akili ya kisilamu unaona Mimi ni adui nauchukia uislamu huku Hujui adui #1 wa uislamu ni Vitabu vya kisilamu na wenyewe waisilamu.. ref; haya hayakuandikwa na mgen au adui Wa uisilamu ilaha ni vipenzi na Wafuasi wake wa karibu...
 
Unapoulizwa

huwa ni mwepesi sana kukimbia swali au lengo kuu

ni kawaida yako kijana


Swali langu

Ni wapi sisi tumekatazwa kuuliza maswali?!
 
Isome Aya vizr kwa mara nyengine tena

kisha weka hoja

wapi tumekatazwa kuuliza?!

wewe muumini au mwichilamu? alicho waagiza waumin baba fatuma [emoji117] tuwekee aya humu baba fatuma anawaagiza muulize maswali [emoji12] [emoji4]
 
View attachment 869732 wewe muumini au mwichilamu? alicho waagiza waumin baba fatuma [emoji117] View attachment 869739 tuwekee aya humu baba fatuma anawaagiza muulize maswali [emoji12] [emoji4]
sijaona katazo la moja kwa moja la kuuliza hapo!!!

Naomba katazo la kuuliza swali la moja kwa moja

mimi nitakupa aya inayotuamrisha tuulize,ikiwa hatujui
 
Hupaswi kufuata mafundisho ya Dini kibubusa,maana aliyekuumba kakupa msisitizo juu ya kutafuta Elimu,na manabii+mitume wote walikua ni watu wenye Elimu+utambuzi wa hali ya juu ambao walifanya kazi ya kuwatoa ktk Giza Nene watu kama wewe ili waione kweli na kuifuata na ndio maana utagundua wengi waliotokea kufuata mafundisho ya manabii+mitume walikua ni watu waliokwisha potoka/waovu/waliokengeuka na kufuata njia zao kwa namna ambayo waliona inawafaa lkn Mwisho wa siku wakaenenda ktk njia nyoofu,hivyo ukijitizama vzr pengine "mpumbavu" ni wewe ila kwa sasa hutoliona hilo kwakua upo ktk giza
 
Sema anae shangaa popobawa [emoji11] [emoji15] burdan ninapo chat na daudi kama vile nakula kitimoto [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106]
Ahahahaahaaaahaahaah tabu iko pale pale QURAN iko wazi kabisa Adamu aliposhushwa dunia alikuwa mtu saaafi wala hakuwa na dhambi ( Mungu wetu ni mwenye kupokea toba) , midhambi ya kurisishana kama mali za ukoo huku kwenye uislamu tumekataa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…