Shida ya watumwa ni moja tu. Hamsomi maandiko. natoka mlishe akili za kingono ngono na bwana wenu Allah. Hivyo kila msomapo tafriri ya kwanza ngono.
soma hili andiko alilotumia mtumwa mwenzako.Galatia 5:15.
Najua huwezi soma kisa umekaririshwa.
Soma kuanzia 5:7 hapo mpaka mwisho upate kuelewa nini Paul anazungumza.
7Mwenendo wenu ulikuwa mzuri! Nani, basi aliyewazuia kuuzingatia ukweli?
8Aliyesababisha hali hiyo si Mungu ambaye amewaiteni.
9chachu kidogo tu huchachusha donge lote la unga!
10Kutokana na kuungana kwetu na Bwana, nina tumaini kubwa kwamba ninyi hamtakuwa na msimamo tofauti nami. Tena yeyote huyo anayewavurugeni--awe nani au nani--hakika ataadhibiwa.
11Na kwa upande wangu, ndugu zangu, kama bado ninahubiri kwamba kutahiriwa ni lazima, kwa nini basi, bado ninadhulumiwa? Kama ingalikuwa hivyo, mahubiri yangu juu ya msalaba wa Kristo yasingalileta aibu yoyote.
12Laiti hao wanaowavurugeni wangejikatakata wenyewe!
13Ninyi, ndugu, mliitwa muwe watu huru. Lakini uhuru huo usiwe kisingizio cha kutawaliwa na tamaa za kidunia; ila mnapaswa kutumikiana kwa upendo.
14Maana Sheria yote hutimizwa katika kushika amri hii moja: "Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
15Lakini ikiwa mtaumana na kutafunana kama wanyama, jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!
16Basi, nasema hivi: mwenendo wenu na uongozwe na Roho, nanyi hamtafuata tena tamaa za kidunia.
17Maana, tamaa za kidunia hupingana na matakwa ya Roho; na matakwa ya Roho hupingana na tamaa za kidunia. Mambo hayo mawili hayaafikiani; kwa sababu hiyo hamwezi kufanya yale mnayotaka ninyi wenyewe.
18Kama mkiongozwa na Roho, basi, hamko tena chini ya Sheria.
19Basi, matendo ya kidunia yanajulikana: uzinzi, uasherati, ufisadi;
20kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, choyo, mabishano, mafarakano;
21husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine kama hayo. Nawaambieni tena kama nilivyokwisha sema: watu wanaotenda mambo hayo hawatakuwa na nafasi yao katika ufalme wa Mungu.
22Lakini matokeo ya kuongozwa na Roho ni mapendo, furaha, amani, uvumilivu, wema, fadhili, uaminifu,
23upole na kuwa na kiasi. Hakuna Sheria inayoweza kupinga mambo hayo.
24Wale walio wa Kristo wameisulubisha hali yao ya kidunia pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.
25Tukiishi kwa msaada wa Roho, na tuufuate mwongozo wake.
26Basi, tusijivune, tusichokozane wala kuoneana wivu.
Hapa Paul ametolea mfano wa maisha ya wanyama kuwa hawanakujua kufanya shambulio ni shida/dhambi ndio maana unakuta simba anamuua chui na hawezi kumla, au anawua watoto wa mwengine ili tu naye apate wa kwake kwenye jike hilo hilo(anaongozwa na tamaa za kimwili)
sasa msomaji kasoma nusu mmekimbilia kwenye ngono. mbona hakumalizia hapa
15Lakini ikiwa mtaumana na kutafunana kama wanyama, jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!