Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 974
- 2,106
Mkuu mjadala uhaumaliza mapema tu.......hizi picha zimemaliza ubishi wote,wenye akili washakuelewa japo huyu muanzisha mada ataendelea kujifanya haelewi.Umesaidia sana kuleta hz picha mkuu.Picha ya kwanza na ya tano nikiwa namsimulia mtu jinsI nilivyoliona jua linazama nikamiambia nimeliona jua linazama kwenye maji nitakua namaanisha linazama kwenye maji kweli au ndivyo nilivyoona kwa muono wangu? VipI kuhusu picha ya pili Jua si naliona linazama ardhini? Na picha ya tatu utamuelezeaje mtu kwamba unaliona jua linazama vipi? Nikisema nyuma ya mlima nitakosea? Picha ya nne nikisema jua limezama kwenye mawingu meusi je?
Nadhani hata huyo anaesimuliwa katika Qur an anasema aliliona jua linazama katika matope meusi kwa muono kama huo hapo juu.View attachment 814741View attachment 814742View attachment 814743View attachment 814744View attachment 814745