So when John 1:14 says:
John 1
14 The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.
This is Jesus, who was made/created from the WORD, coming to earth in a flesh and blood, dust and water.
Like we are created from THE SPIRIT and the SELF, he was created from WORD, SPIRIT, SELF, and flesh and blood, dust and water. Every SELF shall go through death:
Kijana umekazana sana na wavaa vipyedo wenzako. mwisho mnasoma maandiko kipyedo pyedo halafu hamuelewi.Zawadi yako hii
Zawadi yako hii
Asante sana.Wewe dogo, kuna vitu tunakupa unashindwa kutupatia majibu na unakuja na fix hapa kuwa ni uzushi. sasa msikilize shekh wako hapa anavyo yatukuza majinn na anakiri Mudy and all Abduls mmeambatanishwa na kijjin kidogo dogo unakua nacho. Ila Mud cha kwake kime silim na kinamuamuru katika mema tu. Are sure?
Swali Vya kwenu je? au ndio vinawaamuru msiweze kujifunza na kuwa wabishi tu hata kwenye ukweli?
ukimaliza hiyo tembea na hii pia umsikie anavyomuelezea Dajjal. kwa uzuri kabisa anakiri Jesus ndiye kibok yake. Sasa kwa nini hasemi kuwa Mudy atamkomesha Dajjal?
Na kwa nini Jesus anarudi na si Moses, Ibrahim, Mudy mwenyewe etc?
Jesus didn't created. He (Jesus) Creates.
The Word becomes Flesh. Means the spirit of God come down from from heaven.
(Incarnation). That spirit was in heaven before the world, which means before Adam and Eve.
Kijana umekazana sana na wavaa vipyedo wenzako. mwisho mnasoma maandiko kipyedo pyedo halafu hamuelewi.
Sasa soma aya hiyo moja tu kwa nia ya kutaka kujua mstari aliosoma shekh wako una maanisha nini.
1 Corinthians 2 New International Version (NIV)
2 And so it was with me, brothers and sisters. When I came to you, I did not come with eloquence or human wisdom as I proclaimed to you the testimony about God.[a] 2 For I resolved to know nothing while I was with you except Jesus Christ and him crucified. 3 I came to you in weakness with great fear and trembling. 4 My message and my preaching were not with wise and persuasive words, but with a demonstration of the Spirit’s power, 5 so that your faith might not rest on human wisdom, but on God’s power.
God’s Wisdom Revealed by the Spirit
6 We do, however, speak a message of wisdom among the mature, but not the wisdom of this age or of the rulers of this age, who are coming to nothing. 7 No, we declare God’s wisdom, a mystery that has been hidden and that God destined for our glory before time began. 8 None of the rulers of this age understood it, for if they had, they would not have crucified the Lord of glory. 9 However, as it is written:
“What no eye has seen,
what no ear has heard,
and what no human mind has conceived”[b]—
the things God has prepared for those who love him—
10 these are the things God has revealed to us by his Spirit.
The Spirit searches all things, even the deep things of God. 11 For who knows a person’s thoughts except their own spirit within them? In the same way no one knows the thoughts of God except the Spirit of God. 12 What we have received is not the spirit of the world, but the Spirit who is from God, so that we may understand what God has freely given us. 13 This is what we speak, not in words taught us by human wisdom but in words taught by the Spirit, explaining spiritual realities with Spirit-taught words.[c] 14 The person without the Spirit does not accept the things that come from the Spirit of God but considers them foolishness,and cannot understand them because they are discerned only through the Spirit.15 The person with the Spirit makes judgments about all things, but such a person is not subject to merely human judgments, 16 for,
“Who has known the mind of the Lord
so as to instruct him?”[d]
But we have the mind of Christ.
Footnotes:
===============
- 1 Corinthians 2:1 Some manuscripts proclaimed to you God’s mystery
- 1 Corinthians 2:9 Isaiah 64:4
- 1 Corinthians 2:13 Or Spirit, interpreting spiritual truths to those who are spiritual
- 1 Corinthians 2:16 Isaiah 40:13
Kwa kutokujua kwenu vitabu vinasema nini na vimeandikwa nini mnamshambulia Messenger of Allah Paul. Quran inathibitisha hilo kuwa Paul ni Mtume wa Allah.
36 - Ya Sin
4 Tafsir(s) related to verse 36.13
Al-Jalalayn
And strike for them as a similitude (mathalan is the first direct object) the inhabitants (ashāba is the second direct object) of the town, [of] Antioch (Antākya), when the messengers, namely, Jesus’s disciples, came to it (idh jā’ahā’l-mursalūna is an inclusive substitution for ashāba’l-qaryati, ‘the inhabitants of the town’).
Ibn Al Kathir
The Story of the Dwellers of the Town and Their Messengers, a Lesson that Those Who belied Their Messengers were Destroyed
Allah says, `O Muhammad, tell your people who disbelieve in you,'
مَّثَلاً أَصْحَـبَ القَرْيَةِ إِذْ جَآءَهَا الْمُرْسَلُونَ
(a similitude; the Dwellers of the Town, when there came Messengers to them.) In the reports that he transmitted from Ibn `Abbas, Ka`b Al-Ahbar and Wahb bin Munabbih - Ibn Ishaq reported that it was the city of Antioch, in which there was a king called Antiochus the son of Antiochus the son of Antiochus, who used to worship idols. Allah sent to him three Messengers, whose names were Sadiq, Saduq and Shalum, and he disbelieved in them. It was also narrated from Buraydah bin Al-Husayb, `Ikrimah, Qatadah and Az-Zuhri that it was Antioch. Some of the Imams were not sure that it was Antioch, as we shall see below after telling the rest of the story, if Allah wills.
إِذْ أَرْسَلْنَآ إِلَيْهِمُ اثْنَيْنِ فَكَذَّبُوهُمَا
(When We sent to them two Messengers, they denied them both😉 means, they hastened to disbelieve in them.
فَعَزَّزْنَا بِثَالِثٍ
(so We reinforced them with a third,) means, `We supported and strengthened them with a third Messenger. ' Ibn Jurayj narrated from Wahb bin Sulayman, from Shu`ayb Al-Jaba'i, "The names of the first two Messengers were Sham`un and Yuhanna, and the name of the third was Bulus, and the city was Antioch (Antakiyah).
Sham'un - Simon
Yuhanna - John
Bulus - Paul
Sasa huku wanafata nini hawa ikiwa Paul ndiye muovu?
Wewe dogo, kuna vitu tunakupa unashindwa kutupatia majibu na unakuja na fix hapa kuwa ni uzushi. sasa msikilize shekh wako hapa anavyo yatukuza majinn na anakiri Mudy and all Abduls mmeambatanishwa na kijjin kidogo dogo unakua nacho. Ila Mud cha kwake kime silim na kinamuamuru katika mema tu. Are sure?
Swali Vya kwenu je? au ndio vinawaamuru msiweze kujifunza na kuwa wabishi tu hata kwenye ukweli?
ukimaliza hiyo tembea na hii pia umsikie anavyomuelezea Dajjal. kwa uzuri kabisa anakiri Jesus ndiye kibok yake. Sasa kwa nini hasemi kuwa Mudy atamkomesha Dajjal?
Na kwa nini Jesus anarudi na si Moses, Ibrahim, Mudy mwenyewe etc?
Kijana umekazana sana na wavaa vipyedo wenzako. mwisho mnasoma maandiko kipyedo pyedo halafu hamuelewi.
Sasa soma aya hiyo moja tu kwa nia ya kutaka kujua mstari aliosoma shekh wako una maanisha nini.
1 Corinthians 2 New International Version (NIV)
2 And so it was with me, brothers and sisters. When I came to you, I did not come with eloquence or human wisdom as I proclaimed to you the testimony about God.[a] 2 For I resolved to know nothing while I was with you except Jesus Christ and him crucified. 3 I came to you in weakness with great fear and trembling. 4 My message and my preaching were not with wise and persuasive words, but with a demonstration of the Spirit’s power, 5 so that your faith might not rest on human wisdom, but on God’s power.
God’s Wisdom Revealed by the Spirit
6 We do, however, speak a message of wisdom among the mature, but not the wisdom of this age or of the rulers of this age, who are coming to nothing. 7 No, we declare God’s wisdom, a mystery that has been hidden and that God destined for our glory before time began. 8 None of the rulers of this age understood it, for if they had, they would not have crucified the Lord of glory. 9 However, as it is written:
“What no eye has seen,
what no ear has heard,
and what no human mind has conceived”[b]—
the things God has prepared for those who love him—
10 these are the things God has revealed to us by his Spirit.
The Spirit searches all things, even the deep things of God. 11 For who knows a person’s thoughts except their own spirit within them? In the same way no one knows the thoughts of God except the Spirit of God. 12 What we have received is not the spirit of the world, but the Spirit who is from God, so that we may understand what God has freely given us. 13 This is what we speak, not in words taught us by human wisdom but in words taught by the Spirit, explaining spiritual realities with Spirit-taught words.[c] 14 The person without the Spirit does not accept the things that come from the Spirit of God but considers them foolishness,and cannot understand them because they are discerned only through the Spirit.15 The person with the Spirit makes judgments about all things, but such a person is not subject to merely human judgments, 16 for,
“Who has known the mind of the Lord
so as to instruct him?”[d]
But we have the mind of Christ.
Footnotes:
===============
- 1 Corinthians 2:1 Some manuscripts proclaimed to you God’s mystery
- 1 Corinthians 2:9 Isaiah 64:4
- 1 Corinthians 2:13 Or Spirit, interpreting spiritual truths to those who are spiritual
- 1 Corinthians 2:16 Isaiah 40:13
Kwa kutokujua kwenu vitabu vinasema nini na vimeandikwa nini mnamshambulia Messenger of Allah Paul. Quran inathibitisha hilo kuwa Paul ni Mtume wa Allah.
36 - Ya Sin
4 Tafsir(s) related to verse 36.13
Al-Jalalayn
And strike for them as a similitude (mathalan is the first direct object) the inhabitants (ashāba is the second direct object) of the town, [of] Antioch (Antākya), when the messengers, namely, Jesus’s disciples, came to it (idh jā’ahā’l-mursalūna is an inclusive substitution for ashāba’l-qaryati, ‘the inhabitants of the town’).
Ibn Al Kathir
The Story of the Dwellers of the Town and Their Messengers, a Lesson that Those Who belied Their Messengers were Destroyed
Allah says, `O Muhammad, tell your people who disbelieve in you,'
مَّثَلاً أَصْحَـبَ القَرْيَةِ إِذْ جَآءَهَا الْمُرْسَلُونَ
(a similitude; the Dwellers of the Town, when there came Messengers to them.) In the reports that he transmitted from Ibn `Abbas, Ka`b Al-Ahbar and Wahb bin Munabbih - Ibn Ishaq reported that it was the city of Antioch, in which there was a king called Antiochus the son of Antiochus the son of Antiochus, who used to worship idols. Allah sent to him three Messengers, whose names were Sadiq, Saduq and Shalum, and he disbelieved in them. It was also narrated from Buraydah bin Al-Husayb, `Ikrimah, Qatadah and Az-Zuhri that it was Antioch. Some of the Imams were not sure that it was Antioch, as we shall see below after telling the rest of the story, if Allah wills.
إِذْ أَرْسَلْنَآ إِلَيْهِمُ اثْنَيْنِ فَكَذَّبُوهُمَا
(When We sent to them two Messengers, they denied them both😉 means, they hastened to disbelieve in them.
فَعَزَّزْنَا بِثَالِثٍ
(so We reinforced them with a third,) means, `We supported and strengthened them with a third Messenger. ' Ibn Jurayj narrated from Wahb bin Sulayman, from Shu`ayb Al-Jaba'i, "The names of the first two Messengers were Sham`un and Yuhanna, and the name of the third was Bulus, and the city was Antioch (Antakiyah).
Sham'un - Simon
Yuhanna - John
Bulus - Paul
Sasa huku wanafata nini hawa ikiwa Paul ndiye muovu?
Kijana umekazana sana na wavaa vipyedo wenzako. mwisho mnasoma maandiko kipyedo pyedo halafu hamuelewi.
Sasa soma aya hiyo moja tu kwa nia ya kutaka kujua mstari aliosoma shekh wako una maanisha nini.
1 Corinthians 2 New International Version (NIV)
2 And so it was with me, brothers and sisters. When I came to you, I did not come with eloquence or human wisdom as I proclaimed to you the testimony about God.[a] 2 For I resolved to know nothing while I was with you except Jesus Christ and him crucified. 3 I came to you in weakness with great fear and trembling. 4 My message and my preaching were not with wise and persuasive words, but with a demonstration of the Spirit’s power, 5 so that your faith might not rest on human wisdom, but on God’s power.
God’s Wisdom Revealed by the Spirit
6 We do, however, speak a message of wisdom among the mature, but not the wisdom of this age or of the rulers of this age, who are coming to nothing. 7 No, we declare God’s wisdom, a mystery that has been hidden and that God destined for our glory before time began. 8 None of the rulers of this age understood it, for if they had, they would not have crucified the Lord of glory. 9 However, as it is written:
“What no eye has seen,
what no ear has heard,
and what no human mind has conceived”[b]—
the things God has prepared for those who love him—
10 these are the things God has revealed to us by his Spirit.
The Spirit searches all things, even the deep things of God. 11 For who knows a person’s thoughts except their own spirit within them? In the same way no one knows the thoughts of God except the Spirit of God. 12 What we have received is not the spirit of the world, but the Spirit who is from God, so that we may understand what God has freely given us. 13 This is what we speak, not in words taught us by human wisdom but in words taught by the Spirit, explaining spiritual realities with Spirit-taught words.[c] 14 The person without the Spirit does not accept the things that come from the Spirit of God but considers them foolishness,and cannot understand them because they are discerned only through the Spirit.15 The person with the Spirit makes judgments about all things, but such a person is not subject to merely human judgments, 16 for,
“Who has known the mind of the Lord
so as to instruct him?”[d]
But we have the mind of Christ.
Footnotes:
===============
- 1 Corinthians 2:1 Some manuscripts proclaimed to you God’s mystery
- 1 Corinthians 2:9 Isaiah 64:4
- 1 Corinthians 2:13 Or Spirit, interpreting spiritual truths to those who are spiritual
- 1 Corinthians 2:16 Isaiah 40:13
Kwa kutokujua kwenu vitabu vinasema nini na vimeandikwa nini mnamshambulia Messenger of Allah Paul. Quran inathibitisha hilo kuwa Paul ni Mtume wa Allah.
36 - Ya Sin
4 Tafsir(s) related to verse 36.13
Al-Jalalayn
And strike for them as a similitude (mathalan is the first direct object) the inhabitants (ashāba is the second direct object) of the town, [of] Antioch (Antākya), when the messengers, namely, Jesus’s disciples, came to it (idh jā’ahā’l-mursalūna is an inclusive substitution for ashāba’l-qaryati, ‘the inhabitants of the town’).
Ibn Al Kathir
The Story of the Dwellers of the Town and Their Messengers, a Lesson that Those Who belied Their Messengers were Destroyed
Allah says, `O Muhammad, tell your people who disbelieve in you,'
مَّثَلاً أَصْحَـبَ القَرْيَةِ إِذْ جَآءَهَا الْمُرْسَلُونَ
(a similitude; the Dwellers of the Town, when there came Messengers to them.) In the reports that he transmitted from Ibn `Abbas, Ka`b Al-Ahbar and Wahb bin Munabbih - Ibn Ishaq reported that it was the city of Antioch, in which there was a king called Antiochus the son of Antiochus the son of Antiochus, who used to worship idols. Allah sent to him three Messengers, whose names were Sadiq, Saduq and Shalum, and he disbelieved in them. It was also narrated from Buraydah bin Al-Husayb, `Ikrimah, Qatadah and Az-Zuhri that it was Antioch. Some of the Imams were not sure that it was Antioch, as we shall see below after telling the rest of the story, if Allah wills.
إِذْ أَرْسَلْنَآ إِلَيْهِمُ اثْنَيْنِ فَكَذَّبُوهُمَا
(When We sent to them two Messengers, they denied them both😉 means, they hastened to disbelieve in them.
فَعَزَّزْنَا بِثَالِثٍ
(so We reinforced them with a third,) means, `We supported and strengthened them with a third Messenger. ' Ibn Jurayj narrated from Wahb bin Sulayman, from Shu`ayb Al-Jaba'i, "The names of the first two Messengers were Sham`un and Yuhanna, and the name of the third was Bulus, and the city was Antioch (Antakiyah).
Sham'un - Simon
Yuhanna - John
Bulus - Paul
Sasa huku wanafata nini hawa ikiwa Paul ndiye muovu?
Jesus didn't created. He (Jesus) Creates.
The Word becomes Flesh. Means the spirit of God come down from from heaven.
(Incarnation). That spirit was in heaven before the world, which means before Adam and Eve.
I usually don't watch Youtube.
The Logos and Jesus are differentiated in Revelation....
Revelation 20:4 King James Version (KJV)
4 And I saw thrones, and they sat upon them, and judgment was given unto them: and I saw the souls of them that were beheaded for the witness of Jesus, and for the word of God...
Revelation 1:2
2 who testifies to everything he saw—that is, the word of God and the testimony of Jesus Christ
Jesus, like Adam, was GOD Almighty's Word in the sense that GOD Almighty Said to him "Be" and he became:
"The similitude of Jesus before God is as that of Adam; He created him from dust, then said to him: "Be". And he was. (The Noble Quran, 3:59)"
"She said: "O my Lord! How shall I have a son when no man hath touched me?" He said: "Even so: God createth what He willeth: When He hath decreed a plan, He but saith to it, 'Be,' and it is! (The Noble Quran, 3:47)
Wanajukwaa:
Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.
Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.
Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.
Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.
Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):
“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”
Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.
Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).
Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki. Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.
Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.
Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.
Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).
Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:
1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?
2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?
3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:
· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?
· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?
· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?
Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?
Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.
Ahahahahaahahaahaha hayo ni maandiko Mungu sio dhwalimu , kwa hiyo ujaelewa kasome tenahapo kwenye bold ushakufuru tayari .NA YEYE JUU YA KILA KITU NI MUWEZA
Kwa hiyo ni kweli joshua alisimamisha jua kama biblia inavyosema?Joshua was very right.
Soma historia ya Persian na Babylonian.
Hii haiitaji elimu kubwa jifungie ndani jiulize vizuri kweli inawezekana vip Mungu apigwe makofi na viumbe wake ? ahahahhaah jiulize tu kwa faida ya nani Mungu aje ajidharirishe wakati shetani wake, watu wake, moto wake na pepo yake, ukitumia akili yako utajua hiyo imani ni ujinga mtupu ahahahhahahahaahhahahLabua mavi kwa raha zako tu [emoji15] ruksa [emoji24]
Jamani hizi ni bange au maharage , jua kutofautisha kati ya DHARIRI na DHAHIRI , ahahaahhahahahahahjajja Mungu wetu hawezi kuwa DHARIRI ni mkali kweli kweli QURAN 59:7Mungu ni [emoji117] View attachment 902922 mbishie baba kasimu kwamba sio mjuzi WA Yote [emoji15] [emoji12]