Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Hakuna cha kujitetea hapo.. Ndio akili yake ilimtuma hivyo.. Hakuna cha ziada.. amefeli hapo
 

SECTION A:

1.Ufalme wa Israeli ulikua Duniani hivyo ni wa Wanadamu. Na hatima yake ni hii.

"Tena itakuwa atakapokwisha BWANA, Mungu wako, kukuleta katika nchi aliyowaapia babu zako, Abrahamu na Isaka na Yakobo, ya kuwa atakupa; miji mikubwa mizuri USIYOIJENGA WEWE,(Deuteronomy 6:10)"

2. Lakini Bwana Mungu akijua kua Wana wa Israeli sio kwamba ni wanyoofu wa Moyo;
"Basi jua ya kuwa BWANA, Mungu wako, hakupi nchi hii nzuri uimiliki kwa ajili ya haki yako, kwa maana U TAIFA LENYE SHINGO NGUMU.(Deuteronomy 9:6)"

3. Rehema za Baba zao; Abrahamu, Isaka na Yakobo, zinawapata Kibali Wanasraeli mbele za Mungu (Zingatia Ishmael si Miongoni mwao);

"Mungu akasikia kuugua kwao, Mungu akakumbuka AGANO LAKE alilolifanya na Ibrahimu na Isaka na Yakobo(Exodus 2:24)
Hii inatupa Mwanga kua Ukiwa mtu mwema duniani, na Kizazi chako kinakwenda kubarikiwa hata ukiwa haupo tena duniani."
(Swali fikirishi Kizazi cha Mohammad kipo wapi?)


SECTION B
Nyakati Hizi za Agano Jipya la Ukombozi kupitia Damu ya Yesu Msalabani. UFALME WA MUNGU umekuja Duniani kupitiaYESU KRISTO.

1. Manabii wote wa Agano la kale walizaliwa na mbegu za wanadamu isipokua Yesu Kristo pekee; "Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye(John 3:17)"

Wala hakuna mtu aliyepaa mbinguni, ila yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani, Mwana wa Adamu (John 3:13).

Yesu anaonya;-
Na mtu akiyasikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, ila niuokoe ulimwengu. Yeye anikataaye mimi, ASIYEYAKUBALI MANENO YANGU, anaye amhukumuye; NENO hilo nililolinena ndilo litakalomhukumu SIKU ya mwisho (John12:47-48).

2. Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi, WAPATE KUTUBU (Luke 5:32).

3. Adui pekee wa Kupingwa ni Shetani.Kwasababu hana Urithi katika Ule Mti wa Uzima. Amewekewa Jehanam ya Moto.

Pitia mfano huu:
Watumwa wa mwenye nyumba wakaenda wakamwambia, Bwana, hukupanda mbegu njema katika konde lako? Limepata wapi basi magugu?. Akawaambia, ADUI NDIYE ALIYETENDA HIVI. Watumwa wakamwambia, Basi, wataka twende tukayakusanye? Akasema, La; msije mkakusanya magugu, na kuzing’oa ngano pamoja nayo.Viacheni vyote vikue hata wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni ghalani mwangu(Matthew 13:27-30).

YESU ANAELEZA KUPITIA MFANO HUU KWAMBA;
"..., Azipandaye zile mbegu njema ni Mwana wa Adamu; lile konde ni ulimwengu; zile mbegu njema ni wana wa ufalme; na yale magugu ni wana wa yule mwovu; YULE ADUI aliyeyapanda ni Ibilisi; mavuno ni mwisho wa dunia; na wale wavunao ni malaika (Matthew 13:37-38)."

Mfano huu unatoa picha kua:Yesu ndio Alfa na Omega. Atakaye kuja baada yake na kuhubiri kinyume ni Mwana wa Adamu. Si Mwingine ni Adui yule Muuaji.

4. Kazi kuu ya Yesu duniani haikua kumwokoa Shetani. Bali kuubomoa Utawala wake;
"Atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili AZIVUNJE KAZI ZA IBILISI.(1 John 3:8)."


Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na NGUVU ZOTE ZA YULE ADUI, wala hakuna kitu kitakachowadhuru (Luke 10:18-19).




YESU ANASEMA;
Mtu ambaye si pamoja nami yu kinyume changu; NA MTU ASIYEKUSANYA PAMOJA NAMI HUTAWANYA(Luke 11:23).
SWALI



SECTION C

Q.IKIWA Mohammad hakumkubali Yesu, JE ALIKUA ANAFANYA KAZI YA NANI?
 
Waulize hao walokufanya umuabudu mtoto wa Popo Alexander shoga Cesare Borgia
huna tofauti na huyu Abdul. Hamjui hata vitabu vyenu vimeandika nini mnakimbilia Biblia na kujiona mnaijua.
Swali dogo tu unakuja na pumba.
haya kaa chini sikiliza hii angalau upate mwanga ukusaidie utoke huko shimoni.

 
huna tofauti na huyu Abdul. Hamjui hata vitabu vyenu vimeandika nini mnakimbilia Biblia na kujiona mnaijua.
Swali dogo tu unakuja na pumba.
haya kaa chini sikiliza hii angalau upate mwanga ukusaidie utoke huko shimoni.



Hulaumiki kisoda kwani KAZI umeipenda na bado unaona fahari

Endelea kuabudu Shoga Cesare Borgia na endelea kuongozwa na visoda wenzako


MAKARDINALI NA MAASKOFU WAKO WAMEOLEWA HUMU NA WANAWASAMEHE DHAMBI

 
Mungu wako atakalo huwa , ndio ukakubali kumwabudu Shoga Cesare Borgia unamuona ndiye kawa mungu ??

Ok
Ndiyo mafundisho ya kisoda mwenzako Cesare Borgia uliyekubali kumwabudu kama mungu wako??
Akili za visoda mwisho hujitangaza kuwa wao ni visoda yaani huona fahari kupigwa bakora na wakiambiwa Huyo unayemuabudu ni kisoda Cesare Borgia ndiyo hushangiria

wee kibuzi marka usijikombe kwangu na mambo yako ya mivutu unayo yafanyia promo [emoji12] nimesha kupotezea[emoji53]
 
wee kibuzi marka usijikombe kwangu na mambo yako ya mivutu unayo yafanyia promo [emoji12] nimesha kupotezea[emoji53]


Umejiita mwenyewe kisoda , kuna kujikomba wapi , unafikiri humu JF umefuatilia hii ulioambiwa na Shoga Cesare Borgia

Humu hatuna haja na ibada yenu hiyo


 



 




View attachment 894796View attachment 894798....[emoji15] [emoji53]
 
Wewe jamaa hivi unasomaga ninachoandika kweli? iwe ufalme wa binadamu au wa Mungu , hoja ya msingi hapa ni hii MUNGU wako ALIUA na alimpa amri Musa KUUA , huko unakoangaika wala hakuwezi kukimbia ukweli huu, sasa basi bila wakina Musa na Joshua kupambana na kumwaga damu , Mungu wako akuwa na alternative ya kupata nchi ya ahadi huo ndio ukweli
 
Hakuna cha kujitetea hapo.. Ndio akili yake ilimtuma hivyo.. Hakuna cha ziada.. amefeli hapo
Mimi nijetetee kwanan ?ahahaahahahahahahajajjajj rejea maandiko humu usije kichwa kichwa kama mtoa mada utaumia ahahahaaaahahahajaaha
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa MAARIFA, nilichofanya ni kukupa MAARIFA Mungu haitaji kufanywa toyo ili ukombolewe huo ni ujinga wa kiwango cha lami, Mungu muumba wa nchi atundikwe kama ndafu eti wewe mgeni na wenzio mkombolewe huo ni uvivu wa kufikiri na kupenda mteremko, njia ni moja KILA MTU ATALIPWA KWA ATENDALO, hakuna kubebeana mizigo hapa
 
Ahahahaahahahahah Prof Paulo ahhaahahahhhaahahahahahhaha
MATENDO YA MITUME 26:11
"; Na mara nyingi katika masinagogi yote naliwaadhibu, nikawashurutisha KUKUFURU;nikawaonea hasira kama mwenye wazimu , nikawaudhi hata katika miji ya ugenini",

ahahahahahaahahahjajajajajajaja hakika huyu ni Prof wa KUFURU
Hivi wewe mpaka leo bado unaamini Mungu alitundikwa msalabani kama nyama ? ahahahahahahhahaha duniani humu kuna watu ni mapoyoyo
 
Biblia Haikuandikwa kama anavyo Taka mtoto Wa mushahara dogo! Bila kutahiriwa govi lako [emoji117] View attachment 894056 unafanya shingo ngumu [emoji15] [emoji12] ona sasa unaandika kiibilisi ibilisi [emoji12]
Hii haifuti hili andiko kuwa nguruwe ni haramu
MAMBO YA WALAWI 11:8
"; Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao, hao ni najisi kwenu";

ahahahahahahahhahaaahhah wapi umeambiwa ule nguruwe mbona ya katazo ipo ebu okoteza huku ulete ulioruhusiwa ahahahaahahahhahajhahahaaha
 
wee ungekuwa na maarifa ungekuwa mkamuliwa ngama mtarajiwa [emoji15] [emoji12] jidunge ndoba usepe [emoji12]
 
Mungu ni mtu wa vita tafsiri yake ni kuwa ANAANGAMIZA sio tafsiri unayoleta wewe Ahahaahaahaahjjajaj
HESABU 23:19
" Mungu si mtu, aseme uongo, wala si mwanadamu , ajute ; iwapo amesema , hatalitenda? iwapo amenena , hatalifikiliza? ";

ahahhhhaahahhahahaha Mungu awezi kuwa mtu ahahahahhahahaah msikilize mtu huyu hapa sasa
YOHANA 8:40
" Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, MTU ambaye nimewaambia iliyo kweli , niliyoisikia kwa Mungu , Ibrahim hakufanya hivyo"

ahahahhahahhahaahahahah acha bange kufananisha Mungu na viumbe wake ahahahhaahhahaahahahhah
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…