Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Mkuu mjadala uhaumaliza mapema tu.......hizi picha zimemaliza ubishi wote,wenye akili washakuelewa japo huyu muanzisha mada ataendelea kujifanya haelewi.Umesaidia sana kuleta hz picha mkuu.
 
Mkuu.. It's too bad u've ur own conclusion on the matter!! Laiti lengo lako lingekuwa ni kuelewa.. Ni kitu kidoogo saana hicho.. Ungeelewa!! But lengo lako 'ni kukejeli.. Basi utafanikiwa ktk Hilo!! Huyo mtume Mohammad صلى الله عليه وسلم uliye mdhihaki NA kukejeli alipata kusema..' hakika kila amali/jambo italipwa/itafanikiwa kulingana na niya/dhumuni '... Nakuapia huto elewa kamwe hadi utakapo kuwa na niya thabit ya kueleweshwa!!!
 

UMESHASOMA MAJIBU YA MASWALI YAKO ULIYOLETA ???
 
Mabubu.. Viziwi.. Vipofu... Nao kamwe hawatorejea..!! Lengo lke ni kutafuta contradiction.. Na c kuelewa
 
Umejua ni matope ya wapi..matope meusi..
 
Amejua ni matope ya kidimbwi cha mvua!!!!!
 
UMESHASOMA MAJIBU YA MASWALI YAKO ULIYOLETA ???
Majibu yote yanajibu maswali.

Maana yake habari za Mungu zina utata.

Majibu yanazaa utata zaidi badala ya kumaliza utata.

Mungu alishindwa kufanya habari zake zieleweke bila utata?

Kwa nini kashusha habari zake kwenye kitabu cha lugha ya Kiarabu wa wakati fulani wakati aliweza kuziweka hizo habari katika DNA ya kila mtu azijue hata kama hajawahi kujua lolote kuhusu Waarabu wala mtume?

Mungu alishindwa kufanya hivyo na kutuondolea utata kuhusu hizi habari?

Kama hakushindwa? Kwa nini hakufanya hivyo?
 
Sioni busara ya asie amin Mungu kujadili mambo ya Mungu!!!!
 
Sioni busara ya asie amin Mungu kujadili mambo ya Mungu!!!!
Ikiwa dawa ya UKMWI haipo.

Na kuna waganga wa uongo wanauza unga wanasema unatibu UKIMWI.

Na watu wanaamini.

Na kuna mtu anayejua kwamba hiyo si dawa ya UKIMWI.

Utasema huoni busara ya mtu anayesema hii si dawa ya UKIMWI kusema hivyo?
 

Munasema Mungu alikuwa anamusimulia Muhammad juu ya jinsi Alexander the Great alivyoliona Jua kadri ya upeo wake.Hii aya katika sura hiyo hiyo, inamaanisha nini? Ni nani hapo analiona Jua linapochomoza likiinamia kulia?

"18:17 - Na unaliona jua linapo chomoza linainamia kuliani mwao kutoka hapo pangoni; na linapo kuchwa linawakwepa kushotoni, na wao wamo katika uwazi wa pango. Hizo ni katika ishara za Mwenyezi Mungu. Ambaye Mwenyezi Mungu anamwongoa basi huyo ni mwenye kuongoka. Na anaye muacha kupotea basi hutampatia mlinzi wala mwongozi."
 
Hahahaaa....
 
Unamkwepa kiranga ili mada yako ishambulie upande unaoutaka..hahahaaa
 
Kweli.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…