Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Binafsi elimu dunia nimeisoma na kuilinganisha na elimu ya Mungu. Elimu ya Mungu iko pure na hapana chembe ya uongo. Suala la jua kutozunguka hiyo ni uongo wa kisayansi, kwani kiuhalisia hata kwa kulitazama jua lina Move.
Kwamba dunia ni elliptical sphere, pamoja kung'ang'anizwa nikariri hivyo mpaka leo hii nimekataa na naona kwa macho yangu dunia ni flat, Jua, Mwezi na Nyota zote zinazunguka juu ya uso wa dunia, Jua na mwezi zikiwa na ukubwa sawa na kiwango cha mwanga tofauti lakini Nyota zikiwa ni ndogo kuliko jua na mwezi.
By the way, Jua sio Nyota na wala Nyota sio jua kama sayansi inavyolazimisha.
Zaidi ya hapo vitu vinavyoitwa sayari is just "sci-fi" tu but in reality hakuna kitu kinaitwa sayari angani but kuna Mwezi, Jua, na Nyota.
Drama za NASA hasa ni za kupinga ukweli halisi (ambao hata wao wa Naujua) na kule launch uongo mkuu kwa malengo maalumu kabisa.
Bila Shaka Dunia sio sayari na haijawahi kuwa, tena ni kweli Antarctica sio bara la saba kwa ukubwa bali ni Sio bara kabisa ndio maana hata kwenye bendera ya UN naya USGS halijaoneshwa kwa kwa kuwa sio bara.
Kwa kumalizia ni kwamba sio wanasayansi wote wanaothibisha kuwa jua ni Immovable objects lipo kundi kubwa tu la wanasayansi wa kale na wa kisasa wanaothibisha pasipo chembe ya shaka kuwa dunia ni immovable, na jua, mwezi na Nyota ni movable objects.
So neno la Mungu always linabaki sahihi na la binadamu (hao wanasayansi) uongo wa makusudi wenye nia ovu!!
Matope yako nchi gani sasa?
 
Suala la Yesu kutembea juu ya maji, suala la kubadilisha maji kuwa mvinyo na kujaza makombo ya samaki wawili wasiojaa hata robo ya kikapu kwenye vikapu kumi. Kisa cha Mussa kapiga maji kwa fimbo yakagawanyika, Joshua kusimamisha Jua ambalo halizunguki,YOTE HAYO ni miujiza.Sasa naomba kuuliza kuwa suala linaloongelewa na Muhammad mintarafu sula la Jua kuzama ni muujiza ndio ulikuwa unatokea?
Halafu miujiza hii ya Muhammad inakosa ushahidi.These were the things ascribed to him by his followers kumfanha awe authentic.Angewezaje kuwa nabii bila kuwa kwenye lineage ya wana wa Yuda?
 
Huyo allah alijidhihirisha kama chaka linalo wala kule bonde la Tuwa Anamwambia Musa Wa koloani avue viatu vyake [emoji117] View attachment 874555View attachment 874556 hapo mnakubali ilaha huyu Mwenyezi kujidhihirisha ktk Umbile Bora la KIBINADAMU Mnabishia [emoji15] [emoji12] makafir ubishi hadi mmeota sigda za makalio [emoji33] [emoji33]
Ndio tunakubali musa aliona moto hakumuona Mungu ilo mbona liko wazi, mjomba Mungu awezi kuwa mtu huko ni kujidanganya
 
Halafu miujiza hii ya Muhammad inakosa ushahidi.These were the things ascribed to him by his followers kumfanha awe authentic.Angewezaje kuwa nabii bila kuwa kwenye lineage ya wana wa Yuda?
Kwani Ibrahim alikuwa myahudi? Mungu yule yule aliemuongoza Ibrahim anaweza muongoza yeyote na kuwa nabii
 
Leo na wewe umekubali Yesu baba yake Mungu [emoji15] [emoji38] [emoji38] Kwa njia hii Utaelewa LAZIMA [emoji53]
Ndio nakubali Yesu baba yake Mungu, hata mimi na Yesu baba yetu ni Mungu , na Mungu wa Yesu ndio Mungu wako wewe na WAKRISTO wenzio pia ahahahhhaaahahaahaahaahahajajaaaaaj siku nyingine uje useme tena Yesu ni Mungu mara sijui mtoto wa pekee wa Mungu, wakati ata ww ni mtoto wa Mungu kama alivyo Yesu, tena muache kufuru zenu kumuita bikira maria eti mama wa Mungu ahaahhaahaahahaaahaahhahhahhaha
 
Kwani Ibrahim alikuwa myahudi? Mungu yule yule aliemuongoza Ibrahim anaweza muongoza yeyote na kuwa nabii
Ibrahim alikuwa mhebrania, Isaac,ishmael,Jacob na wengineo ni wahebrania,Manabii walitoka kwenye uzao wa Yuda na Muhammad alikuwa mkureshi kutoka Yemen kabla ya Ibn Ishaak kumpachika kwenye lineage ya Ishmael aonekane naye anatokana na uzao wa Ibrahim.Historia iko wazi kabisa.Hakuna mzao wa Ibrahim au Ibrahim mwenyewe waliishi Makka
 
sio kila swali unaita unategwa tu [emoji12] wengine lengo Letu ni kujua na si mashindano kama leage! asante kwa jibu Masudi [emoji736] nakuomba umalizie bustani ni nyingi! Hiyo bustani ya wapi?!
Hapo hakuna mtego Mungu amesema aliwaweka bustanini wewe unasema ya wapi, kwani kuna ya wapi na ya wapi? Ahahahahaaahahahahahhhahhhh
 
Ibrahim alikuwa mhebrania, Isaac,ishmael,Jacob na wengineo ni wahebrania,Manabii walitoka kwenye uzao wa Yuda na Muhammad alikuwa mkureshi kutoka Yemen kabla ya Ibn Ishaak kumpachika kwenye lineage ya Ishmael aonekane naye anatokana na uzao wa Ibrahim.Historia iko wazi kabisa.Hakuna mzao wa Ibrahim au Ibrahim mwenyewe waliishi Makka
Ishmael alikuwa kabila gani?
 
Nidadavulie tafadhali,Logic inakataa kabisa na historia inakataa pia.Kama aliishi karne mingi kabla ya Muhammad aliujulia wapi uislam?Au naye amepachikwa uislam kama kina Ibrahim na Yesu.
Sio kupachikwa QURAN inasema hivyo , wewe ukikataa Ibrahim hakuwa muislamu utuambie alikuwa nani myahudi au mkristo?
 
Nidadavulie tafadhali,Logic inakataa kabisa na historia inakataa pia.Kama aliishi karne mingi kabla ya Muhammad aliujulia wapi uislam?Au naye amepachikwa uislam kama kina Ibrahim na Yesu.
Unataka logic gani wakati ata maandiko aliotoa mtoa mada yanasema alikuwa muumin(maana yake muislamu kweli kweli)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom